Kweli mapenzi ni uchafu. Wewe ungefanyaje?

Kweli mapenzi ni uchafu. Wewe ungefanyaje?

Mmh!!
Nadhani ilinishangaza sana lakini nilijitahidi kuuzuia mdomo wangu......ndio maana nikasema wewe ungeweza....??
Unakemea maovu huku wewe mwenyewe unatenda maovu,akili zako ni za hovyo kama huyo Mwanamke.wewe na huyo mwanamke wote ni wauaji.
Nini maana ya urafiki wenu,mtu kakuheshimu kakukaribisha mpaka kwake lakini wewe ulicho mtendea na unyama.
Na ipo siku jamaa atajua atakuona kavu sana.
 
Kwa hiyo sisi wenye diploma ya kuzama ni wachafu, dogo🤣🤣
Hapana kaka mkubwa hakuwezi kuwa kuchafu , kungekua ni kuchafu wanadamu wote tungekua wachafu ,home sweet home🤣🤣🤣
 
Hauoni ni wakati muafaka wa wewe kufanya Jambo ukamuokoa rafiki yako asitumbukie kwenye mtumbwi wa vibwengo.
Unaweza ukaona unamuokoa kumbe ndio mnavunja urafiki na kujenga uadui wa kudumu....haya mambo ya mapenzi ni mazito kuliko yanayoonekana
 
Unakemea maovu huku wewe mwenyewe unatenda maovu,akili zako ni za hovyo kama huyo Mwanamke.wewe na huyo mwanamke wote ni wauaji.
Nini maana ya urafiki wenu,mtu kakuheshimu kakukaribisha mpaka kwake lakini wewe ulicho mtendea na unyama.
Na ipo siku jamaa atajua atakuona kavu sana.
Inaonekana bado hauna muda mwingi kwenye ulingo wa mapenzi......labda nikukumbushe kuwa kwenye ulimwengu huu moja ya mambo ambayo ni magumu kushaurika ni mapenzi mara nyingi ni mpaka mtu aone mwenyewe
 
Hiyo ni case study moja, ila najua huku Mtaani hali ni mbaya zaidi

Uwepo wa hizi P2 zinafanya mabinti wanajiachia Kwa Mabwana zaidi ya watatu bila hofu ya mimba

Unakuta binti ametoka Kwa John masaa mawili yaliyopita, kisha anaenda Tegeta Kwa boyfriend yake Fadhil

Fadhil naye ili kunogesha penzi lake na huyo binti si anaenda Uvinza

Kwa kwenda kwake Uvinza, anakutana na Manii za John alizoweka masaa mawili yaliyopita🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
 
Back
Top Bottom