Kwaresma na Pasaka Special Thread

Kwaresma na Pasaka Special Thread

Tumsifu Yesu Kristo wapendwa..
Tuirarue mioyo yetu na sio mavazi yetu...
Kufunga kwetu kukawape faraja wale wasiokua nacho kwa kufanya matendo ya huruma...
Twendeni...magerezani,mahospitalini,vituo vya yatima,wazee n.k
Sisi wakatoliki tunafunga anasa au vitu tuvipendavyo na kuacha dhambi... badala yake kile kitu kitoe kwa wahitaji wengine...
Kristoo...
 
min -me mwezi wa Toba umefika
1740815558883.jpg
 
Tumsifu Yesu Kristo wapendwa..
Tuirarue mioyo yetu na sio mavazi yetu...
Kufunga kwetu kukawape faraja wale wasiokua nacho kwa kufanya matendo ya huruma...
Twendeni...magerezani,mahospitalini,vituo vya yatima,wazee n.k
Sisi wakatoliki tunafunga anasa au vitu tuvipendavyo na kuacha dhambi... badala yake kile kitu kitoe kwa wahitaji wengine...
Kristoo...
Milele Amina

Ubalikiwe sana

Ukipata chochote nunua rozary bas mtumish uwapelekee ndugu zetu wafungwa usisahau pia na sabuni ni bidhaa muhimu sana kule

Balikiwa sana
 
Back
Top Bottom