Kwanini Wenje kasuburi mpaka Lissu aliposema anaegombea nafasi ya makamu mwenyekiti ndio aliempleka Abdul nyumbani kwake ili amuhonge?

Kwanini Wenje kasuburi mpaka Lissu aliposema anaegombea nafasi ya makamu mwenyekiti ndio aliempleka Abdul nyumbani kwake ili amuhonge?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Leo Wenje ndio anajitokeza kujitetea ila siku zote alikuwa kimya.

Swali: Unaweza kuzushiwa tuhuma nzito kama hizo halafu ukakaa kimya kisa tu hukutajwqlwa kwa jina lako?

Mwanzoni watu walidhani Lissu anaongea kitu ambacho hakipo, ila sasa ni wazi yote aloyoyasema yana ukweli na namshauri awataje wote aliodai walipewa hela ili wakae kimya akiwa amebaki yeye tu.

Nashawishika pia kuamini Kweli hela chafu aliyokuwa anaongelea Lissu, ilitoka kwa Abdul kwa lengo la kuhonga viongozi mbalimbali wa CHADEMA.

Habari hii pia inathibitisha madai kuwa Abduli anatumia vibaya nafasi ya Mama yake kufanya udalali na mambo mengine anayotajwa kubusika nayo huku akiwa hana nafasi yoyote serikalini.

Jambo limezua Jambo.
 
Chadema hii ya Mbowe ni takatak mafi
 
Pesa za umma zinatumika vibaya Sana poleni Watanzania kwa kulala pono!!!
Tukubali tu ukweli; sisi wanananchi wa Tanzagiza, ni maiti zinazotembea. Maana kama tungekuwa ni binadamu kamili, basi tusingekubali kugeuzwa misukule na hawa si si emu.
 
Back
Top Bottom