Kwanini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira?

Kwanini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira?

Na Batiki
Basi pia huko mmeamua kuvaa sanda mapema sijui mmewaonea wivu hadi marehemu,,,,,,mlianza na mambo ya kuingia na jeneza uwanjani, sahivi mmeamua kabisa kuvaa sanda
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Aaahhh Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa umerudi kwa gia mpya.
 
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Mavazi ya Tshala Muana na Mbilia Bel hawa vyura wanataka kutuaminisha ni jezi?
 
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.

Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Sheria Ngowi msimu huu kawaweza kweli kwei hawa nyani wa pori la utopolo.
 
Sema Yanga wakiamua kutengeneza vijora na madela kwa hicho kitenge cha mabegani watapiga sana pesa.
 
Back
Top Bottom