Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Chalamila ni masters order
Makonda alikua vyet feko na aliweza
Unasema nn ww
 
Makonda ndio mtu mwenyewe alio li weza hili jiji, huo ndio ukweli!
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Tutajie hao watu serious japo kwa uchache pls! And then we can take it from there!!!
 
Nchi inaongozwa na Mapaka👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
AEb8rsjc_1.png
ummY_jc.jpg
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ukuu wa mkoa ni usanii tu, hata teja anaweza kuwa mkuu wa mkoa bila tatizo lolote. Wala usiwaze sana mkuu.
 
Chalamila kwangu mimi ni kiongizi mzuri, huwa sipendi viongozi wasiopenda ku interact na watu, Chalamila hana hiyo tabia ya kujifungia ofisini.
Uongozi ni ku-deliver. Hata kama uta interact na watu na kuamua kulala kwa mwananchi mmoja mmoja kwa zamu, kila siku ya uongozi wako, ni bure. Watanzania wengi hatujui kipimo cha kiongozi bora ni kipi. Kuna wanasema kiongozi anayeongoza kwa amsha amsha ndiyo bora. Wengine wanasema mwenye vituko ndiyo bora. Na wewe unatumia kigezo cha ku interact! Haya yote ni makosa.
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ndiyo linamhitaji sana. Wewe unaona DSM ni sehemu ya kuleta RC ambaye yuko principled?
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?


Mwamba ameanza majukumu yake immediately kwa kuanza kuvipaisha viwanda vya TBL na Serengeti vilivyopo mkoani kwake (Dar)
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ukuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa Bob. Hta wew naweza ukawa mkuu wa mkoa dsm. Nambie yupi unaona angefaa au unataka mama amrudishe makonda??
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
basi huwajui watanzania vizuri, wanapenda zile zero brain
 
Mery Chipungahelo!Dah kweli wewe ligendary

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mimi nimekuja Dar wakati Ngombale Mwiru akiwa mkuu wa mkoa, kipindi hicho bado alikua haitwi Kingunge.
Kipindi kile kuanzia usafiri UDA ,maduka, shule, vyuo, sipitali Hadi butchery zilikua mashirika ya umma yaani chini ya serikali.
Kipindi hicho hakuna eti wenye maduka wamegoma.
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Dar aliiweza Makonda peke yake, hawa wengine watakuwa wachekeshaji tu, tumpende tumchukie, Makonda pekee ndie aliiweza Darisalaama!
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Just mention a few ili nasisi tuone kama uko serious
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Bahati mbaya hukutwambia hao Wakuu wa Mikoa serious walikuwa kina nani. Tungewalinganisha na hao unaowaponda!
 
Back
Top Bottom