Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Hili swali nimejiulizaga mara nyingi mno.
Kama hilo swali unajiuliza mara nyingi basi uwe unashabikia rede, au basketball ama michezo mingine maana mpira wa miguu umekushinda.
Timu zote zilikuwa na point nyingi huwa inapangiwa timu zilizo na rank za chini kama ambavyo umeona Mamelod, Al Ahly, Tp Mazembe, Petro, Es Tunis, walivyopangiwa timu dhaifu. Hukuona kipindi kile Yanga hawana point walivyokuwa wanapangiwa timu ngumu kama Pyramids, Al Hilal, n.k?
 
Ligi kuu Tanzania inachezeshwa na waamuzi wanaoipa timu mbovu ushindi kwasababu ya bahasha,ujinga,ushabiki na chuki,gms amefadhili timu 7 zinazomkusanyia yanga point..ubingwa wa yanga ni wamagumashi sio kwa ubora..image yanga ameshafungwa na kagera,prison n.k ila waamuzi wakaamua kuibeba yanga ..ubingwa wa yanga asilimia 80 ni ya waamuzi sio wa yanga kama yanga.
Unazungumziaje Simba kufungwa goli 5-1 , marudiano kufungwa 2-1?
 
Ni uchawi wa kupitia milango isiyo rasmi.. baaasii hakuna kingine
mtani kwenye ukweli tuseme tu,yanga kwasasa ni inakikosi bora kwa hapa africa mashariki kwa upande wa club,juhudi zao zinaonekana mechi iliyopita japo walishinda ila walicheza fyongo kwa kukosa magoli na hizo dalili nikuja kuziona baada ya mechi,maana toka awali kocha alilalamikia wachezaji kutopumzika na athari nilikuja kuiona kwenye mechi!,so siamini uchawi,ufundi ndo mambo yenyewe.
 
mtani kwenye ukweli tuseme tu,yanga kwasasa ni inakikosi bora kwa hapa africa mashariki kwa upande wa club,juhudi zao zinaonekana mechi iliyopita japo walishinda ila walicheza fyongo kwa kukosa magoli na hizo dalili nikuja kuziona baada ya mechi,maana toka awali kocha alilalamikia wachezaji kutopumzika na athari nilikuja kuiona kwenye mechi!,so siamini uchawi,ufundi ndo mambo yenyewe.
Ahahha haya mtani...
 
Msimu ulioisha hakuna timu yoyote kwenye mashindano ya klabu bingwa iliyoweza kugusa nyavu za Al Ahly zaidi ya Yanga pekee. Ni Yanga pekee ndio iliyoweza kuharibu clean sheet ya Al Ahly timu zingine zote zimemshindwa. Chukua hiyo
shida wanaushabiki wa hovyo hawana fikra!
 
Kama hilo swali unajiuliza mara nyingi basi uwe unashabikia rede, au basketball ama michezo mingine maana mpira wa miguu umekushinda.
Timu zote zilikuwa na point nyingi huwa inapangiwa timu zilizo na rank za chini kama ambavyo umeona Mamelod, Al Ahly, Tp Mazembe, Petro, Es Tunis, walivyopangiwa timu dhaifu. Hukuona kipindi kile Yanga hawana point walivyokuwa wanapangiwa timu ngumu kama Pyramids, Al Hilal, n.k?
Unawazimu toka lini al ahly wakapangiwa na zalani..?
 
Timu zao walizopangiwa nao mbovu mnooo
Ref hata msimu ulipita wale wasudan waliokuja na basi kutoka kwao....😇😇😇😪😪😪
nawe ni wakutamka maneno haya..! basi ngoja tuone timu dhaifu ni ipi.
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
EBC ya SA labda kama ni timu ya kwenye ukoo wenu
By the way wewe ni kilaza
 
Mwenye picha ya kibango cha 5-1 awake
Hii hapa
Screenshot_20240919-090722_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom