Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Kwa uwezo wa akili ya Darasani hata exposure huwezi mfikia CHALAMILA. Elimu yake ni Kubwa na amekuzidi uelewa sana tu.

Utani na utashi wa Mtu, kwahiyo ulitaka aletwe mwehu kutoka TARIME ili uone kuwa anaweza kuimudu kazi?
......kuna namna wana jf tunajikuga wajuvi na wakamilifu sana, kwamba tuna uelewa mpana wa mambo kuliko watu wengine, tukubali tu uhuru wa nchi za afrika umetuwezesha wazawa kujitawala na kuinjoi keki ya taifa ila toka uhuru ni viongozi wachache sana walioacha legacies especially kwa hivi vyeo ambavyo mostly ni ceremonial tu kama u-RC na u-DC........
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Dar Kuna maajabu gani? Chalamila aliwahi kushindwa wapi? Muwe mnapunguza ujinga
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Hata Joti anaweza kuwa Mkuu wa mkoa kwenye nchi ilijojaa mapoyoyo
 
Underestimatation ni kubwa kwa ChalaM ila anaweza.
Hongera sana, karibu Dar
Screenshot_20230515-225455.jpg
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Basically kazi za wakuu wa mikoa hazipo ila wana majukumu undefined.
 
Kama mtu kama nape anakuwa waziri kwanini Jembe Chalamila ashindwe kuwa mkuu wa mkoa?? Chalamila yuko vizuri kichwani clip zake za kuchekesha za dakika chache zisikupumbaze ukamchukulia poa poa
 
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Ni yupi aliwahi kuwa mkuu wa mkoa serious..au Makamba Yusuf?
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Acha ujinga na ubwege unamzidi nini Chalamila wewe? Acheni dharau za kipumbavu una nini wewe mfuka moshi bwege tu wewe.
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ni majukumu gani hayo mazito yaliyopo dar,?kulinganisha na lile ambalo mtu anatoka kwenye uana mitindo/msanii anaenda kuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa/wilaya!!yaani RSO ,DSO,na wabobezi wote wa mambo ya kiusalama wanakuwa chini yake?
 
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.

Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .

Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.

Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Siasa za CCM ni kama comedy. Mwacheni aje kufanya comedy zake jijini Dar....jiji la maraha na karaha!
 
Back
Top Bottom