Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

wanajulikana sana tu sema ni kwasababu huna ndugu anae fanya kazi huko....! lakini sio kazi yenye usiri huo mnao dhani...! japo kuna baadhi ya mission sometime it coast someone to change the identity...ila haiondoi ukweli kuwa mke na watoto wanajua kuwa baba yao anafanya kazi gani...🤭

babu yangu tu Marehemu mzee Kitandu tulijua anafanya kazi ofisi ya Rais ila yule aliishi maisha ya uharisia ambayo huwezi kukisia kazi yake huyu mzee alinyweshwa damu ya bendera na uzarendo ukamvaa haswa nadhani ni product ya mwisho ya Nyerere 😭😭😭😭

tulikuja kugundua kuwa alikuwa ni TISS siku ya msiba wake msiba uligharamiwa na kitengo na kitengo kilikusanya nyaraka, hardcopy na computer zote za nyumbani kwake walipita nazo wakidai kuwa zilikuwa ni mali za ofisi...🤣🤣🤣

walifanya upekuzi nyumba nzima...nilikuwa karibu sana na Babu nakumbuka kuna mwana kitengo mmoja baada ya kugundua wanacho kitafuta awajakipata kwenye zile hardcopy na computer walizo chukua akawa ananifuata pale msibani akiniuliza ki uzushi

"babu yako kuna kitu alikuwa anaandika amekiandika kwa muda mrefu niambie lilipo hilo andiko"
🤣🤣🤣Na wewe ni tisiii
Au unaganga njaa mtaani?
 
Tiss is very wide wewe, watu hadi wanalelewa na mishangazi lakini ni Tiss. Uskariri, hiyo kada ina watu wengi mbalimbali na wenye maisha mbalimbali. Tiss sio ualimu kwamba kila mtu anajua wewe ni nani. Umdhaniae sie kumbe ndiye and viceversa.
Endeleeni Kudanganya na Kudanganyika.
 
Mimi nafikiri TISS wenyewe ndiyo wameharibu taswira ya Chombo hicho kwa jamii! Wengine wanajisahau na kujionyesha kuwa ni Usalama!
Enzi za Mwalimu walikuwa waadilifu hata kuwajua ilikuwa kazi kweli kweli.Hata raia wa kawaida alikuwa hajui kama kuna chombo hicho.
Ni kweli mkuu hata me nina ndugu ni mtu wa usalama wa taifa na ndugu wote wanajua.
 
wanajulikana sana tu sema ni kwasababu huna ndugu anae fanya kazi huko....! lakini sio kazi yenye usiri huo mnao dhani...! japo kuna baadhi ya mission sometime it coast someone to change the identity...ila haiondoi ukweli kuwa mke na watoto wanajua kuwa baba yao anafanya kazi gani...[emoji2960]

babu yangu tu Marehemu mzee Kitandu tulijua anafanya kazi ofisi ya Rais ila yule aliishi maisha ya uharisia ambayo huwezi kukisia kazi yake huyu mzee alinyweshwa damu ya bendera na uzarendo ukamvaa haswa nadhani ni product ya mwisho ya Nyerere [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

tulikuja kugundua kuwa alikuwa ni TISS siku ya msiba wake msiba uligharamiwa na kitengo na kitengo kilikusanya nyaraka, hardcopy na computer zote za nyumbani kwake walipita nazo wakidai kuwa zilikuwa ni mali za ofisi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

walifanya upekuzi nyumba nzima...nilikuwa karibu sana na Babu nakumbuka kuna mwana kitengo mmoja baada ya kugundua wanacho kitafuta awajakipata kwenye zile hardcopy na computer walizo chukua akawa ananifuata pale msibani akiniuliza ki uzushi

"babu yako kuna kitu alikuwa anaandika amekiandika kwa muda mrefu niambie lilipo hilo andiko"
Ni kweli kabisa
 
Sawa.
Na lako liwe sahihi.

Ila huyo TISS siku anaenda bagamoyo (chuo chao) alilalia gheto kwangu, nikamsindikiza mpaka kwenye Costa yao (siku ya kwanza wanakusanywa kwenda chuo).

Na aliacha Kazi 2020, mpaka leo huwa tunakulana tuuu.

Then najua mengiii kwasababu nilikuwa naendaga kwake then nasoma mengii na kunihadithia mengii.

Kifupi: KAACHA KAZI.

Na pia hata huku tulipo, piss za TISS tunajigongea tu.
Kuna mwengine alinionyesha mpaka mshahara wake. Wanakatwa Bima tu ya afya.
Hawana chama cha wafanyakazi wala PSSF.
Na hupewa 150,000 ya dharura + house allowance. Ukijumlisha ndio inafika Mil 1.85

Ni watu wa kawaida sanaa ila tatizo MNAWAKUZAAAAA.

Usiku mwema.

#YNWA

kuna jambo moja umelitaja hapo kwa usahihi wake nimekubali unawafahamu hawa jamaa na haujahadithiwa kama wengi humu wanawashobokea na kuwatukuza ila ni watu wa kawaida na "hawana maajabu wanayotukuzwa kwayo"

huyo jamaa anabisha ni wale waliojazwa upepo mwingiii kuhusu TIS
 
Hao awajaacha kazi bro

Huyo Mkulima ukifwatilia ruzuku anapotoa utakimbia

Kuacha kazi mazima hapo ngumu hao ubadilishiwa majukumu siku anafariki utashangaa mengi
hauwafahamu ndio maana unazungumza habari za kahawa, manaacha kazi wengi tu, kati ya uongo uliodumu miongoni mwa jamii ni hili ati TISS hawezi kuacha kazi.

Wanaacha na wengine wanafukuzwa
 
Sawa.
Na lako liwe sahihi.

Ila huyo TISS siku anaenda bagamoyo (chuo chao) alilalia gheto kwangu, nikamsindikiza mpaka kwenye Costa yao (siku ya kwanza wanakusanywa kwenda chuo).

Na aliacha Kazi 2020, mpaka leo huwa tunakulana tuuu.

Then najua mengiii kwasababu nilikuwa naendaga kwake then nasoma mengii na kunihadithia mengii.

Kifupi: KAACHA KAZI.

Na pia hata huku tulipo, piss za TISS tunajigongea tu.
Kuna mwengine alinionyesha mpaka mshahara wake. Wanakatwa Bima tu ya afya.
Hawana chama cha wafanyakazi wala PSSF.
Na hupewa 150,000 ya dharura + house allowance. Ukijumlisha ndio inafika Mil 1.85

Ni watu wa kawaida sanaa ila tatizo MNAWAKUZAAAAA.

Usiku mwema.

#YNWA
[emoji23][emoji23]watu wa JF bana na watu wataamini
 
Back
Top Bottom