Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
😂😂😂😂Sawa sawa chamaaaMmh chalii yangu...kusaidiwa kwa dharau big noo.
Kwangu mimi pesa sio zaidi ya heshima.
Heshima kwanza.
Utu kwanza then pesa.
Pia huwa sinunuliki no matter what.
Niwe nazo au laah heshima ifuate mkondo wake mkuu.
Huwa naishiwa lakini sio kwa kiwango cha kukopeshwa naniliii[emoji23][emoji23][emoji23]