Kweli kuna tatizo la ajira, nafasi 2 zagombaniwa na watu 890+, wote wameitwa Dodoma (Chakula, usafiri, kulala juu ya muombaji) F6 Leavers JIFUNZENI

Kweli kuna tatizo la ajira, nafasi 2 zagombaniwa na watu 890+, wote wameitwa Dodoma (Chakula, usafiri, kulala juu ya muombaji) F6 Leavers JIFUNZENI

Hao 900 najitolea kuwap mahali pa kulala wawili wakiwa wanafukuzia hizo interview zao wawili tu ambao hawajitoshelezi maana gheto hapa tuko wawili aje na pesa ya kula tu pakulala papo
Sasa we Hap unataka mserereko wew [emoji3][emoji3]
 
Hata hao 50 ni wengi mno walipaswa wasizidi 10! Huu nao ni ufisadi!
Watumishi wa Utumishi lazima watakuwa washajenga lodge huko kipindi wamehamia kule, hii itakuwa ni namna ya kutafuta wateja. Nawaza hivi kwa asilimia nyingi sana.


Haiingii akilini uite watu 1800 wakapambanie nafasi 2 bila kuwa na maslahi na maamuzi hayo.
 
Alafu namaanisha ambao ni hoe hae wenzangu wajibebe nauli na pesa zao za kula gheto lipo nipo mimi na mshikaji ambaye nayeye nilimuita mjini aje apambanie kombe wawili jumla tunakua wa4 tosha kwa kagodoro ka 5 kwa 6
 
Kweli kuna tatizo la AJIRA, NAFASI 2 zagombaniwa na watu 890+

Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...

Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.

Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.
6700 hawana sifa?
 
Watumishi wa Utumishi lazima watakuwa washajenga lodge huko kipindi wamehamia kule, hii itakuwa ni namna ya kutafuta wateja. Nawaza hivi kwa asilimia nyingi sana.


Haiingii akilini uite watu 1800 wakapambanie nafasi 2 bila kuwa na maslahi na maamuzi hayo.
Toa soln Ni Nini.
 
Tutabishana sana ila bila kuana teknolojia yetu, tutateseka Sana. Tunahitaji sana teknolojia ya chuma.
Teknolojia yetu, nadhani inawezekana hata kuchukua teknolojia ya wengine(copying) na kuiboresha ili twende sawa. Hata China alicopy sana tech za mmarekani, hadi kufika alipo sio kazi rahisi.
 
Kwa Tanzania kwa hali hii ni lazima kwanza kufumua Sera za uongozi mzima wa CCM na Nchi,vinginevyo utawalaumu vijana bure.

Chukulia mfano kandarasi za miradi ya maji ambayo juzi kati SAMIA alisimamia utiaji saini,zile kandarasi zote Hamna Mtanzania hata mmoja-na zile ndio ajira zenyewe bado kandarasi nyingi za barabara, majengoni ngozi nyeupe-na ndizo ajaira zenyewe.
Tuna akili za kimasikini Sana ,hii kiradi tunayofanya ni kazi bure kama haihusishi waTanzania directly kugain pesa Kwa kupitia hiyo miradi either kama wakandarasi / wazabuni au waajiriwa , tunatengeneza Umasikini Tu na kuwanufaisha wachina na wapuuzi wengine , yaani Tunatumia pesa kuwagawia watu wengine halafu Sisi makapuku wanaongezeka na unemployment rate kuwa kubwa plus low living standards na misery
 
S
Kuna Dada yangu alikuwa ana msomesha mdogo wetu wa mwisho yule dogo alipoaza kusikia Dada anatoa kauli zisizoleta matokeo mazuri akaamua kuzidisha ada kakalibia kumaliza Dada kamwambia ukimaliza chuo tusijuane sitak kuona simu yako Aya assume ndio we af auna muelelekeo na Dada ana kazi mzuri now anakazi ya kununua vipodozi vya bei kubwa tu inaniuma Sana na siwez msaidia kwa halii kijana wa leo atategemea Nini Zaid ya ajira
Walezi wa siku izi wasenge sana hawapendi pesa yao itumike kuwasaidia watoto wao ila ni bata tu na kujivua majukumu muda usio sahihi
 
Gheto sina jiko namaanisha wakitoka kwenye interview zao waje wameshiba ndio kwanza naanza maisha kagodoro kapo chini kitu nitawasaidia labda nauli na tungi maana gheto sina hata jiko
@DANIEL LOUIS BECKFORD ase msaidie huyu chali mpk kaanzisha uzi mpe hifadhi nakuomba mkuu maana Mimi najua hali iliopo mtaani Mimi sipo dom ningekuwa ningemsitiri hata kwa washikaji
 
Ajira ni tatizo la dunia nzima,na hili tatizo halikwepeki kwani kila kukicha dunia inapunguza utegemezi wa kumtumia binadamu kuzalisha na kutumia telknoljia ili kurahisiha utendaji kazi,tunachopaswa ni kuwaandalia watoto wetu njia mbadala za kuwaingizia mapato ikiwemo kujiajiri...
 
Mababu wa zamani wana akili kuliko wazazi wa kisasa.

Elimu sio urithi. Ndio maana haitambuliki kwenye sheria za mirathi kama mtoto amerithi elimu.

Mtoto mpe mali ama mtaji na biashara mapema afanye maisha yake. Kupunguza usumbufu kwa mtoto kama huuu wa kugombea kazi za watu
Watu hawatakuelewa.
Elimu basic iwepo kumuongoza ila mali muhimu zaidi ili kusababisha muendelezo wa familia
 
Kweli kuna tatizo la AJIRA, NAFASI 2 zagombaniwa na watu 890+

Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...

Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.

Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.
Acha tupambane na vyuo vya private,namlipia ada akimaliza ntajua nini ntamfanyia kama hajapata kazi...vijana wa kike na kiume wengi wao wakimaliza vyuo wakikosa kazi ndio wanageuka kua wadangaji na kubeti
 
Back
Top Bottom