KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Hii hoja naileta kwenu kwa wataalum wa afya ili mpate kutuletea majibu stahiki,kwani asilimia kubwa ya watu tunaokaanao tunafanana lifestyle ya chakula, lakini utakuta mtu anahangaika na kupunguza unene ama kitambi na wakati huohuo kuna mtu anakaanae na kwa asilimia kubwa wanashare kinachutua mezani lakini mmoja ni mnene/anakitambi na mwengine hana!.
Doctors kwanini iwe hivyo?
Au na sisi binadamu ni species zenye aina tofautitofauti katika kukabiliana na chakula?
Nasubiri majibu yenu yenye maelezo ya kina, hii itasaidia wengi nakujua mtu aishi life style ipi ili aepuke mambo fulanifulani ya kiafya karibuni.
Doctors kwanini iwe hivyo?
Au na sisi binadamu ni species zenye aina tofautitofauti katika kukabiliana na chakula?
Nasubiri majibu yenu yenye maelezo ya kina, hii itasaidia wengi nakujua mtu aishi life style ipi ili aepuke mambo fulanifulani ya kiafya karibuni.