Kwanini wengi wanaamini mtu mweusi ni mbabaishaji na asiye na uwezo? Tatizo nini wakuu?

Hao unawajua wewe...ila moja ya ethnic group iliyoelimika sana Marekani ni Wanigeria...Moja ya waafrika niliokutana nao na wanaojitambua ni Wanigeria...
Bro mimi nadeal nao hao watu na ni jamii kwa sasa haitakiwi hata kuja hapa nchini.Nigeria kuharibu dakika sifuri
 
Mtu mweusi anajitambua?? Hizo nchi ulizotaja ni miongoni mwa nchi zilizodhihirisha mtu mweusi ni tapeli na mbabaishaji tu.
 
Mtu mweusi ni aina ya Mtu wa ajabu na aliye nyuma kimaendeleo kuliko jamii yoyote ile ndio maana popote alipo ni Mtumwa wa Mzungu, Mhindi, Mwarabu na hata Mchina

Pia hatupendani, Hatutakiani na hatuna Umoja popote tulipo Duniani
 
Denis ni mmoja ya watanzania wanaojitambua ila huanzia pale ambapo wengi walipo na kuanza kukufikirisha...ila izo points zake zina maelezo zaidi ndani yake...huo aliouita uchawi si uchawi bali ni elimu kabisa ila haikueleweka kwa wagiriki...walivyoielewa wazungu waliificha na kuiita uchawi na dhambi ili msithubutu kutaka kuijua...ila hiyo ndio msingi wa freemasonry, hermeticism, gnosticism na ukristo...sisemi vyote hivyo vimeundwa na elimu ya Egypt/Kemet ila vingi vimetoka Kemet...kazi ya kukusanya elimu ya asili ya jamii za duniani ilifanywa na Roma...
 
We unaamini nini labda tuanze na wewe?
Kifupi Weusi na wehu vimekaribiana sana we angalia hata hao weusi waliozaliwa Marekani.
Mfano Balloteli,R.kelly,Lily wyne,Birdman,Snoop,BIG,2pac,Pdidy,Tyson,Myweather na wengine wa kufanana nao.
naitunza nije kuwaonyesha wajukuu 🀣🀣🀣🀣
 
Muafrika atatoa wapi akili wakati maisha yake yote yanatawaliwa na likitabu liliondikwa na mababu wa kizungu na kiarabu karibia miaka 1800 iliyopita..?

Mwafrika hasomi wala hapendi kujishughulisha.

Huko kwa wenzetu maendeleo hayaletwi na imani za misahafu, bali vitabu ambavyo mwafrika anaona havina maana.

Tunaishi 2024 kwa muongozo waliopewa wazungu au waarabu miaka 1500+ iliyopita.
 
Weengi wanaamini mweusi ni mpenda njia za mkato 'shortcuts' tena hata hajali kama kuna mahali anaharibu au kuna watu anawaumiza...
Jichukulie wewe hapo labda group lako la marafiki 10, mna jionaje? then weka kwa level ya Tanzania
 
Always treat any black person as a suspect.
Actually every person...tulienda sehemu moja Tanzania hakukuwa na nyumba ya wageni lakini tulikaribishwa chakula tukala na wenyeji wakatupa sehemu ya kulala na hiyo ilikuwa ni siku ya kwanza na ya mwisho kuonana nao.

Jifunzeni kuon uhalisia wa mambo na jitahidi kufuatilia kwa undani hasa kupitia vitabu.

Siri ya pili waafrika wengi waliopata kuelimika na utajiri si waafrika kamili Kwa sbb hivo viliwekwa kama mtego ili waache asili zao lakini wapo miongoni mwao waliojielemisha na kujua ukweli na nafasi yao katika ulimwengu, actually hofu ya mzungu ni siku ambayo mwafrika ataamka.
 
Uzi kabisa huuπŸ’ͺ
 
It's a Bitter Truth about Black People.
Most of the Black People are full of unwanted and unfriendly behaviors.

Most of the Black People are CROOKS, they are full of bad qualities and uncivilized characters.


"Wherever you see Black people you see problems, Black itself alone is a problem."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Shukrani sana kwa andiko lako hili.
Andaa uzi kamili tujadiliane zaidi.
 
Botha alishamaliza mkuu
Mtu mweusi sio mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…