Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Kosa ni wanaosema yesu ni NAFSI YA 2 YA MUNGU....
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Yesu Kristo ni Mungu Mkuu
 
Kwa hiyo yesu ni mungu wa ngapi?
1)MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2)YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA BINADAMU.
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU ( yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja )
HIVYO MUNGU NA YESU NA ROHO MTAKATIFU NI NAFSI MOJA TU.
 
Sasa kama alikufa kwa nini unasema ni wa milele
Kilicho kufa ni mwili siyo nafsi ya Yesu maana msalabani anasema leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi...alisema akimwambia yule mtu ...hivyo nafsi ya Yesu ni Mungu haiwezi kufa hata sekunde moja
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Ushahidi unapaswa utoke nje ya kitabu kinachosadiki kuwa yeye ni Mungu, hiyo ni kwakuwa huo ni utetezi... Ni nadra shahidi kutoka ndani ya familia kugeuka kuwa upande mwengine
 
1)MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2)YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA BINADAMU.
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU ( yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja )
HIVYO MUNGU NA YESU NA ROHO MTAKATIFU NI NAFSI MOJA TU.
Mbona kuna wengine wanasema hao ni nafsi tatu za Mungu na wewe unasema ni nafsi moja tu
 
Kilicho kufa ni mwili siyo nafsi ya Yesu maana msalabani anasema leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi...alisema akimwambia yule mtu ...hivyo nafsi ya Yesu ni Mungu haiwezi kufa hata sekunde moja
Na hata yule aliyeambiwa kuwa atakuwa na yesu peponi na yeye roho yake si itakuwa haifi isipokuwa mwili wake sawa tu na yesu
 
Na hata yule aliyeambiwa kuwa atakuwa na yesu peponi na yeye roho yake si itakuwa haifi isipokuwa mwili wake sawa tu na yesu
Ndiyo maana yake au ukusoma injili kuwa baadhi awatakufa kabisa wajapo kufa watakuwa wanaishi...kasome mafundisho ya yesu alielezea hilo jambo
 
Yesu sio Mungu bali hujilikana kama mwana wa Mungu.
 
Yesu sio Mungu bali hujilikana kama mwana wa Mungu.
Katika injili ukisikia Yesu anasema "MWANA" maana yake mwili wake....na unapo sikia anasema "BABA" umaanisha nafsi yake ambayo ndiyo MUNGU MWENYEZI.
Yesu akawaambia wanafunzi wake 👉hata 'mwana' ajui siku ya kiama ila 'baba' ....maana yake kuwa Yeye yesu anajua siku yakiama ila wanafunzi wake wakadhani ana maanisha yeye ajui...waka acha kumsumbua kumuuliza.
 
Back
Top Bottom