Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Mzee umeyakanyagaa!! Ngoja walinda legacy waje 🤣🤣🤣
 
katika nchi hakuna watu ambao hawako serious kama wanaume wa dar, sasa mnataka kiongozi awe serious ili iweje , halafu ukuu wa mkoa ni ofisi sio mtu mzee, mkuu wa mkoa ni msimazi tu so unamini chalamila hawezi simamia wati wa chini yake,ukitoa utani chalAmila yupo smart sana
Hahaaa kwa hio wanaume wa dar hawako serious hawahitaji mtu serious lol
 
Comedy inaweza ikawa ni njia tu ya kuwa karibu na watu sio kwamba hana akili
 
Back
Top Bottom