Kwanini Waziri January Makamba anaongoza majadiliano ya Wizara peke yake?

Wafitini wa JF hawa, wamejaa humu kibao, wakishashiba wanakurupuka na kuandika upupu wao, nimemuwekea attachments hapo juu, hamna kikao January kafanya mwenyewe bila kushirikiana na watu! Kwa sasa kaenda Saudi na hajaenda peke yake, kaenda na baadhi ya wasaidizi wake! Hili Taifa linolotegemea Machinga kuweka kiongozi wa nchi shida sana
 
Makamba anakataa majungu?
 
Ongezea Ngeleja
 
JF ya sasa imejaa wazushi, wafitini na matahira kama wewe muanzisha mada, and Mods wanaacha tu upotoshaji....
View attachment 1984963
View attachment 1984964
View attachment 1984965
View attachment 1984966
View attachment 1984967
duh..hivi inakuwaje mtu kuanzisha thread bila kufanya utafiti wa kina,mbaya zaidi ni wa mrengo wa kumchafua mtu..wa Tz tubadilikeni majungu hayajawahi kumpa mtu maendeleo,wakati mwingine mada za hivi ndio hupelekea baadhi ya media kufungwa(kutoa habari bila utafiti)
 
Jibu hoja wacha vihoja
 
Kwa iyo unaona sawa mtu kuleta thread ya uongo na uzandiki humu?

Hivi bavicha kichwani mmejaza funza au?
Tupatie vigezo ulivyo vitumia na kugundua kuwa hiyo thread ni ya uongo na uzandiki.

Ukishindwa kudhibitisha hilo basi wewe ndiye muongo na mzandiki mkubwa hapa duniani.
 
Tupatie vigezo ulivyo vitumia na kugundua kuwa hiyo thread ni ya uongo na uzandiki.

Ukishindwa kudhibitisha hilo basi wewe ndiye muongo na mzandiki mkubwa hapa duniani.
Kwenye thread mtoa mada kasema January anafanya kikao peke take na wawekezaji

Fuatilia uzi ameshajibiwa kwa ushahidi wa picha Jinsi January alivyokuwa na wataalam, wakurugenzi na sehemu zingine na Naibu wake!

Hivi umeishia darasa la ngapi Mkuu?
 
Kwenye thread mtoa mada kasema January anafanya kikao peke take na wawekezaji

Fuatilia uzi ameshajibiwa kwa ushahidi wa picha Jinsi January alivyokuwa na wataalam, wakurugenzi na sehemu zingine na Naibu wake!

Hivi umeishia darasa la ngapi Mkuu?
Sijawahi kuingia hata darasa lolote lkn nawachukia watu kama nyinyi mnao ishi kwa kuwaramba watu miguu ili mjipatie mkate wako wa kila siku.
 
Sijawahi kuingia hata darasa lolote lkn nawachukia watu kama nyinyi mnao ishi kwa kuwaramba watu miguu ili mjipatie mkate wako wa kila siku.
Unazidi kuhamisha magoli sio? Endelea kuonesha ukilaza wako
 
Naona anawashirikisha kwa kina watu wote muhimu hawezi kufanya peke yake wote naona wapo hapo....tuwape Muda utaongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…