Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ATCL nayo itakaguliwa mkuu?Magesabu ya ACT wazalendio hata Chadema wengi naona wamennyong'onyea.Ruzuku zitakaguliwa barabara Hadi shilingi ya mwisho ijulikane ilipo .Kuna viongozi wajiandae kwenda jela
Kwa Nini isikaguliwe?ATCL nayo itakaguliwa mkuu?
Kutesa kwa zamu Sasa ni zamu ya ACT wazalendo na Chadema kumuogopa CAG Kichere.Maana Profesa Assad alikuwa mshikaji wao akiwaachia tu wakijimwayamwaya na ruzuku wanavyotaka
Kwanini nyie mnamuogopa Prof. Assad?
CAG mpya aanzie kwenye ukaguzi wa vitabu vya Mahesabu vya chadema na ACT wazalendo .Afanye special audit Kali.Atie timu ya uhakika ipige kambi huko.Ataona midudu kibaoAkizoea kupewa udaku na asad wakiwa msikitini
Kutesa kwa zamu Sasa ni zamu ya ACT wazalendo na Chadema kumuogopa CAG Kichere.Maana Profesa Assad alikuwa mshikaji wao akiwaachia tu wakijimwayamwaya na ruzuku wanavyotaka
Kwahiyo na Kichere ni mshikaji wenu atawaachia tu mjimwayemwaye na pesa za umma vile mnataka? |
Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.
Tusubiri makubwa zaidi?
Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Kwahiyo na Kichere ni mshikaji wenu atawaachia tu mjimwayemwaye na pesa za umma vile mnataka?
Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"Akizoea kupewa udaku na asad wakiwa msikitini
Prof muda wake umeisha. His contract expired since 2 Nov.
Kwanini nyie mnamuogopa Prof. Assad?
Siyo muislamHofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.
Tusubiri makubwa zaidi?
Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Zitto anasema CAG mpya anadai hanauwezo sijui amempima kwa kutumia nyanja zipi anadai pia kwenye board ya wahasibu na ukaguzi hayumo angali yumo zitto nashindwa kumuelewa anakwama wapiHofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.
Tusubiri makubwa zaidi?
Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Yaani anapaparika mithili ya bisiZitto anasema CAG mpya anadai hanauwezo sijui amempima kwa kutumia nyanja zipi anadai pia kwenye board ya wahasibu na ukaguzi hayumo angali yumo zitto nashindwa kumuelewa anakwama wapiView attachment 1253042