Kama hilo swali unajiuliza mara nyingi basi uwe unashabikia rede, au basketball ama michezo mingine maana mpira wa miguu umekushinda.Hili swali nimejiulizaga mara nyingi mno.
Unazungumziaje Simba kufungwa goli 5-1 , marudiano kufungwa 2-1?Ligi kuu Tanzania inachezeshwa na waamuzi wanaoipa timu mbovu ushindi kwasababu ya bahasha,ujinga,ushabiki na chuki,gms amefadhili timu 7 zinazomkusanyia yanga point..ubingwa wa yanga ni wamagumashi sio kwa ubora..image yanga ameshafungwa na kagera,prison n.k ila waamuzi wakaamua kuibeba yanga ..ubingwa wa yanga asilimia 80 ni ya waamuzi sio wa yanga kama yanga.
mtani kwenye ukweli tuseme tu,yanga kwasasa ni inakikosi bora kwa hapa africa mashariki kwa upande wa club,juhudi zao zinaonekana mechi iliyopita japo walishinda ila walicheza fyongo kwa kukosa magoli na hizo dalili nikuja kuziona baada ya mechi,maana toka awali kocha alilalamikia wachezaji kutopumzika na athari nilikuja kuiona kwenye mechi!,so siamini uchawi,ufundi ndo mambo yenyewe.Ni uchawi wa kupitia milango isiyo rasmi.. baaasii hakuna kingine
Ahahha haya mtani...mtani kwenye ukweli tuseme tu,yanga kwasasa ni inakikosi bora kwa hapa africa mashariki kwa upande wa club,juhudi zao zinaonekana mechi iliyopita japo walishinda ila walicheza fyongo kwa kukosa magoli na hizo dalili nikuja kuziona baada ya mechi,maana toka awali kocha alilalamikia wachezaji kutopumzika na athari nilikuja kuiona kwenye mechi!,so siamini uchawi,ufundi ndo mambo yenyewe.
πππππRef hata msimu ulipita wale wasudan waliokuja na basi kutoka kwao....ππππͺπͺπͺ
shida wanaushabiki wa hovyo hawana fikra!Msimu ulioisha hakuna timu yoyote kwenye mashindano ya klabu bingwa iliyoweza kugusa nyavu za Al Ahly zaidi ya Yanga pekee. Ni Yanga pekee ndio iliyoweza kuharibu clean sheet ya Al Ahly timu zingine zote zimemshindwa. Chukua hiyo
ahsante kwa kunielewa waeleweshe nawengineAhahha haya mtani...
Unawazimu toka lini al ahly wakapangiwa na zalani..?Kama hilo swali unajiuliza mara nyingi basi uwe unashabikia rede, au basketball ama michezo mingine maana mpira wa miguu umekushinda.
Timu zote zilikuwa na point nyingi huwa inapangiwa timu zilizo na rank za chini kama ambavyo umeona Mamelod, Al Ahly, Tp Mazembe, Petro, Es Tunis, walivyopangiwa timu dhaifu. Hukuona kipindi kile Yanga hawana point walivyokuwa wanapangiwa timu ngumu kama Pyramids, Al Hilal, n.k?
nawe ni wakutamka maneno haya..! basi ngoja tuone timu dhaifu ni ipi.Timu zao walizopangiwa nao mbovu mnooo
Ref hata msimu ulipita wale wasudan waliokuja na basi kutoka kwao....ππππͺπͺπͺ
EBC ya SA labda kama ni timu ya kwenye ukoo wenuHapo vip!!
Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.
1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.
Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.
2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.
Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Kwa timu z kariakoo...?Unazungumziaje Simba kufungwa goli 5-1 , marudiano kufungwa 2-1?
wanajua sema wanajifanya kusahauMwenye picha ya kibango cha 5-1 awake
unaniabisha kalpana...πKwa timu z kariakoo...?
Piteni milango rasmi mechi zijazo kama kweli mlishinda kwa kucheza tuu
Huo ndo ukweli bana...hata kama mna kikosi ila na ushirikina mnao...ππunaniabisha kalpana...π
hivi shem ni timu gani..? kama ni yanga akunyime ubwabwa wachumbani miezi 2 ili ukome...π
nyie ndo mkakamatwanao kabisa..π€£ mpk mje kuelewa mtakauwa mshashika mkia hadi kwenye NBC.Huo ndo ukweli bana...hata kama mna kikosi ila na ushirikina mnao...ππ
Kwa akili hizi?Kwa timu z kariakoo...?
Piteni milango rasmi mechi zijazo kama kweli mlishinda kwa kucheza tuu