Kweli Mungu anatenda, nimepata elfu kumi niliyoisahau kwenye begi siku nyingi

Kweli Mungu anatenda, nimepata elfu kumi niliyoisahau kwenye begi siku nyingi

Huo ni muujiza mkubwa, kama hujawahi kutokewa na Hali ngumu huwezi fahamu.
Binafsi naelewa, jambo la msingi usisahau kutoa fungu la kumi maana hiyo pesa imetoka mbinguni direct.
Sio kwenye begi tena?
 
Imetoka mbinguni direct ikaenda kwenye begi kama vile mikate na samaki ilivyotoka from no where ikajaa kwenye vikapu
Hosea 12:13

"Na kwa nabii BWANA alimtoa Israeli katika Misri,
Na kwa mkono wa nabii alihifadhiwa. "

Mungu hutumia watu kuokoa na kuhifadhi watu wake
 
Huo ni muujiza mkubwa, kama hujawahi kutokewa na Hali ngumu huwezi fahamu.
Binafsi naelewa, jambo la msingi usisahau kutoa fungu la kumi maana hiyo pesa imetoka mbinguni direct.
Kuna ujinga mwingi sana, hata Mungu anawasikitikia kwa kukosa maarifa
 
Mnaosema afanye kazi
Hivi hamjui kupata hiyo kazi nayo ni kazi?
Kama mtu hajawahi kupitia kwenye hali ambayo anasimuliwa ni vigumu kuelewa au kukubali.

Mleta mada namuelewa sana, niliwahi pitia hali kama yake.

Siku moja nilikuwa kwenye ofisi moja ya Posta nilikuwa natuma barua, mkononi nilikuwa na hela ya kutuma hela halafu ndio sikuwa na hela ya kula/kutumia na sikuwa najua nitapaje hela kwa siku hiyo.

Wakati nafanya process pale kaunta kuweka makabrasha vizuri, kubandika stamp then ikanilazimu kurudi kukaa kwenye benchi ili nimalizie na kukabidhi. Kurudi tu nyuma kwenye benchi wakati naketi ghafla nikaona elfu kumi imedondoka chini sehemu ya wateja kuandaa hizo nyaraka, moyo ukashtuka nikaokota nikatulia nikaendelea na process.

Uzuri hapakuwa na mteja mwingine zaidi yangu ambaye ningehisi ndio kadondosha, nilipomaliza nikaondoka huku moyoni nikiwa tayari nishaipigia bajeti ya matumizi kwa siku ile.
 
Kama mtu hajawahi kupitia kwenye hali ambayo anasimuliwa ni vigumu kuelewa au kukubali.

Mleta mada namuelewa sana, niliwahi pitia hali kama yake.

Siku moja nilikuwa kwenye ofisi moja ya Posta nilikuwa natuma barua, mkononi nilikuwa na hela ya kutuma hela halafu ndio sikuwa na hela ya kula/kutumia na sikuwa najua nitapaje hela kwa siku hiyo.

Wakati nafanya process pale kaunta kuweka makabrasha vizuri, kubandika stamp then ikanilazimu kurudi kukaa kwenye benchi ili nimalizie na kukabidhi. Kurudi tu nyuma kwenye benchi wakati naketi ghafla nikaona elfu kumi imedondoka chini sehemu ya wateja kuandaa hizo nyaraka, moyo ukashtuka nikaokota nikatulia nikaendelea na process.

Uzuri hapakuwa na mteja mwingine zaidi yangu ambaye ningehisi ndio kadondosha, nilipomaliza nikaondoka huku moyoni nikiwa tayari nishaipigia bajeti ya matumizi kwa siku ile.
Haukuuliza hata kama kuna mtu medondosha, kwahiyo ukasema, Mungu amenidondoshea
 
Usisishangae hao wanaobisha juu ya hili wanaamini kuwa maji yalitoka kwenye mwamba kwa kupigwa na fimbo,wanaamini kuwa Yesu alifufuka siku ya tatu na sio hivo wanaamini kuwa Mungu habadiriki ni yule yule juzi jana leo na hata milele wanaamini muujiza wa Elia na chupa ya mafuta,wanaamini pepo kumtoka mtu. Kazi kweli kweli
 
Mimi pia nashukuru nimeipata kofia yangu niliyoisahau kwa fundi viatu siku saba zilizopita.
Nilikuwa nimelazimika kutumia kofia yangu no. 2 ambayo imeandikwa FILA.

Asubuhi nilikuwa natafakari," hata kama nina matatizo gani siwezi kutumia kofia hii."
Kwa bahati nzuri leo nimekwenda mjini nimemuona fundi viatu ananiita.
 
Back
Top Bottom