ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wapuuzi kama huyu huwa hawakosekani katika jamii hizi akili fupi sijui tutazitokomeza namna gani!! Lazima tuje na mpango mkakati wa kuzimaliza kabisa kwa usalama na maendeleo ya nchi yetu kumbafJPM alivuruga mifumo ya ajira,aliua sekta binafsi, na akazuia serikali isiajiri.
Bado Kuna funza zinamsifu
Green pasture ya ajira ya contract ya mwaka mmoja mmoja?toka hapo nje angalia juu na useme hakika mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele tu.Wewe kwa akili zako mbovu hizo unaambini hao waombaji 7,600 hawana ajira? Then utakuwa hutumii ubongo wako vizuri, hao waote ajira wanazo, wanachotafuta ni ‘greener pasture’ , jaribu kuelewa hii concept kwanza.
Mtu wa hovyo sana yule,Mungu Ni Fundi.Mlaumuni Jiwe ndio aliharibu hii Nchi..
Harafu sektetatieti ya Mkoa wametakiwa kuandaa usaili mikoani waache ujinga wa kuitana Dodoma.
Duh Motivational speakers mmeshaanza Mambo yenu tena.Itakuwa hiviView attachment 2286016
Tatizo ni pesa haijalishi ni za Nani na zimetoka wapi?Unapoiba benki unaiba pesa za watu walizojiwekea akiba sio pesa za serikali zile
Duh, mkuu umelifumuafumua hilo dubwasha!
Hata hao 50 ni wengi mno walipaswa wasizidi 10! Huu nao ni ufisadi!Bora wangeita watu 50 waliobora kulingana na CV zao na kuacha mamia ya wengine bila kuwapotezea akiba dogo waliyonayo.
😁😁😁Green pasture ya ajira ya contract ya mwaka mmoja mmoja?toka hapo nje angalia juu na useme hakika mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele tu.
Si ndio alikuwa shujaa wenu nyie vipi tena 😆😆😆😆JPM alivuruga mifumo ya ajira,aliua sekta binafsi, na akazuia serikali isiajiri.
Bado Kuna funza zinamsifu
Wewe unayo? Kama kazaliwa anakuta unaenda job utamwambia nini hasa akuelewe?Sitaki tena Kumuanda mwanangu kuwa Mwajiriwa Wa Serikali hii nataka Nianze kumpa mentality za Kujitegemea tangu akiwa Mchanga nimpe Elimu safi kabisa
Uchumi haijengwi kwa entity moja,kukiwa na fani kwani ndio itawapa pesa ilhali watu hawana pesa?Jambo la kwanza ni mfumo wa elimu ufumuliwe wote mtoto asome mpk la saba baada ya hapo 4m 1 mpk 4 iwe ni vyou vya fani tu alafu wale wataka faulu vizuri wakasome 5&6 hapa ndo tunatakiwa kupika cream.
Ila hao wazazi wa kurithisha watt mali ndo waha wanauza mashamba mpk na makaburi ya babu zetu au?!
Na hao watt unaotaka wsrithishwe mali Ni hawa wanawaza ngono( kucha wanaomba connection) au kuna wengine tutegemee?
Ukipata chance ya kukutana na mmiliki wa bus za machame inv muulize haso alizopitia mpk kufika hapo
Na hapa ndipo shida ilipo ongeza chumvi kwenye kidonda.JPM alivuruga mifumo ya ajira,aliua sekta binafsi, na akazuia serikali isiajiri.
Bado Kuna funza zinamsifu
Kwani mtaani kuna upungufu wa mafundi? Hizi cheap mind zitawamaliza..VETA, VETA, VETA ziboreshwe, ziwe na Wakufunzi wa kutosha Watoto wapelekwe huko waweze kujiajiri wenyewe.
Elimu kwa njia ya vitendo pekee ndio suluhisho.
There are people taking advantage of the innocent. Hii haiko sawa. Halafu wako very happy tu--imagine!Hata hao 50 ni wengi mno walipaswa wasizidi 10! Huu nao ni ufisadi!
Kwani hela za Bima nazo ni za watu,pwani Mkui mbona kama unataka kuhalalisha wizi??Hela zote za benk zina bima.
#MaendeleoHayanaChama
You wrote the 🚮🚮🚮 of the year!JPM alivuruga mifumo ya ajira,aliua sekta binafsi, na akazuia serikali isiajiri.
Bado Kuna funza zinamsifu
Kwa Tanzania kwa hali hii ni lazima kwanza kufumua Sera za uongozi mzima wa CCM na Nchi,vinginevyo utawalaumu vijana bure.