Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Sasa we Hap unataka mserereko wew [emoji3][emoji3]Hao 900 najitolea kuwap mahali pa kulala wawili wakiwa wanafukuzia hizo interview zao wawili tu ambao hawajitoshelezi maana gheto hapa tuko wawili aje na pesa ya kula tu pakulala papo
Watumishi wa Utumishi lazima watakuwa washajenga lodge huko kipindi wamehamia kule, hii itakuwa ni namna ya kutafuta wateja. Nawaza hivi kwa asilimia nyingi sana.Hata hao 50 ni wengi mno walipaswa wasizidi 10! Huu nao ni ufisadi!
Gheto sina jiko namaanisha wakitoka kwenye interview zao waje wameshiba ndio kwanza naanza maisha kagodoro kapo chini kitu nitawasaidia labda nauli na tungi maana gheto sina hata jikoSasa we Hap unataka mserereko wew [emoji3][emoji3]
Na tungi lenyewe kama wanakunywa konyagiGheto sina jiko namaanisha wakitoka kwenye interview zao wake wameshiba ndio kwanza naanza maisha kagodoro kapo chini kitu nitawasaidia labda nauli na tungi maana gheto sina hata jiko
Kwahio Lemutuz aliandaliwa vile na baba yake sio?Watoto wapo vile unavyoawaandaa. Watoto ni matokeo ya wazazi walivyo
6700 hawana sifa?Kweli kuna tatizo la AJIRA, NAFASI 2 zagombaniwa na watu 890+
Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...
Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.
Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.
Toa soln Ni Nini.Watumishi wa Utumishi lazima watakuwa washajenga lodge huko kipindi wamehamia kule, hii itakuwa ni namna ya kutafuta wateja. Nawaza hivi kwa asilimia nyingi sana.
Haiingii akilini uite watu 1800 wakapambanie nafasi 2 bila kuwa na maslahi na maamuzi hayo.
Teknolojia yetu, nadhani inawezekana hata kuchukua teknolojia ya wengine(copying) na kuiboresha ili twende sawa. Hata China alicopy sana tech za mmarekani, hadi kufika alipo sio kazi rahisi.Tutabishana sana ila bila kuana teknolojia yetu, tutateseka Sana. Tunahitaji sana teknolojia ya chuma.
Tuna akili za kimasikini Sana ,hii kiradi tunayofanya ni kazi bure kama haihusishi waTanzania directly kugain pesa Kwa kupitia hiyo miradi either kama wakandarasi / wazabuni au waajiriwa , tunatengeneza Umasikini Tu na kuwanufaisha wachina na wapuuzi wengine , yaani Tunatumia pesa kuwagawia watu wengine halafu Sisi makapuku wanaongezeka na unemployment rate kuwa kubwa plus low living standards na miseryKwa Tanzania kwa hali hii ni lazima kwanza kufumua Sera za uongozi mzima wa CCM na Nchi,vinginevyo utawalaumu vijana bure.
Chukulia mfano kandarasi za miradi ya maji ambayo juzi kati SAMIA alisimamia utiaji saini,zile kandarasi zote Hamna Mtanzania hata mmoja-na zile ndio ajira zenyewe bado kandarasi nyingi za barabara, majengoni ngozi nyeupe-na ndizo ajaira zenyewe.
Kipengele gani cha katiba kimevunjwa?1800+ vs 2 Posts ni uvunjaji wa katiba
Walezi wa siku izi wasenge sana hawapendi pesa yao itumike kuwasaidia watoto wao ila ni bata tu na kujivua majukumu muda usio sahihiKuna Dada yangu alikuwa ana msomesha mdogo wetu wa mwisho yule dogo alipoaza kusikia Dada anatoa kauli zisizoleta matokeo mazuri akaamua kuzidisha ada kakalibia kumaliza Dada kamwambia ukimaliza chuo tusijuane sitak kuona simu yako Aya assume ndio we af auna muelelekeo na Dada ana kazi mzuri now anakazi ya kununua vipodozi vya bei kubwa tu inaniuma Sana na siwez msaidia kwa halii kijana wa leo atategemea Nini Zaid ya ajira
@DANIEL LOUIS BECKFORD ase msaidie huyu chali mpk kaanzisha uzi mpe hifadhi nakuomba mkuu maana Mimi najua hali iliopo mtaani Mimi sipo dom ningekuwa ningemsitiri hata kwa washikajiGheto sina jiko namaanisha wakitoka kwenye interview zao waje wameshiba ndio kwanza naanza maisha kagodoro kapo chini kitu nitawasaidia labda nauli na tungi maana gheto sina hata jiko
Watu hawatakuelewa.Mababu wa zamani wana akili kuliko wazazi wa kisasa.
Elimu sio urithi. Ndio maana haitambuliki kwenye sheria za mirathi kama mtoto amerithi elimu.
Mtoto mpe mali ama mtaji na biashara mapema afanye maisha yake. Kupunguza usumbufu kwa mtoto kama huuu wa kugombea kazi za watu
Kama wanammiss sana wakafe ili wakutane nayeJPM alivuruga mifumo ya ajira,aliua sekta binafsi, na akazuia serikali isiajiri.
Bado Kuna funza zinamsifu
JPM alivuruga mifumo ya ajira,aliua sekta binafsi, na akazuia serikali isiajiri.
Bado Kuna funza zinamsifu
Acha tupambane na vyuo vya private,namlipia ada akimaliza ntajua nini ntamfanyia kama hajapata kazi...vijana wa kike na kiume wengi wao wakimaliza vyuo wakikosa kazi ndio wanageuka kua wadangaji na kubetiKweli kuna tatizo la AJIRA, NAFASI 2 zagombaniwa na watu 890+
Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...
Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.
Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.