Kweli mapenzi ni uchafu. Wewe ungefanyaje?

Kweli mapenzi ni uchafu. Wewe ungefanyaje?

Leo nimekumbuka kiss hiki cha miaka kadhaa nyuma.....

Nilikuwa na rafiki yangu mpendwa alikuwa na mchumba ambaye ni shemeji yangu ambapo walikuwa mbioni kufunga ndoa.....na maandalizi na harakati za hapa na pale yalishaanza.....

Ni Shem ambaye tulizoeana kwa kuwa mara kadhaa nilikuwa nikifika kwa rafiki yangu nawakuta ingawa walikuwa hawaishi pamoja........

Siku moja na pita pita mitaa ya kariakoo nakutana na rafiki yangu wa siku nyingi tulisoma naye shule ya msingi miaka mingi iliyo pita.....katika harakati za kuchangamkiana tukajikuta tunapanga siku ya kuonana ili tuongee mengi zaidi maana aliniambia anaishi maeneo ya kigamboni.......

Basi weekend moja nikamtaarifu kuwa naenda kumtembelea na yeye alifurahi sana akaniambia kuwa itakuwa vizuri pia umjue Shemeji yako maana na yeye amekuja leo......nikamwambia Sawa.....

Masaa kadhaa nikawa nimefika aliponielekeza nishukie akamtuma kijana kuja kunichukua kuelekea nyumbani kwake.....si haba ilikuwa nyumba ya kisasa......

Wakati tukiendelea na maoengezi ya hapa na pale akamuita Shem aje nimsalimie.....laahaulah!! Ni yule mchumba wa rafiki yangu kule mtaani.....cha ajabu yule mwanamke hakuonesha mshtuko wowote nami nikauchuna kimya.....

Mida ilipotimu nikaaga nikaondoka zangu......Ile picha pale iliniachia maswali mengi sana lakini nikaamua kukaa kimya na kuendelea na maisha yangu......

Mpaka nahama pale mtaani Yule rafiki yangu alikuwa hajafunga ndoa bado na Yule bibie na kule kwa jamaa yangu kigamboni sikuulizia lolote kuhusu yeye na Yule bibie........

DAH!
KWELI KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI........

Kawaida sana ,mpaka huyo mke unayemuoa ujue anajaza coaster na wengine wanasimama ,haina makombo.
 
Umeshajiuliza akija kufahamu ulikua unajua na ulikaa kimya unafikiri urafiki wenu hautavunjika?
Atajuaje kuwa nilikuwa najua alafu nimekaa kimya.....nani atamwambia....btw haya mambo hayana maana ndugu.... unaweza ukafanya wema ukaonekana mbaya
 
Atajuaje kuwa nilikuwa najua alafu nimekaa kimya.....nani atamwambia....btw haya mambo hayana maana ndugu.... unaweza ukafanya wema ukaonekana mbaya
Unachokifanya sasa hivi ni kitu cha kikatili sana. Yani wewe na huyo shemeji yako ni kitu kimoja mnawang'ong'a washikaji zako(mnawachora). Hivi hakuna kitu kinakusuta ukiwa na washikaji zako)
 
Unakemea maovu huku wewe mwenyewe unatenda maovu,akili zako ni za hovyo kama huyo Mwanamke.wewe na huyo mwanamke wote ni wauaji.
Nini maana ya urafiki wenu,mtu kakuheshimu kakukaribisha mpaka kwake lakini wewe ulicho mtendea na unyama.
Na ipo siku jamaa atajua atakuona kavu sana.
Mwenyewe nimeshangaa kwa alichokifanya. Kakaa kimya kabisa???

Huyu hafai kuitwa rafiki.
 
Unachokifanya sasa hivi ni kitu cha kikatili sana. Yani wewe na huyo shemeji yako ni kitu kimoja mnawang'ong'a washikaji zako(mnawachora). Hivi hakuna kitu kinakusuta ukiwa na washikaji zako)
Mimi siwezi kumuacha mwanangu namuona anapotea. Nitamsanua tu! Akini mind poa! Asipo ni mind poa tu vilevile.

Kikubwa nimeshamfikishia habari.

Kuna mwanangu mmoja nilimuelewa mwanamke mmoja anafanya naye kazi ofisi moja. Nikamuuliza vipi hapo? Kuna usalama? Nikamwambia wazi nimemuelewa. Jawabu lake mwanangu mimi sijui tunaonana tu ofisini ila ni dada anayejiheshimu. Nikajua mwanangu hawezi kuniangusha nikatia vocal.

Lakini nikajiongeza zaidi kuna mwanangu mwengine nilisoma naye anafanya kazi kwenye hiyo Taasisi nikamuelezea bhana fulani shemeji yako huko!

Kumbe kesho yake mshikaji akaenda ofisi ya mwanangu huyo ambaye huyo demu ni Co worker wake. Akamuuliza fulani si mshikaji wako? Jamaa anajibu ndiyo? Akamuuliza huyu demu si unamjua jinsi alivyo? Akajibu ndiyo? Akamuuliza kipi kinachokufanya usimwambie mshikaji ukweli? Akabaki anajiuma uma?

Yule mwanangu niliyesoma naye akanipigia simu. Akaniambia mwanangu ukiamua kunichukia nichukie, ila yule demu siyo piga chini haraka. Akaniambia nimemfuata yule Co worker wake ambaye unayefahamiana naye na nimemuuliza kabisa fulani si mshikaji wako? Kipi kimekufanya usimwambie?

Nikamwambia babu, kabla sijaingia mazima nilipitia kwa huyo huyo mshikaji yeye akaniambia hajui chochote mara huyo demu ametulia na hapa za pale! Nikampa big up nikamwambia mwanangu nimekuongezea vyeo! Sijakuchukia wala nini!

Nikamgeukia yule mwana mwengine nikamwambia mwanangu, hivi unaniachaje mimi nateketea? Akaanza kuleta sababu kama za huyu mleta Uzi.

Nikamwambia umenikosea pakubwa sana! Ukimwangalia ni mshikaji ambaye akikwama hata kwenye mambo yake ya kifamilia huwa mimi ndiyo kimbilio lake. Nikamwambia wazi kuwa umezingua sana!

Washikaji wa aina hii ni wanafiki! Yule demu nilipiga chini siku hiyo hiyo! Halafu nilikuwa namuandaa awe mke.
 
Mimi siwezi kumuacha mwanangu namuona anapotea. Nitamsanua tu! Akini mind poa! Asipo ni mind poa tu vilevile.

Kikubwa nimeshamfikishia habari.

Kuna mwanangu mmoja nilimuelewa mwanamke mmoja anafanya naye kazi ofisi moja. Nikamuuliza vipi hapo? Kuna usalama? Nikamwambia wazi nimemuelewa. Jawabu lake mwanangu mimi sijui tunaonana tu ofisini ila ni dada anayejiheshimu. Nikajua mwanangu hawezi kuniangusha nikatia vocal.

Lakini nikajiongeza zaidi kuna mwanangu mwengine nilisoma naye anafanya kazi kwenye hiyo Taasisi nikamuelezea bhana fulani shemeji yako huko!

Kumbe kesho yake mshikaji akaenda ofisi ya mwanangu huyo ambaye huyo demu ni Co worker wake. Akamuuliza fulani si mshikaji wako? Jamaa anajibu ndiyo? Akamuuliza huyu demu si unamjua jinsi alivyo? Akajibu ndiyo? Akamuuliza kipi kinachokufanya usimwambie mshikaji ukweli? Akabaki anajiuma uma?

Yule mwanangu niliyesoma naye akanipigia simu. Akaniambia mwanangu ukiamua kunichukia nichukie, ila yule demu siyo piga chini haraka. Akaniambia nimemfuata yule Co worker wake ambaye unayefahamiana naye na nimemuuliza kabisa fulani si mshikaji wako? Kipi kimekufanya usimwambie?

Nikamwambia babu, kabla sijaingia mazima nilipitia kwa huyo huyo mshikaji yeye akaniambia hajui chochote mara huyo demu ametulia na hapa za pale! Nikampa big up nikamwambia mwanangu nimekuongezea vyeo! Sijakuchukia wala nini!

Nikamgeukia yule mwana mwengine nikamwambia mwanangu, hivi unaniachaje mimi nateketea? Akaanza kuleta sababu kama za huyu mleta Uzi.

Nikamwambia umenikosea pakubwa sana! Ukimwangalia ni mshikaji ambaye akikwama hata kwenye mambo yake ya kifamilia huwa mimi ndiyo kimbilio lake. Nikamwambia wazi kuwa umezingua sana!

Washikaji wa aina hii ni wanafiki! Yule demu nilipiga chini siku hiyo hiyo! Halafu nilikuwa namuandaa awe mke.
Kweli kabisa wana kama huyu mtoa mada ni watu wabaya sana. Yani anamuacha mshikaji wake anateketea kwasababu za kipumbavu Sana.
 
Mimi siwezi kumuacha mwanangu namuona anapotea. Nitamsanua tu! Akini mind poa! Asipo ni mind poa tu vilevile.

Kikubwa nimeshamfikishia habari.

Kuna mwanangu mmoja nilimuelewa mwanamke mmoja anafanya naye kazi ofisi moja. Nikamuuliza vipi hapo? Kuna usalama? Nikamwambia wazi nimemuelewa. Jawabu lake mwanangu mimi sijui tunaonana tu ofisini ila ni dada anayejiheshimu. Nikajua mwanangu hawezi kuniangusha nikatia vocal.

Lakini nikajiongeza zaidi kuna mwanangu mwengine nilisoma naye anafanya kazi kwenye hiyo Taasisi nikamuelezea bhana fulani shemeji yako huko!

Kumbe kesho yake mshikaji akaenda ofisi ya mwanangu huyo ambaye huyo demu ni Co worker wake. Akamuuliza fulani si mshikaji wako? Jamaa anajibu ndiyo? Akamuuliza huyu demu si unamjua jinsi alivyo? Akajibu ndiyo? Akamuuliza kipi kinachokufanya usimwambie mshikaji ukweli? Akabaki anajiuma uma?

Yule mwanangu niliyesoma naye akanipigia simu. Akaniambia mwanangu ukiamua kunichukia nichukie, ila yule demu siyo piga chini haraka. Akaniambia nimemfuata yule Co worker wake ambaye unayefahamiana naye na nimemuuliza kabisa fulani si mshikaji wako? Kipi kimekufanya usimwambie?

Nikamwambia babu, kabla sijaingia mazima nilipitia kwa huyo huyo mshikaji yeye akaniambia hajui chochote mara huyo demu ametulia na hapa za pale! Nikampa big up nikamwambia mwanangu nimekuongezea vyeo! Sijakuchukia wala nini!

Nikamgeukia yule mwana mwengine nikamwambia mwanangu, hivi unaniachaje mimi nateketea? Akaanza kuleta sababu kama za huyu mleta Uzi.

Nikamwambia umenikosea pakubwa sana! Ukimwangalia ni mshikaji ambaye akikwama hata kwenye mambo yake ya kifamilia huwa mimi ndiyo kimbilio lake. Nikamwambia wazi kuwa umezingua sana!

Washikaji wa aina hii ni wanafiki! Yule demu nilipiga chini siku hiyo hiyo! Halafu nilikuwa namuandaa awe mke.
Demu anashida gan?
 
Mapenzi hayashauriki
Mimi siwezi kumuacha mwanangu namuona anapotea. Nitamsanua tu! Akini mind poa! Asipo ni mind poa tu vilevile.

Kikubwa nimeshamfikishia habari.

Kuna mwanangu mmoja nilimuelewa mwanamke mmoja anafanya naye kazi ofisi moja. Nikamuuliza vipi hapo? Kuna usalama? Nikamwambia wazi nimemuelewa. Jawabu lake mwanangu mimi sijui tunaonana tu ofisini ila ni dada anayejiheshimu. Nikajua mwanangu hawezi kuniangusha nikatia vocal.

Lakini nikajiongeza zaidi kuna mwanangu mwengine nilisoma naye anafanya kazi kwenye hiyo Taasisi nikamuelezea bhana fulani shemeji yako huko!

Kumbe kesho yake mshikaji akaenda ofisi ya mwanangu huyo ambaye huyo demu ni Co worker wake. Akamuuliza fulani si mshikaji wako? Jamaa anajibu ndiyo? Akamuuliza huyu demu si unamjua jinsi alivyo? Akajibu ndiyo? Akamuuliza kipi kinachokufanya usimwambie mshikaji ukweli? Akabaki anajiuma uma?

Yule mwanangu niliyesoma naye akanipigia simu. Akaniambia mwanangu ukiamua kunichukia nichukie, ila yule demu siyo piga chini haraka. Akaniambia nimemfuata yule Co worker wake ambaye unayefahamiana naye na nimemuuliza kabisa fulani si mshikaji wako? Kipi kimekufanya usimwambie?

Nikamwambia babu, kabla sijaingia mazima nilipitia kwa huyo huyo mshikaji yeye akaniambia hajui chochote mara huyo demu ametulia na hapa za pale! Nikampa big up nikamwambia mwanangu nimekuongezea vyeo! Sijakuchukia wala nini!

Nikamgeukia yule mwana mwengine nikamwambia mwanangu, hivi unaniachaje mimi nateketea? Akaanza kuleta sababu kama za huyu mleta Uzi.

Nikamwambia umenikosea pakubwa sana! Ukimwangalia ni mshikaji ambaye akikwama hata kwenye mambo yake ya kifamilia huwa mimi ndiyo kimbilio lake. Nikamwambia wazi kuwa umezingua sana!

Washikaji wa aina hii ni wanafiki! Yule demu nilipiga chini siku hiyo hiyo! Halafu nilikuwa namuandaa awe mke.
 
Mnamlaumu bure tu mtoa mada mkizama kwenye penzi mnakuwaga matahira kweli ya nini kujichosha
 
kwaiyo ukamwacha mshkaji wako aendelee kupigwa tu so ndio eeh???
ndiyo maana wazungu wana majina mengi ya mahusiano, sijui associate, acquitance, friend. Zama hizi treat peopla kama app ya facebook yaani "people you may know" 😆
 
Back
Top Bottom