Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Umbea huo sasaWalijiharibu wenyewe ndugu kwa kuokotana barabarani.....kama mmoja wao ingekuwa amemuoa nisingekaa nalo rohoni lakini wote ni wazinzi nikaona haina haja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbea huo sasaWalijiharibu wenyewe ndugu kwa kuokotana barabarani.....kama mmoja wao ingekuwa amemuoa nisingekaa nalo rohoni lakini wote ni wazinzi nikaona haina haja
Sio hasira sasa hii inamaaana ganSijaona shida ya uzi labda wewe una hasira tu mkuu.
Unafanya jambo baya sana.....elewa tu hivyoSasa mm mpaka leo namla demu wa jamaa wangu na mbona fresh tuu
Ndoa ni jambo kubwa sana machoni mwa Mungu....Umbea huo sasa
Sasa wewe mke wa mtu akiliwa ina kuhusu nn fuata yakoUmbea huo sasa
Mbona mimi nimeona ina maana ,kwamba usaliti ni mkubwa sana kipindi hiki.Sio hasira sasa hii inamaaana gan
Jamboo bay vip kawaida tuuUnafanya jambo baya sana.....elewa tu hivyo
Hahahaaa labda huko yapo masafi kwa dunia nKwa hiyo ukifa ndio unakutana na masafi ....??
Yanini kuingia kwenye mikataba hali ya kuwa hujamaliza ushetani wakoSasa wewe mke wa mtu akiliwa ina kuhusu nn fuata yako
Nawe mle sio kusemaSasa wewe mke wa mtu akiliwa ina kuhusu nn fuata yako
Sawa.....hata mambo mabaya huonekana ya kawaidaJamboo bay vip kawaida tuu
Mm hata shemeji yangu aliwe siwez ongea kwan k yake yanguStory kama hii ilitokea kwa kaka yangu kabisa wa damu, alikua kampenda binti ya kimeru, mzuri, shepu shepu, mweupeeeeee alishaanza kutangaza ndoa, sasa kuna jamaa tunafahamiana ni tomboy maarufu tu, mabinti na wanawake wanamshobokea sana na yeye anapita nao hasa wakiwa weupe ndo ugonjwa wake, siku hiyo akanicheki akasema nakuja Kigamboni na mtoto mkali tupeleke beach iliyotulia, nikasema poa, nikiwa pale beach ndo anakuja na mchumba wa kaka yangu, wameshikana mikono kwa raha zao, nikawasalimia kwa uchangamfu lakini binti alipoteza confidence, baadae nikawaaga nimepata dharula nikarudi home nikaona sio kweli acha nimsanue bro, aah kudadadeki yule binti nyokaaaaa kumbe tukiwa pale akamtext bro akamwambia mimi nimemuita kwangu Kigamboni cha ajabu nimemtongoza, amenikataa ila nimemwambia nitamuharibia😬😧 halafu huku kwa mshikaji tomboy akamwambia mimi sijapenda uwepo wake sababu niliwahi kumtongoza miaka ya nyuma akanikataa 🙌
Sitaki kusema ilikuaje ila mimi na bro hatukuongea kwa miaka miwili, yule tomboy tulimalizana kisela hakukua na changamoto kubwa,
MUHIMU: Ukiona mambo hayapo sawa kwenye mahusiano ya watu piga kimya, kaa mbali ipo siku wahusika watagunduana na wewe utabaki salama.
Wanawake sio wa kuwamini brooMi na mwanangu mmoja ameoa ila mke wake anajitongozesha kwa marafiki wa mume wake dada kama anapepo la ngono kanusurika tu kwa sisi ambao tuna moyo wa kukinai wake za jamaa zetu ila sijui kama amenusurika kwa marafiki wa jamaa wenye tamaa.
Sasa huyo mwanangu anavyo msifia mke wake akiwa mbele yetu huwa moyoni naishia kumuonea huruma tu maana mwanamke anamvua nguo mbele ya marafiki zake bila yeye kujua.
Ni fedheha kubwa kwa kweli.......Mi na mwanangu mmoja ameoa ila mke wake anajitongozesha kwa marafiki wa mume wake dada kama anapepo la ngono kanusurika tu kwa sisi ambao tuna moyo wa kukinai wake za jamaa zetu ila sijui kama amenusurika kwa marafiki wa jamaa wenye tamaa.
Sasa huyo mwanangu anavyo msifia mke wake akiwa mbele yetu huwa moyoni naishia kumuonea huruma tu maana mwanamke anamvua nguo mbele ya marafiki zake bila yeye kujua.
Huko si kuna jamaa wanasema kuwa kuna mabikra 72 kila mmoja atapewaHahahaaa labda huko yapo masafi kwa dunia n
Uchafu
Aisee taasisi ya ndoa inazidi kupoteza maanaWanawake sio wa kuwamini broo
Teh teh 😃 😃 noma sana...Umri wa kutosha kuweza kuwa Baba yako mzazi au babu yako
Kwani siyo wewe uliyosema rafiki yako mmoja anajiandaa na kufunga ndoaWalijiharibu wenyewe ndugu kwa kuokotana barabarani.....kama mmoja wao ingekuwa amemuoa nisingekaa nalo rohoni lakini wote ni wazinzi nikaona haina haja