Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaeleza story ya muda mrefuSasa hiyo elfu 10 si iliisha siku hiyo hiyo maana hapo hujanunua unga,ujanywa ngedule,hujaweka bando la JF,hujanunua mboga nk
Kubust ngedure muhimuSasa hiyo elfu 10 si iliisha siku hiyo hiyo maana hapo hujanunua unga,ujanywa ngedule,hujaweka bando la JF,hujanunua mboga nk
Wewe bado mtoto mchanga sana kwenye ishu za kiimani, ndo maana huwezi muelewa mtoa mada.Kuna ujinga mwingi sana, hata Mungu anawasikitikia kwa kukosa maarifa
Kiboko ya binadamu ni kifo tu kurudia mavumbi ndo utaamini kuhusu MunguKama ni wa kike aolewe tu hakuna namna
Mkuu siyo kila mtu anahitaji minoti inayojaa kwenye begi, wengine wanahitaji za kuweza kukidhi mahitaji yao ya kila siku, wewe kama unaminoti iliyojaa mabegi jifunze kubariki wengine hapo mtaani kwako, najua ni wengi tu wanaokutana na adha kama aliyoongea mtoa mada, lakini kuna watu wengi tu wanamapesa hata hawajui wayafanyie nini, mbaya zaidi hawajali kabisa kuwa kuna kundi kubwa kati yao linahali ngumu sana.Nimesoma huku mapigo ya moyo yanaenda kasi,, nikajua umekuta minoti imejaa kwenye begi lote aiseee 😁
Ni kuamini Kwamba duniani umefikaimani ni nini?
Pole sanaNi kuamini Kwamba duniani umefika
Kama mtu hajawahi kupitia kwenye hali ambayo anasimuliwa ni vigumu kuelewa au kukubali.
Mleta mada namuelewa sana, niliwahi pitia hali kama yake.
Siku moja nilikuwa kwenye ofisi moja ya Posta nilikuwa natuma barua, mkononi nilikuwa na hela ya kutuma hela halafu ndio sikuwa na hela ya kula/kutumia na sikuwa najua nitapaje hela kwa siku hiyo.
Wakati nafanya process pale kaunta kuweka makabrasha vizuri, kubandika stamp then ikanilazimu kurudi kukaa kwenye benchi ili nimalizie na kukabidhi. Kurudi tu nyuma kwenye benchi wakati naketi ghafla nikaona elfu kumi imedondoka chini sehemu ya wateja kuandaa hizo nyaraka, moyo ukashtuka nikaokota nikatulia nikaendelea na process.
Uzuri hapakuwa na mteja mwingine zaidi yangu ambaye ningehisi ndio kadondosha, nilipomaliza nikaondoka huku moyoni nikiwa tayari nishaipigia bajeti ya matumizi kwa siku ile.
Mungu mwema toa zaka!Nilikuwa katika shida kubwa ya kiuchumi kazi hakuna sikuwa na chochote siku moja nimeamka sijui hata familia itakula Nini ndanii nilikuwa na mkaa tu wa buku, basi Ili kupoteza mawazo nikaona nikusanye nguo chafu pamoja na begi la mgongoni nikafue basi nikatoa vilivyokuwemo kwenye lile begi na sio mara ya kwanza kulifua huwa ninalipekuwa na kulikagua mara nyingi tu lkn sijawahi kuona kitu ambacho sikutarajia.
Basi nilivomaliza nikiwa nimeshika lile begi nikamuomba Mungu kama utani vile nikamwambia Mungu hebu tenda muujiza nikikagua hili begi nikute pesa basi nikapekua we maajabu nakuta Noti ya elfu 10 pamoja na silver za mia nne nilishangaa sana.
Wewe mshangazi ujue unachekesha sana kupitia comments zako za kibabe! Unajijua lakini???Hongera kwa kuona muujiza live.....
Mie ni kijana.....haiwezekani jokate age mate wangu aitwe kijana tena uvccm, mie niwe mshangazi. Hii sio sawa na haikubaliki kikatiba😹Wewe mshangazi ujue unachekesha sana kupitia comments zako za kibabe! Unajijua lakini???
Katika hali niliyokuwa nayo hata ingekuwa wewe ungeshukuru na kuchukua bila kuuliza.Haukuuliza hata kama kuna mtu medondosha, kwahiyo ukasema, Mungu amenidondoshea
Basi wewe umekuwa wa tofauti, kwa asilimia kubwa ambao hawajawahi kupitia kwenye misukosuko huwa wanachukulia poa au kutokuelewa kama kuna hali za namna hiyo.Sijawahi kupitia ugumu wa maisha kipesa kama unaozungumzia lakini huwa naamini wapo wasio na kitu kabisa na namna ya kupata kuwa ngumu
Hongera na pole kwa kupitia wakati wa namna hiyo
Mie ni kijana
.haiwezekani jokate age mate wangu aitwe kijana tena uvccm,
Mbona uzee mzuri jamani! Vijana wengi wanakimbilia mashangazi! Ila najua uko late 30s au early 40s wewe ni mshangazi wa nguvu!mie niwe mshangazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiyo mia nne ilibaki malaika walinunua lambalamba zile za miamia 6 wakala maana ilitakiwa ukutane na 11,000 ndo pesa walioagizwa wakuletee
Baharia wa kike huyo.Wewe mshangazi ujue unachekesha sana kupitia comments zako za kibabe! Unajijua lakini???