😂😂😂😂Sawa sawa chamaaaMmh chalii yangu...kusaidiwa kwa dharau big noo.
Kwangu mimi pesa sio zaidi ya heshima.
Heshima kwanza.
Utu kwanza then pesa.
Pia huwa sinunuliki no matter what.
Niwe nazo au laah heshima ifuate mkondo wake mkuu.
Huwa naishiwa lakini sio kwa kiwango cha kukopeshwa naniliii[emoji23][emoji23][emoji23]
Uwe unanisamehe chalii yangu kuna kipindi kichwa changu nakijua mwenyewe[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa sawa chamaaa
😂😂😂😂..nakusoma vyema mwananguUwe unanisamehe chalii yangu kuna kipindi kichwa changu nakijua mwenyewe[emoji28]
[emoji2957][emoji2957][emoji28][emoji28][emoji28] hukumpenda huyoNiliona kuwa anahisi ninapomwambia nimetingwa kuwa sina maisha labda.
Niliona ni dharau na matusi na labda alihisi vicent vyake vya supermarket vitanitisha.
Mlivojisikia Mlivoombwa hela na wanaume, ndo sisi wanaume tunavofeel Mkituomba hela Zeemadeit witnessjHahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Anaomba zawadi, ila wanaume
Mi Kuna mmoja alikuwa ananiomba pafyume ya 230k...mpaka sasa
Huwaga namuangaliaga simmalizi[emoji2960]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Le Don G.Hii nitakuruhusu tukiwa tuna historia...labda imetokea nimekwama sana.
Lakini mwanzo ujitutumue eti unigharamiee aaah siwezi kamwe.
Hayo ni mambo ya aibu na dharau.
Mwanamke haoni haya ipo siku ukimkorofisha atakwambia...umesahau nilikukuta choka mbaya hadi nilikuwa nakugharamia?.
Kuna vitu katika maisha yangu navilinda sana visitokee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni tuvivulana tudogo tulitokosa muelekeo hata jf vimejaa kibao.
Aah kujuana week mbili tu ndo aanze kuniomba vitu plus nilipoenda nilienda kutumia hela sio kuingiza hela.Yaani tshirt imekunyima mume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawe ni msolid sana[emoji38][emoji38][emoji38]
Huyo alikuwa mvulana bila shaka
Sisi huwa mnatuomba pesa day 2 na tuko poa tu[emoji28]Aah kujuana week mbili tu ndo aanze kuniomba vitu plus nilipoenda nilienda kutumia hela sio kuingiza hela.
Aisee polen wanaume kumbe ndo hua inauma hivyo sikujua mpaka siku yaliponikutaSisi huwa mnatuomba pesa day 2 na tuko poa tu[emoji28]
Hahaha umesikitika sana umenufanya nichekeAisee polen wanaume kumbe ndo hua inauma hivyo sikujua mpaka siku yaliponikuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We hebu subiri kwanza, kwenye traako tumehama lini[emoji15][emoji15][emoji15]
Shemdarling nakusabahi[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]