Kwanini wengi wanaamini mtu mweusi ni mbabaishaji na asiye na uwezo? Tatizo nini wakuu?

Kwanini wengi wanaamini mtu mweusi ni mbabaishaji na asiye na uwezo? Tatizo nini wakuu?

Weengi wanaamini mweusi ni mpenda njia za mkato 'shortcuts' tena hata hajali kama kuna mahali anaharibu au kuna watu anawaumiza

Weeengi humu wanaamini mtu mweusi ni ungaunga mwana

weengi humu wanaamini mweusi ni mtu wa dilidili za hapa na pale za kimjinimjini yaani almradi bora liende

weengi wanaamini mweusi ni mtu wa hadaa na konakona na usipokaa sawa anaweza kukuuza hata wewe kama fungu la nyanya

weeengi wanaamini mweusi ni full janjajanja na usanii mwingi

weengi wanaamini mweusi ni wa ahadi lukuki zisizotimizika

weengi humu wanaamini mweusi ni mtu wa maneno meeengi matamu kama asali lakini yasiyo na hata chembe ya tija

wakuu tatizo ni nini hasa mbona kuna weusi wengi tu wamenyooka hawana konakona mfano mzuri mimi mwenyewe hapa
Hayo ni mawazo yako
 
BAADHI YA SIFA ZA WATU WEUSI

  • Wavivu wa kufanya kazi, (wanapemnda mtelezo)
  • NI Ombaomba
  • Hawana aibu hata kidogo
  • Wizi
-Wanapenda kutilishi huruma (always plays victim card)
  • Wanapenda ngono kupitiliza (ni watu ambao wapo more obsessives na starehe kuliko kitu chochote)
  • Uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
  • wabaguzi vibaya sana (ila always wanaongoza kulalamikia kubaguliwa)
  • Wenyewe tayari wameshjikata wanaongoza kuleta shobo kwa vitu vya Wazungu waarabu (unaweza mkuta akishafika ulaya anaanza kuekti mzungu halafu anataka wazungu wamchukulie kama mzungu mwenzao, wakati kwao africa hakuna mzungu wala muhindi anaechukuliwa kama anayotaka yeye afanyiwe huko ulaya sasa hapo akisimangwa kiido tu anasikia anaanza kulialia haki zake asibaguliwe) Umewahi sikia mzungu au muhindi anadai haki zake Africa?
  • Nidhamu yakila kitu ni 0
  • Wachawi Washirikina kupita kiasi
 
Back
Top Bottom