MWENDAZAKE alifikiri biashara ya ndege ni kama Bodaboda jioni unaletewa hesabu...huku kwenye ndege kunahitaji uwekezaji wa muda mrefu
Wewe mjinga makufuli aliiweza biashara ya ndege ilikuwa hakuna janja janja wala delay wala kiongozi kutumia ndege kama yake. Itakuwaje hakuna hasara? Maana anaenda Dodoma anarudi Dar kaenda tena Dodoma mara karudi Dar tena yupo peke yake unajua trip moja ya kwenda Dodoma inakula kiasi gani?
Bado makamu wa Rais nae yuko kule na huku wamegawana ndege unajua hasara yake? Hasara yoote bado wanaileta kwa JPM kumsingizia hasara kaleta yeye shubamit.