Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

Mzee umeyakanyagaa!! Ngoja walinda legacy waje 🤣🤣🤣
 
Hahaaa kwa hio wanaume wa dar hawako serious hawahitaji mtu serious lol
 
Comedy inaweza ikawa ni njia tu ya kuwa karibu na watu sio kwamba hana akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…