Kwanini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira?

Kwanini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
IMG-20240728-WA0002.jpg

Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
 
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
 

Attachments

  • 20240728_153323.jpg
    20240728_153323.jpg
    85.8 KB · Views: 1
  • 20240724_192430.jpg
    20240724_192430.jpg
    145.6 KB · Views: 2
Wote tunajua ile ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina. Ila kama unalazimisha iwe Sanda ya kumaanisha vazi ukumbuke tu usilipovaa leo utavalishwa ukiwa unazikwa.

Sasa vitenge ndugu yangu? Duh.
Wote? Kama wote wanajua Sanda ni kiufupi kwanini hizi kelele mtaani?

Wale wanaozikwa kwenye majeneza na suti nao wanahitaji sanda?
Unaelewa sifa za kitenge?
 
Kitambo sana..yaani ubunifu sifuri..ingekuwa nchi za wenzetu kule wangeenda mahakamani
7bbce94e3cb64e4d86724c210cbe0fbf.jpg
 
Wote tunajua ile ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina. Ila kama unalazimisha iwe Sanda ya kumaanisha vazi ukumbuke tu usilipovaa leo utavalishwa ukiwa unazikwa.

Sasa vitenge ndugu yangu? Duh.
Kwahio nyie mmeamua kuvaa sanda mapema
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Hawawezi kutengeneza jezi za kukufurahisha nafsi yako
 
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Na zile sanda zenu zinazofanana sabuni za kigoma za kuoshea vyombo vipi ziko sawa!
 
Back
Top Bottom