macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Tena hili la kuchukuwa kadi kwa wingi ni jambo la heri kubwa kabisa. Natamani ipite kampeni ya kulazimisha watanzania wote wawe na kadi ya CCM. Hizi ni dalili za CCM kufikia mwisho wake kwa sababu watu kuwa na kadi kutawafungua vichwa zaidi.Kuchukua Kadi doesn't mean we gonna vote, hapana, wanachukua na kura hawapigi. Tuwape Elimu, Siku moja wataelewa