Kwanini wizara ya ardhi DSM iliamua kupima mbuga na mabonde yote ya kulima mpunga kuwa sehemu ya makazi?

Kwanini wizara ya ardhi DSM iliamua kupima mbuga na mabonde yote ya kulima mpunga kuwa sehemu ya makazi?

Ule ni mto sio bonds,ni kinyume Cha Sheria kupima viwanja kwenye lango la mto
Sheria ya mto inasema hutakiwi kujenga umbali wa 60M kutoka katika kingo za MTO!
Unaweza kunisaidia kuniambia ni nani aliyejenga karibu na MTO kati ya Ofisi za mwendokas na nyumba wanainchi waliotimuliwa hapo jangwani
 
Back
Top Bottom