Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Absolutely!
Copy & Paste from KGB, that's why we're living as if We're in the Hell!
 
Naona unatamba tu hapa ila trust me ipo siku utajaa tu kwenye mtego na ndipo utakapojua kwamba hujui kitu. Endelea tu kuropoka
Aisee mbona unamtishia mkuu, nilidhani hapa ni jf platfom where we dare to speak freelly, na je ukimtishia huoni unamsanua kukwepa hiyo "mitego" kama hata unayo ?!, unajitafutia umaarufu au nini ?!

Mwenye mitego KAMWE hasemi, nyie ndio UVCCM kutwa mnajifanya TISS.
 
Kuna ukweli fulani katika hili, ndio maana watumishi wengi wa hizi kazi huendelea kupewa vyeo mbalimbali.
 
Kitu kinachoniuma ni recruitment style yao..

1- siijui exactly..
2- Naona mapungufu mengi ktk hiyo procedure..


Uzuri hii Nchi hatuna vita zaidi ya vita ya kiuchumi na ki maadili. (AMBAZO NI VITA NGUMU MNO)
Wawaige CIA, unaomba kazi kama kazi nyingine na pia wanazo hadi volunteering na internships.
 
Ni Ushamba wa Tanzania tu Mkuu
Hiyo Taasisi imesheheni Vilaza wa Kutosha
 
TiSS wana maisha bana acheni kujifariji, nina ndugu yangu ni mtu wa usalama ana maisha mazur yamenyooka
Hata TRA wana maisha ila pesa za madili sio kwa mishahara yao halisi.
 

Ni hatari chombo cha usalama kuwa na political affiliations hasa kwenye nchi zinazojinasibu kuwa na mfumo wa vyama vingi. Uzalendo ni nadharia tu kwakweli. Watu wako na maslahi yao.
 
hapana...! zile ni nguo za kumfanya mtu aonekane nadhifu tu...ila wana sare zao kama za jeshi zenyewe zinafanana na rangi ya CHUI....kaitazame ile video ya makonda alivyoenda kuvamia clouds.​
Mara nyingi wanaozivaa hizo huwa ni wale walinzi wa viongozi.
 
We vaa tu sutiKaunda nyoa kipara nenda kaunta kunywa WINDOKU ukiwa umesimama kaunta...macho yako yanaangaza angaaza kila kona
Utaona Wabongo wananong'onezana wengine hata kukimbia kaunta.....

MAUJIKO ..teh teh teh....yani kutisha tu watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…