Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,319
This exposes your ridiculous belief. Kwamba at one point ni sawa kwa dada na kaka kuzaa. At another point in time si sawa.
This shows that sins are relative and not absolute, according to your answer.
If sins are relatives, then what is a sin?
Nina hofu kama unaelewa jinsi gani jibu lako linapingana na notion nzima ya uwepo wa dhambi.
You big headed man , ni sheria pekee inaweza tambua uwepo wa dhambi au kosa. Ndiyo sababu mnaambiwa ni Mungu pekee anayehusika na morals na Moral laws na si vinginevyo.
Hakuna swala la relative au lah kuuwa tembo ni kosa pale ambapo kuna sheria inayotambua hivyo. Unafikiri kwa kutumia nini ?
Habari ya dhambi na uwepo wake huna unachoweza kufundisha umekaririshwa vibaya. Huwezi kutambua dhambi pasipo sheria hata hilo huwezi jifunza ? Ubongo umeganda kabisa ?