Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Endapo kama wangewafahamu vizuri hao tiss pamoja na "mambo yao yanayowahusu," watu wanaojifanya kuwa ni wafanyakazi wa huko wala wasingethubutu hata kujiita kusa wao ni tiss.Hawajui tu watu hao. Wenyewe halisi waliopo huko wengi wao hawana furaha wala amani mioyoni mwao, wanatamani sana kutoka huko lakini wanashindwa kwa sababu tayari "wameshafunga 'ndoa ya kikristo' na shetani, ni kifo pekee ndicho kitakachowatenganisha." Ukweli ni kwamba wengi wao wanatamani sana kuvunja ndoa hiyo mbaya na shetani ili wawe huru, lakini imeshindikana.
Kuacha Kazi TISS inawezekana.
Ni kama kuacha Kazi kwa nyengine yoyote.

#YNWA
 
Kuacha Kazi TISS inawezekana.
Ni kama kuacha Kazi kwa nyengine yoyote.

#YNWA
Unaachaje kwa mfano?? Utatoa sababu gani ya msingi ya kuacha kazi yao?? Labda utoroke na kuhama nchi, la sivyo lazima wenzako uliowaacha huko watakuundia kamati ya kumalizana na wewe fasta sana ili usije kwenda kuwa kirusi huko uraiani.
Kumbuka: Kitu pekee kabisa ambacho wachawi wanakiogopa sana ktk maisha yao hapa duniani ni kuona kwamba Siri zao kuhusiana na mambo yao ya kichawi zinawekwa nje hadharani.
 
Sabaya ni TISS kweli Wala siyo kujifanya.

Tatizo kubwa mmejengwa vichwani kwenu TISS ni watu genius na akili kubwa sana na hivyo mtu Kama Sabaya hawezi kuwa na kiuhalisia ndio usalama wenu hao.

Kwa lugha rahisi Sabaya nanyule aliyemtolea Nape bastola ni usalama ni vichwa panzi tu.
Acha kudanganya Watu Sabaya siyo TISS and he can never become one of them. Nasisitiza tena Sabaya siyo Usalama wa Taifa na kamtafute Aliyekudanganya hivyo na Mpige Vibao sawa? Angekuwa ni TISS angelelewa kwa kupewa Msaada na Mfanyabiashara Davis Mosha na kukaa Bure katika Appartments zake za Sinza? Usitake niseme mengi juu yake na naomba tu niishie hapa tafadhali.
 
Unaachaje kwa mfano?? Utatoa sababu gani ya msingi ya kuacha kazi yao?? Labda utoroke na kuhama nchi, la sivyo lazima wenzako uliowaacha huko watakuundia kamati ya kumalizana na wewe fasta sana ili usije kwenda kuwa kirusi huko uraiani.
Kumbuka: Kitu pekee kabisa ambacho wachawi wanakiogopa sana ktk maisha yao hapa duniani ni kuona kwamba Siri zao kuhusiana na mambo yao ya kichawi zinawekwa nje hadharani.
Punguza kuwa - amplify
1. Namjua mwanajeshi mmoja kaacha Kazi sasa hivi ana kiwanda cha madaftari Iringa
2. Namjua Polisi kaacha Kazi sasa hivi ana duka la Nguo Tunduma
3. Namjua TISS kaacha Kazi sasa hivi ni bonge la mkulima wa mahindi Sumbawanga.

Hivyo INAWEZEKANA.

#YNWA
 
Acha kudanganya Watu Sabaya siyo TISS and he can never become one of them. Nasisitiza tena Sabaya siyo Usalama wa Taifa na kamtafute Aliyekudanganya hivyo na Mpige Vibao sawa? Angekuwa ni TISS angelelewa kwa kupewa Msaada na Mfanyabiashara Davis Mosha na kukaa Bure katika Appartments zake za Sinza? Usitake niseme mengi juu yake na naomba tu niishie hapa tafadhali.
Intelligence work/job in most cases is the Secondary Job, not a primary job, that's why most of the spies all over the world are working under cover in order to conceal their identities.
 
H
Acha kudanganya Watu Sabaya siyo TISS and he can never become one of them. Nasisitiza tena Sabaya siyo Usalama wa Taifa na kamtafute Aliyekudanganya hivyo na Mpige Vibao sawa? Angekuwa ni TISS angelelewa kwa kupewa Msaada na Mfanyabiashara Davis Mosha na kukaa Bure katika Appartments zake za Sinza? Usitake niseme mengi juu yake na naomba tu niishie hapa tafadhali.

haha, naona unamchafua andakava

Gety bana

Kiufupi Dingi yake ndio mwandani wa pale bawa ( inasemwa kitambo) Dogo nadhani ni bite ya wanaidara ( misheni flani wanakutema)
 
Punguza kuwa - amplify
1. Namjua mwanajeshi mmoja kaacha Kazi sasa hivi ana kiwanda cha madaftari Iringa
2. Namjua Polisi kaacha Kazi sasa hivi ana duka la Nguo Tunduma
3. Namjua TISS kaacha Kazi sasa hivi ni bonge la mkulima wa mahindi Sumbawanga.

Hivyo INAWEZEKANA.

#YNWA
Hao awajaacha kazi bro

Huyo Mkulima ukifwatilia ruzuku anapotoa utakimbia

Kuacha kazi mazima hapo ngumu hao ubadilishiwa majukumu siku anafariki utashangaa mengi
 
Punguza kuwa - amplify
1. Namjua mwanajeshi mmoja kaacha Kazi sasa hivi ana kiwanda cha madaftari Iringa
2. Namjua Polisi kaacha Kazi sasa hivi ana duka la Nguo Tunduma
3. Namjua TISS kaacha Kazi sasa hivi ni bonge la mkulima wa mahindi Sumbawanga.

Hivyo INAWEZEKANA.

#YNWA
Kwa nchi zingine zenye tawala za kidemokrasia hilo linawezekana lakini siyo kwenye hizi nchi zetu zenye vinasaba na Ujamaa/Ukomunisti, Watakuua wenzako. Uache kazi yao ghafla tu, si ndio watakuona wewe unawasaliti. Lazima wataku-assassinate tu. Labda ukimbie nchi uende ukajifiche mbali huko kama vile nchi ya Guatemala au Peru ili wasikuone.
 
Kwa nchi zingine zenye tawala za kidemokrasia hilo linawezekana lakini siyo kwenye hizi nchi zetu zenye vinasaba na Ujamaa/Ukomunisti, Watakuua wenzako. Uache kazi yao ghafla tu, si ndio watakuona wewe unawasaliti. Lazima wataku-assassinate tu.
Ila si nimekupa mfano wa aliyeacha Kazi?

#YNWA
 
Sawa ila kitengo ukijui,

Huyo Mkulima ni mwanaidara mpaka siku anaingia kaburini

Nakuambia tena siku akifariki utashangaa mengi

Kwa Africa sio rahisi kuacha kazi kirahisi kitengo
Sawa.
Na lako liwe sahihi.

Ila huyo TISS siku anaenda bagamoyo (chuo chao) alilalia gheto kwangu, nikamsindikiza mpaka kwenye Costa yao (siku ya kwanza wanakusanywa kwenda chuo).

Na aliacha Kazi 2020, mpaka leo huwa tunakulana tuuu.

Then najua mengiii kwasababu nilikuwa naendaga kwake then nasoma mengii na kunihadithia mengii.

Kifupi: KAACHA KAZI.

Na pia hata huku tulipo, piss za TISS tunajigongea tu.
Kuna mwengine alinionyesha mpaka mshahara wake. Wanakatwa Bima tu ya afya.
Hawana chama cha wafanyakazi wala PSSF.
Na hupewa 150,000 ya dharura + house allowance. Ukijumlisha ndio inafika Mil 1.85

Ni watu wa kawaida sanaa ila tatizo MNAWAKUZAAAAA.

Usiku mwema.

#YNWA
 
Acha kudanganya Watu Sabaya siyo TISS and he can never become one of them. Nasisitiza tena Sabaya siyo Usalama wa Taifa na kamtafute Aliyekudanganya hivyo na Mpige Vibao sawa? Angekuwa ni TISS angelelewa kwa kupewa Msaada na Mfanyabiashara Davis Mosha na kukaa Bure katika Appartments zake za Sinza? Usitake niseme mengi juu yake na naomba tu niishie hapa tafadhali.
Tiss is very wide wewe, watu hadi wanalelewa na mishangazi lakini ni Tiss. Uskariri, hiyo kada ina watu wengi mbalimbali na wenye maisha mbalimbali. Tiss sio ualimu kwamba kila mtu anajua wewe ni nani. Umdhaniae sie kumbe ndiye and viceversa.
 
Huyo atakuwa ni "Mkulima Mamluki."
Boss napiga pumbu huelewi nini?

Na tunawapiga pumbu tu.
Kuna mmoja nilimpatia kwenye kikao cha ofisi ya DS.

Akawa ananipa mpaka documents zao nasoma, kwamba wakiwa chuoni kwao bagamoyo huchagua staili ya kupigana na kujiendeleza kama karate au boxing.
Lakini pia huyo demu wangu wa kwanza niliyemsindikiza kwenye chuo baada ya miezi mi3 ya course/kambi Kuna siku waliachiwa kama assignment waende sokoni wakusanye taarifa fulani.
Alipita gheto tukakumbushia then akaendelea na assignment yake.

Ni wa kawaida sanaaaa Hawa watu, ila MNAWAKUZA SANAAAA.

#YNWA
 
Huyo atakuwa ni "Mkulima Mamluki."
Dogo ajui Hilo Dubwana lilivyo pana

Unaweza fungwa, ukateswa ila kwa malengo fulan na Bado ukaendelea kuwa mtiifu idarani

Dubwana Hilo upana wake hata Viongozi wa juu wengi awajui shape yake, rangi yake

Hata namba zile 3 za Juu wanajua 5% ya Ukweli wa Idarani labda ukute ni senior

Membe na ubobezi wake alichezewa na Intake ya 2014-16 na akasanda

GM
 
Tiss is very wide wewe, watu hadi wanalelewa na mishangazi lakini ni Tiss. Uskariri, hiyo kada ina watu wengi mbalimbali na wenye maisha mbalimbali. Tiss sio ualimu kwamba kila mtu anajua wewe ni nani. Umdhaniae sie kumbe ndiye and viceversa.
Boss TISS wanajulikana kabisaaa.

Ngoja nikupe mfano;- 2014 nilipangwaga kwenda kusimamia BVRN Kijiji kimoja hivi (makao makuu ya Halmashauri X)

Kufika kule, jamaa wa TISS ndio akawa mwenyeji wetu (hakukua na guest)

Sasa Kuna siku tunaondoka asubuhi kwenda Kufatilia zoezi vituoni huko akatokea mmama mmoja akatupigia kelele ""Kaka usalama wa TAIFA, hujanipa hela ya maziwa""

Alimwita "KAKA USALAMA WA TAIFA" na ni mama tu mwanakijiji muuza maziwa...!!!!

Ni wakaida tu msiwa Maximize sanaaa.

#YNWA
 
Back
Top Bottom