Kwanini zama hizi wanawake wengi hawapendi uke wenza?

Ni kinyume na maumbile.Mungu alimpa Adamu mke MMOJA aitwaye Hawa.
 
Wa tano UKIMWI
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hivi hii ya 'wanawake wa zamani'mliwahi kuongea nao wakawaambia walikuwa wanapenda? Hakuna alokuwa anapenda kabisa huo uduwanzi, sema ndio ilikuwa mfumo wa jamii na walikuwa hawawezi kujitetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…