Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Mimi nafikiri TISS wenyewe ndiyo wameharibu taswira ya Chombo hicho kwa jamii! Wengine wanajisahau na kujionyesha kuwa ni Usalama!
Enzi za Mwalimu walikuwa waadilifu hata kuwajua ilikuwa kazi kweli kweli.Hata raia wa kawaida alikuwa hajui kama kuna chombo hicho.
wanajulikana sana tu sema ni kwasababu huna ndugu anae fanya kazi huko....! lakini sio kazi yenye usiri huo mnao dhani...! japo kuna baadhi ya mission sometime it coast someone to change the identity...ila haiondoi ukweli kuwa mke na watoto wanajua kuwa baba yao anafanya kazi gani...🤭

babu yangu tu Marehemu mzee Kitandu tulijua anafanya kazi ofisi ya Rais ila yule aliishi maisha ya uharisia ambayo huwezi kukisia kazi yake huyu mzee alinyweshwa damu ya bendera na uzarendo ukamvaa haswa nadhani ni product ya mwisho ya Nyerere 😭😭😭😭

tulikuja kugundua kuwa alikuwa ni TISS siku ya msiba wake msiba uligharamiwa na kitengo na kitengo kilikusanya nyaraka, hardcopy na computer zote za nyumbani kwake walipita nazo wakidai kuwa zilikuwa ni mali za ofisi...🤣🤣🤣

walifanya upekuzi nyumba nzima...nilikuwa karibu sana na Babu nakumbuka kuna mwana kitengo mmoja baada ya kugundua wanacho kitafuta awajakipata kwenye zile hardcopy na computer walizo chukua akawa ananifuata pale msibani akiniuliza ki uzushi

"babu yako kuna kitu alikuwa anaandika amekiandika kwa muda mrefu niambie lilipo hilo andiko"
 
wanajulikana sana tu sema ni kwasababu huna ndugu anae fanya kazi huko....! lakini sio kazi yenye usiri huo mnao dhani...! japo kuna baadhi ya mission sometime it coast someone to change the identity...ila haiondoi ukweli kuwa mke na watoto wanajua kuwa baba yao anafanya kazi gani...[emoji2960]

babu yangu tu Marehemu mzee Kitandu tulijua anafanya kazi ofisi ya Rais ila yule aliishi maisha ya uharisia ambayo huwezi kukisia kazi yake huyu mzee alinyweshwa damu ya bendera na uzarendo ukamvaa haswa nadhani ni product ya mwisho ya Nyerere [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

tulikuja kugundua kuwa alikuwa ni TISS siku ya msiba wake msiba uligharamiwa na kitengo na kitengo kilikusanya nyaraka, hardcopy na computer zote za nyumbani kwake walipita nazo wakidai kuwa zilikuwa ni mali za ofisi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

walifanya upekuzi nyumba nzima...nilikuwa karibu sana na Babu nakumbuka kuna mwana kitengo mmoja baada ya kugundua wanacho kitafuta awajakipata kwenye zile hardcopy na computer walizo chukua akawa ananifuata pale msibani akiniuliza ki uzushi

"babu yako kuna kitu alikuwa anaandika amekiandika kwa muda mrefu niambie lilipo hilo andiko"
Sawa tithi[emoji3][emoji3]
 
wanajulikana sana tu sema ni kwasababu huna ndugu anae fanya kazi huko....! lakini sio kazi yenye usiri huo mnao dhani...! japo kuna baadhi ya mission sometime it coast someone to change the identity...ila haiondoi ukweli kuwa mke na watoto wanajua kuwa baba yao anafanya kazi gani...[emoji2960]

babu yangu tu Marehemu mzee Kitandu tulijua anafanya kazi ofisi ya Rais ila yule aliishi maisha ya uharisia ambayo huwezi kukisia kazi yake huyu mzee alinyweshwa damu ya bendera na uzarendo ukamvaa haswa nadhani ni product ya mwisho ya Nyerere [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

tulikuja kugundua kuwa alikuwa ni TISS siku ya msiba wake msiba uligharamiwa na kitengo na kitengo kilikusanya nyaraka, hardcopy na computer zote za nyumbani kwake walipita nazo wakidai kuwa zilikuwa ni mali za ofisi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

walifanya upekuzi nyumba nzima...nilikuwa karibu sana na Babu nakumbuka kuna mwana kitengo mmoja baada ya kugundua wanacho kitafuta awajakipata kwenye zile hardcopy na computer walizo chukua akawa ananifuata pale msibani akiniuliza ki uzushi

"babu yako kuna kitu alikuwa anaandika amekiandika kwa muda mrefu niambie lilipo hilo andiko"
mzee anaumwa hadi anafariki hajui hilo andiko liko wapi na ni la muhim hadi anakuja kuzuga kwa wewe mjukuu? Hamna Tiss hapo.
 
Mimi nafikiri TISS wenyewe ndiyo wameharibu taswira ya Chombo hicho kwa jamii! Wengine wanajisahau na kujionyesha kuwa ni Usalama!
Enzi za Mwalimu walikuwa waadilifu hata kuwajua ilikuwa kazi kweli kweli.Hata raia wa kawaida alikuwa hajui kama kuna chombo hicho.
Raia wa kawaida wanatakiwa wajue kuna chombo hicho na kazi zao msingi
 
Peace upon ya'all,

Ebwana ni ajabu sana mtaani ukipita mtu anaesemekana ni TISS hutukuzwa na hata watu wengine wengi hujifanya TISS ili kuonekana maalumu na kutafuta maujiko

Hata hapa jf wengi hujifanya TISS ili kujipatia ujiko ajabu ni kwamba kama ilivyo nesi, daktari, mfamasia, dentist n.k wako katika kada ya afya (health sector) au walimu, wakufunzi wako kada ya elimu (education sector) au kama marubani, airhostess, astronuts n.k wako kada ya aviation ndivyo pia askari magereza, polisi, askari jeshi, mgambo na TISS wote ni kada ya ulinzi.

Kimsingi TISS ni kada ya ulinzi kundi moja, taaluma moja na mgambo wametofautiana juristiction chache ila wana mengi ya pamoja kuliko utofauti. Hata kimaslahi TISS ni wakawaida sana na wamepitwa na kada nyingi tu na hamna maajabu yoyote kwa hawa walinzi.

Kama reporting TISS officer analipwa 1,850,000 (1.8M) mbona ni kamshahara kadogo kuliko hata lecturer wa chuo cha umma achilia mbali daktari mwandamizi au hata tu mkandarasi wa electrical installation wa mradai wa pale Stigler anaelipwa zaidi ya 3M.

Ni ushamba tu wa Watanzania kuona ati walinzi hawa ni watu wa hadhi kubwaaaa, na ujinga huo ndio unawafanya watu kama Sabaya mwaka 2018 - 19 kujifanya TISS huku akisafiri bure, na kupata huduma katika mahotel makubwa bure akiwaonyesha kitambulisho tu.

Kitu ambacho hata angekua kweli ni TISS hakuna upendeleo wa kupata huduma bure hata sio invoice hapana anatakiwa kulipa labda vingvyo iwe argency ya serikali.
1,850,000 daktari anayeanza kazi hana hiyo pesa. Wapo vizuri kumbe!
 
Peace upon ya'all,

Ebwana ni ajabu sana mtaani ukipita mtu anaesemekana ni TISS hutukuzwa na hata watu wengine wengi hujifanya TISS ili kuonekana maalumu na kutafuta maujiko

Hata hapa jf wengi hujifanya TISS ili kujipatia ujiko ajabu ni kwamba kama ilivyo nesi, daktari, mfamasia, dentist n.k wako katika kada ya afya (health sector) au walimu, wakufunzi wako kada ya elimu (education sector) au kama marubani, airhostess, astronuts n.k wako kada ya aviation ndivyo pia askari magereza, polisi, askari jeshi, mgambo na TISS wote ni kada ya ulinzi.

Kimsingi TISS ni kada ya ulinzi kundi moja, taaluma moja na mgambo wametofautiana juristiction chache ila wana mengi ya pamoja kuliko utofauti. Hata kimaslahi TISS ni wakawaida sana na wamepitwa na kada nyingi tu na hamna maajabu yoyote kwa hawa walinzi.

Kama reporting TISS officer analipwa 1,850,000 (1.8M) mbona ni kamshahara kadogo kuliko hata lecturer wa chuo cha umma achilia mbali daktari mwandamizi au hata tu mkandarasi wa electrical installation wa mradai wa pale Stigler anaelipwa zaidi ya 3M.

Ni ushamba tu wa Watanzania kuona ati walinzi hawa ni watu wa hadhi kubwaaaa, na ujinga huo ndio unawafanya watu kama Sabaya mwaka 2018 - 19 kujifanya TISS huku akisafiri bure, na kupata huduma katika mahotel makubwa bure akiwaonyesha kitambulisho tu.

Kitu ambacho hata angekua kweli ni TISS hakuna upendeleo wa kupata huduma bure hata sio invoice hapana anatakiwa kulipa labda vingvyo iwe argency ya serikali.
Endapo kama wangewafahamu vizuri hao tiss pamoja na "mambo yao yanayowahusu," watu wanaojifanya kuwa ni wafanyakazi wa huko wala wasingethubutu hata kujiita kuwa wao ni tiss.Hawajui tu watu hao. Wenyewe halisi waliopo huko wengi wao hawana furaha wala amani mioyoni mwao, wanatamani sana kutoka huko lakini wanashindwa kwa sababu tayari "wameshafunga 'ndoa ya kikristo' na shetani, hakuna talaka, ni kifo pekee ndicho kitakachowatenganisha." Ukweli ni kwamba wengi wao wanatamani sana kuvunja ndoa (talaka) hiyo mbaya na shetani ili wawe huru, lakini imeshindikana.
 
Sawa tithi[emoji3][emoji3]
sina utithi wowote nahangaika tu...ila kupitia katiba yetu kama wewe na Mtanzania wewe pia ni TISS no.1. maana katiba inaweka wazi kuwa juku la kuilinda nchi yetu na mipaka yake ni la kila mtanzania.

kwa kigezo hicho wote sisi ni TISS kasoro wengi hatuna vitambulisho tu vyekundu na vyeti vya mafunzo ya nyongeza...!​
 
Intelligence...aliyebobea utamtambuwa kwa Ufunguo unaoitwa INTEGRITY
Hata akiwa baa kuanzia unywaji wake ukaaji interaction yake na walevi wahudumu omba omba wanaopita kwenye baa ...kimatendo utaona kabisa kuna Nidhamu katika matendo yake...Hajikwezi...Hujiamini ..hutoa heshima bila kujali Mwonekano wako...Kifupi huyu mtu hujifyuzi kwa kila mtu iliye kwenye Duara lake.....anaweza kwenda kwa Dj akamwambia piga ngoma flan...then hiyo ngoma ikivurumishwa unaona baa yote IMEFAYAA....Kifupi hutumia saikoloji UMEME kujuwa uwepo wa kila mmoja hapo....

Hawa watu wanauwezo kutimba hata huko Goma na kuchukuwa Taarifa anayoitaka bila Valuvalu zozote.....

Cc Yericko Nyerere
Mnawakuza sanaaaa
Mapopo tuuu
Mtaani tunaishi nao

#YNWA
 
Back
Top Bottom