Kwanini wengi wanaamini mtu mweusi ni mbabaishaji na asiye na uwezo? Tatizo nini wakuu?

Kwanini wengi wanaamini mtu mweusi ni mbabaishaji na asiye na uwezo? Tatizo nini wakuu?

Well said Hayaland......Wakorea wamejinyima kwa kupunguza Matumizi Weusi tumekusanyika Lundo nzima tutumie pesa za kukopa kwao.


Pia tupo nyuma katika mambo ya kiroho au universes

Ukiwa mtu unayeomba omba na wewe hautoi basi mtiririko wa kupata PESA unaanza kuwa mgumu .


Hao watu weupe wanajua Sana spiritual things

If you know nothing in spiritually you hustle in vain
 
Sisi ndo kenge kwenye ule msafara wa mamba na inaelekea plan ya Mungu kumuumba binadamu hakumanisha kumuumba mtu mweusi sisi tuliibukia njiani its like vile unalima mpunga alafu kuna magugu yanafanana na mpunga yakaota na mpunga ambayo ndo sisi.


Sisi tumeumbwa binadamu kamili Ila tumevunja sheria za ulimwengu .

Hatupokei mafunuo revelation
Hatuna maono pia ubinafsi

Wenzetu wazungu wanazingatia sharia za ulimwengu kupata kutoa kupendana kuwa positive na kutambua thamani na umuhimu wa kila MTU.

Mimi mwenyewe I used to break the law Ila now nimeacha and life is Good kiukweli I see a lot of God's blessings
 
20240606_093428.jpg
 
Weengi wanaamini mweusi ni mpenda njia za mkato 'shortcuts' tena hata hajali kama kuna mahali anaharibu au kuna watu anawaumiza

Weeengi humu wanaamini mtu mweusi ni ungaunga mwana

weengi humu wanaamini mweusi ni mtu wa dilidili za hapa na pale za kimjinimjini yaani almradi bora liende

weengi wanaamini mweusi ni mtu wa hadaa na konakona na usipokaa sawa anaweza kukuuza hata wewe kama fungu la nyanya

weeengi wanaamini mweusi ni full janjajanja na usanii mwingi

weengi wanaamini mweusi ni wa ahadi lukuki zisizotimizika

weengi humu wanaamini mweusi ni mtu wa maneno meeengi matamu kama asali lakini yasiyo na hata chembe ya tija

wakuu tatizo ni nini hasa mbona kuna weusi wengi tu wamenyooka hawana konakona mfano mzuri mimi mwenyewe hapa
exposure.
Hii ipo TZ kuliko popote
 
Huu ujinga wa kusema watu weusi wapo hivi au vile upo sana Tanzania...ila ukitembea utajua sisi weusi kuwa ni watu special sana hapa duniani...weusi wanaojitambua kwa sana katika Afrika ni Wanigeria wakifuatiwa na Wasouth...East Africa ni wakenya...ila watanzania wengi wana self hate sana...wachache wanaojitambua...
Hao wanaijeria si ndo wanajulikana kwa utaperi dunia nzima.
 
Kuna jamaa alisema mtu mweusi ni binadamu toleo la mwisho,yaani makapi ya binadamu...
 
Jo
Mbona akina Jocate na kina Wema hawakula Ugali?

Ugali unasingiziwa au ni moja ya sababu ktk nyingi.
Hao unaowasema inaonekana ndo wamekula ugali kushinda wewe ni basi tu baba zao ugali walilia ktk chama tawala. Sijajua umewapima ktk inshu gani lakini hakuna kipimo Cha kuwafanya hao wawe wasafi.
 
Jo

Hao unaowasema inaonekana ndo wamekula ugali kushinda wewe ni basi tu baba zao ugali walilia ktk chama tawala. Sijajua umewapima ktk inshu gani lakini hakuna kipimo Cha kuwafanya hao wawe wasafi.
Hahaa......mkuu mmoja amekulia Los Angeles Mwingine Malaysia
 
USA AFRiCA Summit, China Africa Summit, South Korea Africa Summit. Yaan viongozi hamsini woote wanaitwa na mtu mmoja, kwanini na wao wasije hapo Ethiopia makao makuu?
 
Hahaa......mkuu mmoja amekulia Los Angeles Mwingine Malaysia
Huyu Jocate si kasoma Loyola hapo Mabibo na chuo akaenda UDSM ama Jocate yupi. Huyo mwingine hajasoma Soma soma sana yeye alikuwa ktk urembo urembo na at 19 akawa miss Tz huko walikaa kipindi kidogo basi kwa maana hiyo. Unless, nihabarishwe
 
Mbona akina Jocate na kina Wema hawakula Ugali?

Ugali unasingiziwa au ni moja ya sababu ktk nyingi.
Lakini mbona na wao hawana upeo kama wa wazungu. The have not established themselves despite being in the politics and entrainment for two decades ni shithole tu hao hamna kitu.
 
We unaamini nini labda tuanze na wewe?

Kifupi Weusi na wehu vimekaribiana sana we angalia hata hao weusi waliozaliwa Marekani.
Mfano Balloteli, R.kelly, Lily wyne, Birdman, Snoop, BIG, 2pac, Pdidy, Tyson, Myweather na wengine wa kufanana nao.
Imeangaliwa kimtazamo hadi tu, vipi watu kama Ben Carson, Lloyd Austin, Condoreza Rice, Obama...
 
I wish watu weusi tupunguze tabia ya uongo, na tulee watoto katika maadili ya kusema ukweli, kwangu mimi uongo ni mzizi wa dhambi/makosa mengi kama si yote.

Kujitambua kunaanza na kuishi kwenye uhalisia, uhalisia = Ukweli.
 
I wish watu weusi tupunguze tabia ya uongo, na tulee watoto katika maadili ya kusema ukweli, kwangu mimi bongo ni mzizi wa dhambi/makosa mengi kama si yote.

Kujitambua kunaanza kuishi kwenye uhalisia, uhalisia = Ukweli.
Hutuwezi mfumo tunaoishi unatuburuza umasikini umetawala africa ni ngumu sana mtu maskini kuwa mkweli.

Huko ulaya wanaweza sababu mfumo unaenda na uhalisia wa maisha yao.
 
Back
Top Bottom