Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kwa kuwa YESU KRISTO kashatukomboa hivyo sisi tusifanye chochote tuendelee kulewa tu mtumish?Tunafunga ili iweje? yesu amesha tukomboa Hatuna dhambi,... alafu tayari yesu amesha jua nani ataenda motoni na nani ataenda kwa roho mtakatifu kama umesha wekwa kwenye kundi la motoni hata ufunge kizazi hautoboi
Bondia wako wilder saiz anachakazwa tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duh kwaresma hatulagi nguruweKesho asubuhii niwahi majivu,
Msisahau kuniungisha nipo hapa machava mje kununua chakula Cha samaki na Nguruwe
makutupora
Kwann hamlagi Nguruwe??Duh kwaresma hatulagi nguruwe
Maana ni anasaKwann hamlagi Nguruwe??
Hapana sioni haja ilihali una kusudi na mfungo wako.....Maana ni anasa
Kwaresma tunakulaga kimasikin
Ni mwezi wa kujinyima
Ni mwendo wa mali maharage tu
Kusudi la mfungo linabakia kwenye ibada zako ikiwa ni pamoja na Sala zako, kitu gan unamwomba MUNGU MWENYEZI akutendeeHapana sioni haja ilihali una kusudi na mfungo wako.....
Ndo maana hata ndoa huwa hatufungishiHapana sioni haja ilihali una kusudi na mfungo wako.....
AminaWAKATOLIKI wote tufunge siku zote 40 kesho tukutane kwenye toba kuu tubadilike
Oya kesho imefikaUnapiga vitu nini?mzee
Niko vizuri mzeeOya kesho imefika
Umejiaanda kweli?
KabisaSafi sana
Lazima tumshinde shetani
Amina bas mimi nakutakia mfungo mwema mtumishKabisa
🙏 mkuuAmina bas mimi nakutakia mfungo mwema mtumish
Ubalikiwe sana mtu wa MUNGU