Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Tuwaulize CAF....Mzee kwa Tanzania hapo Kuna timu unaweza ilinganisha na Yanga kwa ubora?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwaulize CAF....Mzee kwa Tanzania hapo Kuna timu unaweza ilinganisha na Yanga kwa ubora?
Mbona kama unaumia yanga akienda mbele"Kuruka ruka kwa maharagwe ndo kuiva kwake,"
Ukiona hvy kifo chake kimewadia
Yanga aende huko mbele akafanye nn
Yaani anaelewa basi, hakuisumbua hata akili yake kujua kwamba hiyo itakuwa advantage kwa yangaSasa kama 40% ya wachezaji wamefundishwa na uyo Ibenge huoni kuwa ni Advantage pia kwa Yanga maana mbinu nyingi za uyo kocha zitakuwa zinajulikana?
Mbele wapi???!! Au mwenzetu uoni mbele kuna korongoMbona kama unaumia yanga akienda mbele
[emoji16][emoji16][emoji16]Tatizo Al Hilal hawatakubali mihamala..
Nakuhakikishia kabisa, mechi ya kwanza anapigwa kwaoUtopolo mwendo wameumaliza
Mihamala ndio nini?[emoji3064]Tatizo Al Hilal hawatakubali mihamala..
Kweli we mzee bwa aka mzee wa bwaksi maana bravo unasema bwavoKuna wakati unaongea facts za kimpira bila kuweka ushabiki mbele.. bwavo[emoji119][emoji119]
Mpokeeni yanga huko shirikishoTimu inayo tolewa round hii wala haina cha kupoteza maana inaenda kucheza mechi nyingine kule Shirikisho.
Na inayo nafasi ya kujiuliza kuelekea makundi Kombe la Shirikisho
Kwani hamjui kama utopolo mnaongoza kwa kuhonga pesa wapinzani!!??Mihamala ndio nini?[emoji3064]
Nipo[emoji481][emoji481][emoji481] mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli we mzee bwa aka mzee wa bwaksi maana bravo unasema bwavo
Labda makundi ya panyaKumbe uliyetoa post ni kolo [emoji83] wizard?
Al hilal wangekuwa wazuri wasingepewa peneti ya kuunga Unga dhidi ya st.george
[emoji3504] YANGA hii imemfukuza kazi kocha Pablo+ Babu Zoran
[emoji3504] Zamu ya IBENGE kufukuzwa kazi
Kolo wizards [emoji83] sisi Yanga makundi lazima
Kolo ni kolo tu[emoji83][emoji668]
Mayele kawafunga Simba goli 2[emoji460][emoji460]
Mayele kawafunga zalani goli 3[emoji460][emoji460][emoji460]
Hapo tofauti ya zalani na kolo ni ipi?
[emoji3504] Yanga tumeiomba CAF waruhusu Simba [emoji83]+Al hilal watengeneze timu 1 ili timu hiyo ndio ingie uwanjani kupambana na Yanga tarehe 8/10/2022
[emoji375][emoji375]Suala la hat trick kujirudia hiyo tarehe 8/10/2022
Ndio endapo wings back na middle players kutimiza majukumu yao vyema ili mipira imfikie yule unaemjua wewe ambae hutaki kumuona uwanjani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji375][emoji375]Yanga makundi ni suala la muda[emoji375][emoji375]
Hahahah!!! Makundi ya panya road au vp
Ehee!!Hahahah!!! Makundi ya panya road au vp