Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anipe rehema kwaresma hii nifunge niache vitu vya anasa.Tumebakiwa na siku masaa machache sana kesho jumatano tarehe 5 tutaanza kipindi cha kwaresma kwa mfungo tukianza kwa jumatano ya majivu
Ratiba ya kufunga kula inakuaje mkuu?AMINA tujitaid tufunge
MUNGU wetu atufungilie njia na milango ya ushindi katika maisha yetu
UsijaliMilele Amina
Ubalikiwe sana
Ukipata chochote nunua rozary bas mtumish uwapelekee ndugu zetu wafungwa usisahau pia na sabuni ni bidhaa muhimu sana kule
Balikiwa sana
Ratiba inakuwa kama ifuatavyoRatiba ya kufunga kula inakuaje mkuu?
Kwaresma, Majivu, Ijumaa kuu vyote ni church politics, haviko kwenye Biblia kuwahusu wakristo wa leo.Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU katika kristo YESU
Tumsifu YESU KRISTO. AMINA
Tumshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kila jambo hasa kwa kumtuma mwanae aje atukomboe . AMINA
PASAKA ni nini pasaka ni kuteseka/mateso/ kifo/kufa/na kufufuka kwa YESU KRISTO
PASAKA ilianzia misiri lakini badae wana wa Israel MWENYEZI MUNGU aliwaagiza waadhimishe pasaka kama kumbukumbu la kwamba wao walikuwa watumwa wa mateso huko misiri
Hivyo wakristo kwa sasa huadhimisha pasaka kama kumbukumbu la kwamba TULIKUWA WATUMWA/ WAFUNGWA WA MINYORORO YA SHETANI mpaka pale BWANA wetu YESU KRISTO alipokuja kutukomboa kwa mateso yake makali pale msalani
Je kwaresma ni nini, kwaresma ni ibada ni ibada ambayo husindikizwa na mfungo wa siku 46 kutoa Dominika 6 hivyo siku hubaki 40
Kufunga kwaresma ni kufanya nini, kufunga ni kuyakalibisha mateso ya YESU KRISTO ambaye ni mfufua wa ulimwengu wote
Hivyo wewe uliyefunga unapaswa kuwapikia wengine ambao hawajafunga na kutoa pesa yako iliyopaswa kula ili uwalishe ndugu na watu Baki
Lakin ndugu zangu kufunga bila sala huko ni kushinda NJAA kabisa
Kufunga bila kunuia jambo flani huko nako ni kushinda NJAA kabisa
Lakin pia kwaresma huanza na jumatano ya MAJIVU
MAJIVU ni nini, MAJIVU hutukumbusha kwamba sisi wanadamu ni mavumbi na mavumbini hakika tutarudi
Masomo husika yoel 2:12-18
Injili husika mathayo 6:1-6,16-18
Moderate tafdhari nawaomba uzi huu msiuunganishe maana uzi utakuwa wa milele kwa update za kila siku juu ya neno la MUNGU la kipindi cha kwaresma
Basi nawakaribisha tufunge na tumuombe MUNGU wetu aliye mwema sana
SAYUNI BOY
Tunafunga ili iweje? yesu amesha tukomboa Hatuna dhambi,... alafu tayari yesu amesha jua nani ataenda motoni na nani ataenda kwa roho mtakatifu kama umesha wekwa kwenye kundi la motoni hata ufunge kizazi hautoboiSisi tunafunga ndugu yangu karbu tuungane kwa mfungo
Kwahiyo ijumaa kuu yaan mateso ya YESU ni kinyume na injili yaan siyo injili?Kwaresma, Majivu, Ijumaa kuu vyote ni church politics, haviko kwenye Biblia kuwahusu wakristo wa leo.
Yesu alishateswa, kusurubiwa, kufa, kufufuka na kupaa zake mbinguni zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Kilichobakia kwa sasa Injili ipigwe kwa kwenda mbele na Yesu ainuliwe milele.