Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sasa kama alikufa kwa nini unasema ni wa mileleAlikufa akafufuka. Wakati anakufa alikuwa ameuvaa mwili wa kibinadamu ili damu imwagike tupate ondoleo na msamaha wa dhambi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama alikufa kwa nini unasema ni wa mileleAlikufa akafufuka. Wakati anakufa alikuwa ameuvaa mwili wa kibinadamu ili damu imwagike tupate ondoleo na msamaha wa dhambi.
Naamanisha hivi species ya mwanadamu,utaita mbuzi au kondoo?...ukweli ni kwamba atakuwa mwanadamu tu...Yesu kristo ni species inayotokana na Mungu..sasa utamuitaje mwanadamu?Fafanua vizuri swali lako
Swali lako nililijibu nikidhani umeuliza kuhusiana na kitabu cha Mwanzo(Genesis). Hata hivyo kitabu cha Yohana 1:1 hakisemi kwamba Yesu alianza kuwepo wakati huo, bali kinaeleza kwamba Yesu(Mungu Mwana) alikuwepo hata wakati wa huo mwanzo wa uumbaji wenyewe, akiwa pamoja na Mungu Baba.Kulingana na yohana "hapo mwanzo"alikuwa anaongelea kuhusu mbigu na nchi?
au alikuwa anaongelea mwanzo wa neno na mungu!?
Maana yangu ni hii, Yesu(Mungu) alikuja duniani ili atuokoe. Ilibidi damu imwagike ndio tupate ondoleo la dhambi. Hivyo Yesu aliuvaa mwili wa binadamu kwa kuzaliwa na bikira Maria. Mwili huo ndio uliokufa. Sio Mungu. Na ndio sababu alifufuka.Sasa kama alikufa kwa nini unasema ni wa milele
Yohane 20:17Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Kwa hiyo hakufaMaana yangu ni hii, Yesu(Mungu) alikuja duniani ili atuokoe. Ilibidi damu imwagike ndio tupate ondoleo la dhambi. Hivyo Yesu aliuvaa mwili wa binadamu kwa kuzaliwa na bikira Maria. Mwili huo ndio uliokufa. Sio Mungu. Na ndio sababu alifufuka.
Hapo mwanzo wa dunia sio wa Mungu, hiyo ndio system ya mudaHapo mwanzo..
je kabla ya mwanzo kulikuwa na nini na nani?
Yesu ni Mungu mwana sio baba. Yesu anaitwa Mungu maana ndie mwana pekee wa Mungu na ndie Mungu alimtumia kuumba vitu vyote. Ni kama vile Mungu anavyowatumia wazazi kupata mtotoYohane 20:17
Yesu akamwambia, “Usinishike; sijaenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: Naenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
Wakati alipokuwa duniani alikuwa mwanadamu halisi. Ndio sababu aliona njaa, alisikia kiu, alilia nk. Lakini wakati huohuo alikuwa Mungu. Ndio sababu aliweza kutembea juu ya maji, kubadili maji kuwa divai..matendo ambayo mwanadamu wa kawaida hawezi kuyafanya.Naamanisha hivi species ya mwanadamu,utaita mbuzi au kondoo?...ukweli ni kwamba atakuwa mwanadamu tu...Yesu kristo ni species inayotokana na Mungu..sasa utamuitaje mwanadamu?
Soma biblia mkuuYesu ni mwana wa pekee wa Mungu hivyo huitwa Mungu kwa sababu roho yake imeungana na Roho mtakatifu wa Mungu hivyo hakuna jambo lolote Roho wa Mungu baba atapanga kufanya pasipo Roho wa Mungu mwana kujua.
SawaSoma biblia mkuu
Mungu nae anaomba?Yesu ni Mungu
Tafsiri hazijabadili maana. Kwa mfano hilo andiko la Marko 10:18 Yesu hakuwa anakataa kwamba Yeye ni mwema au Mungu, bali alikuwa anamuuliza mtu huyo kama kweli anatambua maana ya kile alichosema. Kama Mungu pekee ndiye mwema, na mtu huyo anamwita Yesu "mwema," basi swali ni je, alitambua kwamba Yesu ni Mungu?Ukumbuke biblia imetafsiriwa huenda kilichoaanishwa kwenye lugha chanzi sio kilichopo kwenye lugha lengwa 100%.
Jaribu kusoma maandiko hayo
1. Marko 8:27-38
2. Mt 6:9-10
3. Mk 10:18
4. Yn 14:2-3
5. Mt 24:36-51
Sioni ulazima wa kumuuliza swali mtu aliekufuruNimekueleza mambo makuu matano kwanini Yesu anaitwa Mungu. Kama kuna eneo hujaelewa vizuri uliza swali.
Soma vizuri naye Neno ni MUNGU hapakufanyika kitu chochote isipokuwa yeye hebu soma ISAYA9:6 anaitwa MUNGU mwenye nguvuUhusiano wa Neno na Mungu: Yohana 1:1 inaonyesha kuwa Neno alikuwa "kwa Mungu," na si kwamba Neno alikua Mungu mwenyewe. Hii inaweza kueleweka kama kuwepo kwa tofauti kati ya Mungu na Neno, huku Neno likiwa na uhusiano wa karibu na Mungu lakini si Mungu mwenyewe.