Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ila ni sanda,,,,,kwani jezi ya yanga nayo ni kitenge...................Ile sio sanda, ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ni sanda,,,,,kwani jezi ya yanga nayo ni kitenge...................Ile sio sanda, ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina.
Na BatikiIla ni sanda,,,,,kwani jezi ya yanga nayo ni kitenge...................
Basi pia huko mmeamua kuvaa sanda mapema sijui mmewaonea wivu hadi marehemu,,,,,,mlianza na mambo ya kuingia na jeneza uwanjani, sahivi mmeamua kabisa kuvaa sandaNa Batiki
Aaahhh Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa umerudi kwa gia mpya.View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.
Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Mavazi ya Tshala Muana na Mbilia Bel hawa vyura wanataka kutuaminisha ni jezi?View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.
Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Sheria Ngowi msimu huu kawaweza kweli kwei hawa nyani wa pori la utopolo.View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.
Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Anasema zinafaa kwenda kupigia tambiko kilingeni na si kuchezea mpira uwanjani.Mhasibu anataka kusema kihasibu hiz jez n hasara
Soko ndio litaamua zipi zimeuzika kwa mwingi kikubwa pesa iingieAnasema zinafaa kwenda kupigia tambiko kilingeni na si kuchezea mpira uwanjani.
Halafu wao wakamuunga mkono kwa kuweka taarabu ya We huogopiii. Inaendana na vitengeSheria Ngowi msimu huu kawaweza kweli kwei hawa nyani wa pori la utopolo.