Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajie hao watu serious japo kwa uchache pls! And then we can take it from there!!!Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Wwe una penda serious face, ndiyo unaamini ni mpiga kazi!!? Don't judge the book by its cover!!!You have nailed it, the guy is a joker
Msoga Siyo gang ni crew genge ni la wasukuma tuMsoga gang watanuna, walimchongea kwenye Mkutano Mkuu wa CCM!
Ukuu wa mkoa ni usanii tu, hata teja anaweza kuwa mkuu wa mkoa bila tatizo lolote. Wala usiwaze sana mkuu.Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Uongozi ni ku-deliver. Hata kama uta interact na watu na kuamua kulala kwa mwananchi mmoja mmoja kwa zamu, kila siku ya uongozi wako, ni bure. Watanzania wengi hatujui kipimo cha kiongozi bora ni kipi. Kuna wanasema kiongozi anayeongoza kwa amsha amsha ndiyo bora. Wengine wanasema mwenye vituko ndiyo bora. Na wewe unatumia kigezo cha ku interact! Haya yote ni makosa.Chalamila kwangu mimi ni kiongizi mzuri, huwa sipendi viongozi wasiopenda ku interact na watu, Chalamila hana hiyo tabia ya kujifungia ofisini.
Mtaka nae kuna muda mhmhm....[emoji850]All RCs minus Antony Mtaka are a joke.
Ndiyo linamhitaji sana. Wewe unaona DSM ni sehemu ya kuleta RC ambaye yuko principled?Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
All RCs minus Antony Mtaka are a joke.
Mery Chipungahelo!Dah kweli wewe ligendaryUmemsahau comedian Makamba, umemsahau Mary Chipungahelo na umemsahau mtoto wa mjini anayejua kula chapati.
Hao wote walikua wakuu wa hapa kwa nyakati tofauti lakini jiji halikuyumba.
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Ukuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa Bob. Hta wew naweza ukawa mkuu wa mkoa dsm. Nambie yupi unaona angefaa au unataka mama amrudishe makonda??Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
basi huwajui watanzania vizuri, wanapenda zile zero brainWatu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Mimi nimekuja Dar wakati Ngombale Mwiru akiwa mkuu wa mkoa, kipindi hicho bado alikua haitwi Kingunge.
Dar aliiweza Makonda peke yake, hawa wengine watakuwa wachekeshaji tu, tumpende tumchukie, Makonda pekee ndie aliiweza Darisalaama!Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Just mention a few ili nasisi tuone kama uko seriousWatu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?
Bahati mbaya hukutwambia hao Wakuu wa Mikoa serious walikuwa kina nani. Tungewalinganisha na hao unaowaponda!Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo.
Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana .
Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa serious na kuja kuwa na wakuu wa Mikoa kama Makonda, Makala na Chalamila nikudharau wananchi wa jiji la DSM.
Tunao watu serious kwanini tuendelee kufanya comedy?