Kwanini wengine wawe na vitambi au wanene nawakati tunakulanao aina moja ya chakula?

Kwanini wengine wawe na vitambi au wanene nawakati tunakulanao aina moja ya chakula?

Kuna Kitu Inaitwa Tofi(Thin Outside Fatty Inside).
Hao Ni Watu 2 Tofauti Usishangae Baada ya Miaka Kadhaa Wote wakaja kupata Mgonjwa yanafanana na Kisababishi cha uzito.
Hypertension,Diabetes,Fatty liver.
Ingawa Kimuonekan Kuna 1 Anaoneka mnene Kwa Njee na Kuna Unene wa Ndani.
Mtu anakula Sanaa Ila Ila Hanenepi.Ila Mwingine ananenepa.
Shukrani,imebidi nichimbe hili zaidi
 
Kuna Dr anajiita Boaz ,yeye ana mwili wa warioba hanenepi kabisa ila ndiyo Dr wa lishe wa kuwashauri watu wapunguze unene wakati yeye hajawahi hata kunenepa.

Mtu kama Godfrey Kweka (Bagdad) au Msechu(Mzee wa Potu) au Fat Joe au Rick Ross wakikushauri jinsi ya kupungua utawaelewa.
 
Kuna Dr anajiita Boaz ,yeye ana mwili wa warioba hanenepi kabisa ila ndiyo Dr wa lishe wa kuwashauri watu wapunguze unene wakati yeye hajawahi hata kunenepa.

Mtu kama Godfrey Kweka (Bagdad) au Msechu(Mzee wa Potu) au Fat Joe au Rick Ross wakikushauri jinsi ya kupungua utawaelewa.

Yule dokta ndodi alikua anashauri wanaume tusile wali, tule dona na wala tusinywe soda ili kua wenye nguvu, hapo kabla hajawa na kitambi, siku moja nikamkuta Arusha Mianzini kwenye mgahawa anakanyaga pilau na nyama nyingi tu ya ng’ombe pembeni ana coca baridi na akiwa na bonge la kitambi haijawahi kutokea, nikajua kwa nini sasa haonekani kwenye tv kumbe yamemkuta na yeye
 
Yule dokta ndodi alikua anashauri wanaume tusile wali, tule dona na wala tusinywe soda ili kua wenye nguvu, hapo kabla hajawa na kitambi, siku moja nikamkuta Arusha Mianzini kwenye mgahawa anakanyaga pilau na nyama nyingi tu ya ng’ombe pembeni ana coca baridi na akiwa na bonge la kitambi haijawahi kutokea, nikajua kwa nini sasa haonekani kwenye tv kumbe yamemkuta na yeye

Hahahaaa Siku hizi yeye yupo redioni tu.
 
Kwa sisi waafrika iko hivi;
Unene = kuwa na hela.
Wembamba = kupigika.

Wengi wetu kwenye ukuaji wetu tulikuwa sio wanene ila baada ya kupata kazi kwenye malisho mazuri tukaanza kunenepa ovyo. Mfano hai ni wabunge. Timu ya mpira ya bunge iko tofauti kabisa na timu ya mpira ya waalimu wa Kanyigo Sec.
 
Yule dokta ndodi alikua anashauri wanaume tusile wali, tule dona na wala tusinywe soda ili kua wenye nguvu, hapo kabla hajawa na kitambi, siku moja nikamkuta Arusha Mianzini kwenye mgahawa anakanyaga pilau na nyama nyingi tu ya ng’ombe pembeni ana coca baridi na akiwa na bonge la kitambi haijawahi kutokea, nikajua kwa nini sasa haonekani kwenye tv kumbe yamemkuta na yeye
Profesa Janabi nilimvua uprofesa wake aliposema tusile chapati.
 
Ni Kweli Ngano Yana Chapati,Mkatee,Bia Na Vinginevy Vina Asili Ya Kitu Kinaiwa Gluten Ambay Hata kwenye Mahindi Ipo Ndio maan panya hali Ile Punje yote anakula kiin tyu chenye mafuta na protein maan hawez na Hana Hormone ya Kumengenya hiyo Gluten.
Kwa Mwanadamu Pia Anazalisha Hormone Ya kuvunja hiyo Gluten Shida inakuja Mwili Unaoiona kama Hormone Ngeni n kusababisha mapigano ya kihomone.
Bidhaa za ngano Na Sukari Zinakupa Uraibu Yan ukizoea n kama Unakula Madawa ya kul*vy* Sababu zinaribu mfumo wako wa akili Zinaend Kutrick Leptin Hormone na Kukufany Usikie njaaa hata kama huna njaaa kila Muda ule tu Energy,Matunda,Wali,Sembe,Soda Na Ngano,Tomato Sauce,Chips,
Hivy vyote vina sukari na mwili Haujui hii ni sukari ya asili au ya kutengeneza zote ni sukari.
 
Kwanini Watalaamu Hawaongeei haya mambo Unasikia nusu ya watu Dunian Kufikia 2035 Watakuwa na Unene Mkubwa.
Tunambiwa kula matunda ya Vitamini C ila Matunda yanakiwango kikubwa cha sukari(Fructose) Hii Inahifanyiwa na Ini Na Mwisho wake ni kitambii na Kalio kubwa kwa vijana wa kiume,Kupungua Hormone Ya Testosterone na kukosa nguvu za kiume.
Shida na Watengenezaji Wa Hizo Biidhaa Dunian wao Ndio Wanaofadhili Mambo mengi kuhusu Tafiti kuhusu Maswala ya chakula,Liste Na Afya Na Kusikia Ripoti Inasema ukila chumvi nyingi,Usipokula asubuhi, Hii Yote n kufanya Waendeleze biashara zao wapate pesa, Na Pia Wauze Madawa After Time. Na Hizo Tafiti Wanazoandika Ndio Wanalishwa madaktari Huko vyuoni Na Kuja Kutushauri Tule Matunda yan Vitamini C,Usile Chumvi nyingi,Cholesterol Ni Mbaya,Kula Milo 3 Hadi 6 Kwa Siku,Breakfast is Mostly important meal,Usitembe Kwenye Jua,Kunywa Glassza Bia 3 kwa siku N Afya,Usile Nyama Nyekundu.

Ukifata Yote Hayo Mwisho Ni Nguvu za Kiume,Uzito Kupindukia,Kitambi,Kisukari,Pressure,Cancer,Vidonda Vya Tumbo, Yana Mambo Mengi Chango Ni Lishe Ya kisasa Cha kushauri na wanasayansi na Matabibu waliosoma syllabus iliyofanyiliwa na Watu wa Viwandani na Wauza madawa.Its Business As Usually.
Haijalishi Ww N Mnene au Mwembaba Siku Hizi Mpaka watoto Wana High BP,Fatty liver Diesease Na Kisukari.

Tufanya Vipi
1.Acha Kula Bidhaa za ngano(Ina calcium Sulphate Ndio Ile Kuvutika kwa Makate na Andazi Ni Sawa Na Kuweka Au Kupiga Plaster Mwili wako Unanyima Virutubisho Muhimu Kuchukuliwa na Mwili Na Pili Inakuketea Uraibu)
2.Acha Matumizi Ya Simple Carbohydrates Wali,Sembe,Tambi,Mkate,Vinjwaji vywa Viwandani soda,Bia,Energy,
Tumia Carbo Zenye Fibrè Au Starch Maharage,Viazi vitamu,Mihogo,Ndizi Za Kupikwa(Sio Mbivu),magimbi,ulezi,matamba na dona,Mboga Za Majani(Utapata Vitamin C Na Minerals Especially Cabbage,Pilipil,Spinach)
3.Acha Kula Vyakula Vya kukaanga au Kupikwa na Mafuta Ya Seed Oil Alizeti,Masewe Na mengine.
Tumia Mafuta ya Nazi,Parachichi Au Mafuta Kutoka Kwnye Nyama Watakwambia ina Cholesterol ila kwanini mwili unazalisha asilimi 80% Ya Cholesterol kama n mbaya.
Cholesterol ni muhimu kwny uzalishaji wa mbegu za kiume na kike(Mayai).
4.Kula Milo 2 Kwa Siku Ikipendeza 1 Na Kula kuanzia Saa 8 Na Kabla ya Saa 2 Usiku.
Kula Asubuhi Hakuna Faida Mwili Unazalisha Energy kila Saa 10 Alfajiri ya kukuwezesha kufanya kazi kwa siku mzima kinachotusumbua na Uraibu wa sukari na Ngano Kufanya Tule Kila Wakati.
5.Kula Nyama Yoyote Kwa Wingi,Mayai,Maziwa Mtindi.(Ya Supermarket Hayana Kitu Na Fresh from Cow Ni Mazuri Ila Yakichemshwa Yanapoteza Virutubisho Muhimu.Nazi,Madafu,Parachichi,Mapera,
6.Fanya Mazoezi At Least Kwa wiki mara 3 na isizidi Dk 40.
Kukimbia mara 1 kwa wiki maan kukimbia kuna sababisha upungufu wa Growth Hormone.Ndio Maan Wanariadhaa wa Mbio Ndefu Ni Wembamba Sio Wanene.
7.Pata Muda Mzuri Wa Kulala At Least 8 Hrs per Day.
8.Acha Uraibu Ngono,Punyeto,Vilevi Sigara, Bangi,Shisha Nk.
9.Kunywa Maji Mwngi.Ikiwezekan Weka Na Chumvi.
Chumvi Na Muhimu kwa Mwili ila Inalaumiwa kwa makosa yaliyosabbishwa na sukari.
Ukianza matumizi ya chumvi hakikisha umeacha matumiz ya sukari na Simple Carbo.Sukari Na Chakula kikubwa cha seli za kansaaa.
10.Ondoa Matumizi Ya Vidonge vya uzaz wa Mpango kwa wanawake,Viagra Kwa wanaume,Fata Mlo Sahihi Fanya Mazoezi Utapata Majibu Mazuri.
Acha Dawa Za Sukari na Sindano zake fata Mlolo sahihi sukari inatibika na Pressure.
11.Acha Matumizi Ya Dawa za Mswaki zenye Flouride Na Maji Ya Kunywa Pia Acha matumizi Ya Plastic kuhifadhi vitu vya moto.
12.Jitahidi Ufunge Ndio Usile Mwili Wetu ni wa kipee sanaa Kula kila Mara N Chanzo cha magonjwa mengi.
Funga Kwa Masaa Na Siku
Unaweza funga masaa 18/6,20/4,16/8.
Idadi kubwa ya Msaa ni Kufunga Machache ni kula.
Chakula Toka Unakula Inahitajika Msaa 48 Mpaka Ukitoe kama Kinyesi.
Ww kwanini kwa siku ule milo 3(Uraibu) au 6.
Ndo maan usipopata choo baada ya masaa 72 Tunasema unashida ya mfumo wa chakula.
Lakini Mwili una Ghala La Nguvu Za Kukuwezesh Ufanye Kazi Masaa Hata 100 Bila Kula muhimu wakati Umefunga Kunywa Maji Ni muhimu kwa figo zako,Weka na chumvi kidgo kwny maji, Kunywa Na Kahawa Ili Kupunguza Maumivu ya Njaa.
Ukizoea Unafungua nguvu zilizofichwa na Mwili wako Kwa Muda mrefu(ketosis).
Funga Kwa Siku Mimi Nipo Kwenye siku ya 2 Bila Kula Ni Maji, Au Kahawa(Isiyo na Sukari Wala maziwa) Unaepuke kupaa mwili kitu chochote chenye Nutrient ukiwa umefunga. For 2 Or 3 Days. Na Ukifungulia kula mlo mwepesi Tu maparachich,Mayai ya Kuchemsha,Ndizi Za Kupikwa Karanga nk
Sio Donar,Maharage au Nyama.
 
Kisukari,High Or Low BP,Matatizo Ya Uzazi, Cancer,Uvimbe,Shida Ya Mifumo Ya Chakula (Vidong vya tumbo,Changu,Tumbo kujaa Gesi Nk),Uelewa Hafifu Kwa Watoto wdogo Hawambiliki,Wasahaulifu Hawaelewi(Below 10 Years Old),Na Mengine Mengi Tu.
Tiba Ni Vyakula Unakula Nini,Wakati Gani, Kwanini Na Unapata Nini kwny Hicho Unachokula.
Kwa Muda Wako Kapitie Kitu Kinaitwa 1.Authogaphy
2.Insulin Resistance
3.Leptin Resistance
4.Soma Kitabu How Pig Pharma Corrupt(Deadly Industry Medicine).
5.Kwa Changamoto,Ushauri DM.
 
Calcium Sulphate n Gypsum Powder N Ipo Kwny Mkate.
Kuvutika kwa Ngano Na Bidhaa zake ni uwepo wa kiwango kikubwa cha Gluten.
ambayo inamdhara kwa Mfumo wa Chakula.
Samaki au Nyama Iliyokangwa kwa seed Oil Alizeti au Mawese ni Sawa Na Kula nylon Haina kitu sababu mafuta yanaend kuondoa omega 3 na kuweka pressed omega 6 iliyopo kwny mafuta ambay ni mbaya ndio chanzo cha unene kwa walaji wa vitu vya mafuta mengi.
Mafuta mazuri ni ya nazi,Olive oil,Parachichi Na Mafuta ya Wanyama Au Cream za Maziwa(Ghee).
Mafuta Yakipata moto Yanatengeneza Harmful Radical Zikingia mwilini zinakutana na Sukar zako Ulizokula Na Kutengeneza au Kubadili Cell.
Cancer na shida nyingine.
Mliwahi kusikia kipindi flan walisema kuweka mafuta ya kula kwny chupa za plastic na kupanga barabarani kwajili y kuzaa ni mbaya kiafya.
Hujiulizi vipi kama yakipashwa moto na kupikiwa kama jua tu ni shida.
Kuna mtu atakwambia Yote Hayo kwani Hutakufa kweli Tunakufa Ila Utajisikiaje Unapata Fedhaa ukiwa na Miak 40.
Na 80% Ya Pesa Uliyopata Unatumia kujitubu kisukari au cancer.
Kitu Kingine Avoid Blueband na Margine.
Ukinunua kitu soma Ukiona Kuna E200 Au Cholesterol Free, acha kutumia sodium Benzoate,Potassium Benzoate ni vifadhio vya vyakula vingi vya viwandani ili vikae muda mrefu bila kuharibika.
Ogopa kitu kinachowez kukaa masaa 24 or 48 bila kuharibika usiweke kinywani mwako.
Utambiwa Science na Utafiti mara kiwango kilichopo n sahihi kwa bianadamu haina madhara ila ni noma.
 

Attachments

  • 20230217_125851.jpg
    20230217_125851.jpg
    1.4 MB · Views: 3
Roho nzuri na kuridhika - Mwili utakuja...

Roho mbaya na kutoridhika - Lazima ukonde...
 
Kwanini Watalaamu Hawaongeei haya mambo Unasikia nusu ya watu Dunian Kufikia 2035 Watakuwa na Unene Mkubwa.
Tunambiwa kula matunda ya Vitamini C ila Matunda yanakiwango kikubwa cha sukari(Fructose) Hii Inahifanyiwa na Ini Na Mwisho wake ni kitambii na Kalio kubwa kwa vijana wa kiume,Kupungua Hormone Ya Testosterone na kukosa nguvu za kiume.
Shida na Watengenezaji Wa Hizo Biidhaa Dunian wao Ndio Wanaofadhili Mambo mengi kuhusu Tafiti kuhusu Maswala ya chakula,Liste Na Afya Na Kusikia Ripoti Inasema ukila chumvi nyingi,Usipokula asubuhi, Hii Yote n kufanya Waendeleze biashara zao wapate pesa, Na Pia Wauze Madawa After Time. Na Hizo Tafiti Wanazoandika Ndio Wanalishwa madaktari Huko vyuoni Na Kuja Kutushauri Tule Matunda yan Vitamini C,Usile Chumvi nyingi,Cholesterol Ni Mbaya,Kula Milo 3 Hadi 6 Kwa Siku,Breakfast is Mostly important meal,Usitembe Kwenye Jua,Kunywa Glassza Bia 3 kwa siku N Afya,Usile Nyama Nyekundu.

Ukifata Yote Hayo Mwisho Ni Nguvu za Kiume,Uzito Kupindukia,Kitambi,Kisukari,Pressure,Cancer,Vidonda Vya Tumbo, Yana Mambo Mengi Chango Ni Lishe Ya kisasa Cha kushauri na wanasayansi na Matabibu waliosoma syllabus iliyofanyiliwa na Watu wa Viwandani na Wauza madawa.Its Business As Usually.
Haijalishi Ww N Mnene au Mwembaba Siku Hizi Mpaka watoto Wana High BP,Fatty liver Diesease Na Kisukari.

Tufanya Vipi
1.Acha Kula Bidhaa za ngano(Ina calcium Sulphate Ndio Ile Kuvutika kwa Makate na Andazi Ni Sawa Na Kuweka Au Kupiga Plaster Mwili wako Unanyima Virutubisho Muhimu Kuchukuliwa na Mwili Na Pili Inakuketea Uraibu)
2.Acha Matumizi Ya Simple Carbohydrates Wali,Sembe,Tambi,Mkate,Vinjwaji vywa Viwandani soda,Bia,Energy,
Tumia Carbo Zenye Fibrè Au Starch Maharage,Viazi vitamu,Mihogo,Ndizi Za Kupikwa(Sio Mbivu),magimbi,ulezi,matamba na dona,Mboga Za Majani(Utapata Vitamin C Na Minerals Especially Cabbage,Pilipil,Spinach)
3.Acha Kula Vyakula Vya kukaanga au Kupikwa na Mafuta Ya Seed Oil Alizeti,Masewe Na mengine.
Tumia Mafuta ya Nazi,Parachichi Au Mafuta Kutoka Kwnye Nyama Watakwambia ina Cholesterol ila kwanini mwili unazalisha asilimi 80% Ya Cholesterol kama n mbaya.
Cholesterol ni muhimu kwny uzalishaji wa mbegu za kiume na kike(Mayai).
4.Kula Milo 2 Kwa Siku Ikipendeza 1 Na Kula kuanzia Saa 8 Na Kabla ya Saa 2 Usiku.
Kula Asubuhi Hakuna Faida Mwili Unazalisha Energy kila Saa 10 Alfajiri ya kukuwezesha kufanya kazi kwa siku mzima kinachotusumbua na Uraibu wa sukari na Ngano Kufanya Tule Kila Wakati.
5.Kula Nyama Yoyote Kwa Wingi,Mayai,Maziwa Mtindi.(Ya Supermarket Hayana Kitu Na Fresh from Cow Ni Mazuri Ila Yakichemshwa Yanapoteza Virutubisho Muhimu.Nazi,Madafu,Parachichi,Mapera,
6.Fanya Mazoezi At Least Kwa wiki mara 3 na isizidi Dk 40.
Kukimbia mara 1 kwa wiki maan kukimbia kuna sababisha upungufu wa Growth Hormone.Ndio Maan Wanariadhaa wa Mbio Ndefu Ni Wembamba Sio Wanene.
7.Pata Muda Mzuri Wa Kulala At Least 8 Hrs per Day.
8.Acha Uraibu Ngono,Punyeto,Vilevi Sigara, Bangi,Shisha Nk.
9.Kunywa Maji Mwngi.Ikiwezekan Weka Na Chumvi.
Chumvi Na Muhimu kwa Mwili ila Inalaumiwa kwa makosa yaliyosabbishwa na sukari.
Ukianza matumizi ya chumvi hakikisha umeacha matumiz ya sukari na Simple Carbo.Sukari Na Chakula kikubwa cha seli za kansaaa.
10.Ondoa Matumizi Ya Vidonge vya uzaz wa Mpango kwa wanawake,Viagra Kwa wanaume,Fata Mlo Sahihi Fanya Mazoezi Utapata Majibu Mazuri.
Acha Dawa Za Sukari na Sindano zake fata Mlolo sahihi sukari inatibika na Pressure.
11.Acha Matumizi Ya Dawa za Mswaki zenye Flouride Na Maji Ya Kunywa Pia Acha matumizi Ya Plastic kuhifadhi vitu vya moto.
12.Jitahidi Ufunge Ndio Usile Mwili Wetu ni wa kipee sanaa Kula kila Mara N Chanzo cha magonjwa mengi.
Funga Kwa Masaa Na Siku
Unaweza funga masaa 18/6,20/4,16/8.
Idadi kubwa ya Msaa ni Kufunga Machache ni kula.
Chakula Toka Unakula Inahitajika Msaa 48 Mpaka Ukitoe kama Kinyesi.
Ww kwanini kwa siku ule milo 3(Uraibu) au 6.
Ndo maan usipopata choo baada ya masaa 72 Tunasema unashida ya mfumo wa chakula.
Lakini Mwili una Ghala La Nguvu Za Kukuwezesh Ufanye Kazi Masaa Hata 100 Bila Kula muhimu wakati Umefunga Kunywa Maji Ni muhimu kwa figo zako,Weka na chumvi kidgo kwny maji, Kunywa Na Kahawa Ili Kupunguza Maumivu ya Njaa.
Ukizoea Unafungua nguvu zilizofichwa na Mwili wako Kwa Muda mrefu(ketosis).
Funga Kwa Siku Mimi Nipo Kwenye siku ya 2 Bila Kula Ni Maji, Au Kahawa(Isiyo na Sukari Wala maziwa) Unaepuke kupaa mwili kitu chochote chenye Nutrient ukiwa umefunga. For 2 Or 3 Days. Na Ukifungulia kula mlo mwepesi Tu maparachich,Mayai ya Kuchemsha,Ndizi Za Kupikwa Karanga nk
Sio Donar,Maharage au Nyama.
Kitambo sana nilikuwa sikubaliani na watu wanaoniambia eti nisile chumvi nyingi,nilihisi mbona chumvi ni amazing tu na haina shida ?

Eti wanasema chumvi inaweza kuleta pressure ila mimi sikubali bado naendelea kupigs chumvi kama kawaida.
 
Back
Top Bottom