johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Swela, swela, swela!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......kuna namna wana jf tunajikuga wajuvi na wakamilifu sana, kwamba tuna uelewa mpana wa mambo kuliko watu wengine, tukubali tu uhuru wa nchi za afrika umetuwezesha wazawa kujitawala na kuinjoi keki ya taifa ila toka uhuru ni viongozi wachache sana walioacha legacies especially kwa hivi vyeo ambavyo mostly ni ceremonial tu kama u-RC na u-DC........Kwa uwezo wa akili ya Darasani hata exposure huwezi mfikia CHALAMILA. Elimu yake ni Kubwa na amekuzidi uelewa sana tu.
Utani na utashi wa Mtu, kwahiyo ulitaka aletwe mwehu kutoka TARIME ili uone kuwa anaweza kuimudu kazi?
Dar Kuna maajabu gani? Chalamila aliwahi kushindwa wapi? Muwe mnapunguza ujingaWatu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Hata Joti anaweza kuwa Mkuu wa mkoa kwenye nchi ilijojaa mapoyoyoWatu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Basically kazi za wakuu wa mikoa hazipo ila wana majukumu undefined.Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
huy jamaa mayb awe raisi wa nchiTutajie mkuu wa mkoa serious
Au unamtaka Mwanri A
Kwa kweli...Dar Kuna maajabu gani? Chalamila aliwahi kushindwa wapi? Muwe mnapunguza ujinga
Ni yupi aliwahi kuwa mkuu wa mkoa serious..au Makamba Yusuf?Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Kweli kabisa kama wa nchi fulani aliyeweka 20B hewa.Ndo hivyo bana viongozi wote ni hoi hai, sifa nyingi afu maneno polimilai...
Acha ujinga na ubwege unamzidi nini Chalamila wewe? Acheni dharau za kipumbavu una nini wewe mfuka moshi bwege tu wewe.Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Chonga sana jidai bingwa wa mafumbo, kumbuka kujiandaa na kichapo south kwa Marumo...Kweli kabisa kama wa nchi fulani aliyeweka 20B hewa.
Ni majukumu gani hayo mazito yaliyopo dar,?kulinganisha na lile ambalo mtu anatoka kwenye uana mitindo/msanii anaenda kuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa/wilaya!!yaani RSO ,DSO,na wabobezi wote wa mambo ya kiusalama wanakuwa chini yake?Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Siasa za CCM ni kama comedy. Mwacheni aje kufanya comedy zake jijini Dar....jiji la maraha na karaha!Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?