Ukizunguka mkoa wa Dar es salam! Maeneo yote yenye chemchem za maji ndiyo yaliyopimwa viwanja rasmi kwa ajili ya makazi ya binadam!
Je; ni kwanini wizara iliacha kupima maeneo salama ikakimbilia kupima mashamba ya mpunga kuwa makazi?
Mbezi beach yote, kunduchi, ununio na mbweni kote huku yalikuwa mashamba ya mpuga yenye chemchem za maji, ilikuwaje serikali ya ikaamua kupima maeneo hayo na kuacha maene safi ambayo yangefaa kujengwa na hata wenye vipato vidogo?
Huko kigamboni kibada kulikopimwa Block E kote huko kuna jaa maji na kumepimwa rasmi kwa ajili ya makazi! Je hawa wasomi walitumia akili gani kuelekeza nguvu kubwa kupima maeneo hayo na kuacha sehem salama kwa ajili ya makazi?
Au wizara ya ardhi yote imejaa vijana kwa kauli ya ndugai! Kiasi kwamba busara za wazee zilikosekana?
Je; ni kwanini wizara iliacha kupima maeneo salama ikakimbilia kupima mashamba ya mpunga kuwa makazi?
Mbezi beach yote, kunduchi, ununio na mbweni kote huku yalikuwa mashamba ya mpuga yenye chemchem za maji, ilikuwaje serikali ya ikaamua kupima maeneo hayo na kuacha maene safi ambayo yangefaa kujengwa na hata wenye vipato vidogo?
Huko kigamboni kibada kulikopimwa Block E kote huko kuna jaa maji na kumepimwa rasmi kwa ajili ya makazi! Je hawa wasomi walitumia akili gani kuelekeza nguvu kubwa kupima maeneo hayo na kuacha sehem salama kwa ajili ya makazi?
Au wizara ya ardhi yote imejaa vijana kwa kauli ya ndugai! Kiasi kwamba busara za wazee zilikosekana?