OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.
Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Wote tunajua ile ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina. Ila kama unalazimisha iwe Sanda ya kumaanisha vazi ukumbuke tu usilipovaa leo utavalishwa ukiwa unazikwa.Kati ya kitenge na sanda, bora nini?
Wote? Kama wote wanajua Sanda ni kiufupi kwanini hizi kelele mtaani?Wote tunajua ile ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina. Ila kama unalazimisha iwe Sanda ya kumaanisha vazi ukumbuke tu usilipovaa leo utavalishwa ukiwa unazikwa.
Sasa vitenge ndugu yangu? Duh.
Kelele ni za wana batiki batiki FC.Wote? Kama wote wanajua Sanda ni kiufupi kwanini hizi kelele mtaani?
Kwa hiyo wewe utapendelea suti badala ya sanda?Wale wanaozikwa kwenye majeneza na suti nao wanahitaji sanda?
Ndio boss, ni kama hiyo picha hapo juu aliyoweka okwUnaelewa sifa za kitenge?
Hapo itakuwa GwambinaKitambo sana..yaani ubunifu sifuri..ingekuwa nchi za wenzetu kule wangeenda mahakamaniView attachment 3057198
Tangu mpigwe 5 akili zisha waruka siku hizi hamuongei football mmekomalia vitu vya ajabu ajabuUnasema vitenge as if hujui mitikasi yao, ushasahau miaka miwili iliyopita walikuja na hii kitu?
View attachment 3057096
Kwahio nyie mmeamua kuvaa sanda mapemaWote tunajua ile ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina. Ila kama unalazimisha iwe Sanda ya kumaanisha vazi ukumbuke tu usilipovaa leo utavalishwa ukiwa unazikwa.
Sasa vitenge ndugu yangu? Duh.
Hawawezi kutengeneza jezi za kukufurahisha nafsi yakoView attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.
Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Nchi za wenzenu zipi Nike wanatengeneza jezi kama hiyo...Kitambo sana..yaani ubunifu sifuri..ingekuwa nchi za wenzetu kule wangeenda ma
Na zile sanda zenu zinazofanana sabuni za kigoma za kuoshea vyombo vipi ziko sawa!View attachment 3057073
Kitu kizuri ni kizuri tu. Lakini sio kwa hii jezi. Weka ushabiki pembeni ugundue hizi sio jezi za mpira bali ni vitenge.
Kwa nini Yanga inatumia nguvu kuaminisha vitenge vinaweza kutumika kwenye mpira? Mara Daimond, mara Manara. Hii ni soka, sio sawa kuwavisha watu vitenge kwenye soka
Ile sio sanda, ni jezi yenye neno SANDA kama kifupi cha jina.Kwahio nyie mmeamua kuvaa sanda mapema