Kweli Mungu ni muweza wa yote?

Kweli Mungu ni muweza wa yote?

This exposes your ridiculous belief. Kwamba at one point ni sawa kwa dada na kaka kuzaa. At another point in time si sawa.

This shows that sins are relative and not absolute, according to your answer.

If sins are relatives, then what is a sin?

Nina hofu kama unaelewa jinsi gani jibu lako linapingana na notion nzima ya uwepo wa dhambi.

You big headed man , ni sheria pekee inaweza tambua uwepo wa dhambi au kosa. Ndiyo sababu mnaambiwa ni Mungu pekee anayehusika na morals na Moral laws na si vinginevyo.
Hakuna swala la relative au lah kuuwa tembo ni kosa pale ambapo kuna sheria inayotambua hivyo. Unafikiri kwa kutumia nini ?

Habari ya dhambi na uwepo wake huna unachoweza kufundisha umekaririshwa vibaya. Huwezi kutambua dhambi pasipo sheria hata hilo huwezi jifunza ? Ubongo umeganda kabisa ?
 
You big headed man , ni sheria pekee inaweza tambua uwepo wa dhambi au kosa. Ndiyo sababu mnaambiwa ni Mungu pekee anayehusika na morals na Moral laws na si vinginevyo.
Hakuna swala la relative au lah kuuwa tembo ni kosa pale ambapo kuna sheria inayotambua hivyo. Unafikiri kwa kutumia nini ?

Habari ya dhambi na uwepo wake huna unachoweza kufundisha umekaririshwa vibaya. Huwezi kutambua dhambi pasipo sheria hata hilo huwezi jifunza ? Ubongo umeganda kabisa ?

Huelewi concept ya dhambi kuwa absolute au relative na implication yake katika imani.

Badala ya kuonyesha ujinga wako in a public forum, nenda kasome ujifunze.

Usipoelewa mtafute mchungaji aliyesoma philosophy akusaidie.

You need help kwanza kuelewa vitu usivyojua na pili kutoka katika hilo box la utumwa wa imani.
 
Ndugu unajidhalilisha, habari ya kuzaliwa na kufa hadi kufufuka kwa Yesu Kristo iko documented
Nimeandika Atheism inatabia ya kua assassinate brain za waumini wake kiasi cha kushindwa kutafakari wanabaki na Yale waliyokaririshwa.
Mimi sijakwambia MTU kafufuka nimekwambia Kufufuka kwa Yesu Kristo ndiko kunakonifanya niwe Mkristo haijalishi atheist Ana mtazamo gani, nafahamu mlivyo brainless linapokuja swala linalohitaji REASONING hivyo sina tatizo nanyi ado ado tunaweza fufua brain nanyi muwe binadamu wa kureason.

Mmatumbi Mimi nimekomaa na kufufuka sawa na mmatumbi wewe ulivyokomaa na bb na evolution Kama ndiyo mwongozo wa chanzo cha maisha duniani. Ambvyo ndivyo vinathibitisha ulivyo mindless...toka kwenye box.
Sio kwamba wewe unatakiwa kuuliza tu na kupewa majibu hata wewe umeumbwa binadam unawsjibu wa kujiuliza na kutoa majibu.
Kwa nini binadam wanaishi then wanakufa.
Jifunze kujiuliza swali hilo na kulitolea majibu hapa na sio kukariri maneno ati "what is the point ya kuzaliwa..."
Sitegemei jibu zaidi ya swali lile lile au jipya ili kukwepa kujibu.
Mindless atheist....

Kukusaidia tu, biblia imeandikwa miaka na miaka baada ya kifo cha huyo yesu. Hivyo kuna chances kimekuwa manipulated.

Pili, kasome nani wameandika na jiulize kwa nini yesu mwenyewe hakuandika chochote.

Tatu, kasome ni nani aliwatafuata hao walioandika na kufanya compilation na kuja na biblia.

Nne, jiulize madhumuni ya huyo aliyefanya hiyo compilation at that time ni nani?

Tano, nenda katafute vitabu vilivyoandikwa na wanahistoria wa kipindi hicho juu ya yesu. (Josephus is a forgery).

Sita, nenda kasome juu ya historia ya hata sura tu ya yesu, son of god, ambayo nayo ni utata mtupu.

Mwisho, come to a rational conclusion juu ya uwepo wa "yesu" na si kukariri hovyo kama vile hauna ubongo.
 
Huelewi concept ya dhambi kuwa absolute au relative na implication yake katika imani.

Badala ya kuonyesha ujinga wako in a public forum, nenda kasome ujifunze.

Usipoelewa mtafute mchungaji aliyesoma philosophy akusaidie.

You need help kwanza kuelewa vitu usivyojua na pili kutoka katika hilo box la utumwa wa imani.

Wewe ndiye usiye elewa na hujui mpango wa Mungu tangu alipomuumba mwanadamu. Hivyo habari ya dhambi ni Giza totoro kwako.
Kama hujui kwamba dhambi ni pale MTU anapoenda kinyume na sheria ya Mungu basi omba ufundishwe bureee.
Huna cha kunifundisha kuhusu habari za Mungu wakati naelewa fika habari za Mungu hasa kwa wakristo zinahitaji reasoning na sio kukariri.
Wewe ndiye mtafute mchungaji anayesoma philosophy akuambie kwamba kuua tembo ni kosa pasipo sheria inayokataza...
Ninyi ni mindless msiofundishika. Wasomaji wanaona wenyewe na kutafakari na kugundua ukweli ulipo kwenye mjadala.
Wewe endelea kukariri square root ya -1 na vinavyoambatana navyo habari ya Mungu na mafundisho yake omba msaada usaidiwe.
Kaa kwenye box hilo mnalokaririshwa mambo ukichomoza kichwa unalazimishwa ufikiri.
 
Kukusaidia tu, biblia imeandikwa miaka na miaka baada ya kifo cha huyo yesu. Hivyo kuna chances kimekuwa manipulated.

Pili, kasome nani wameandika na jiulize kwa nini yesu mwenyewe hakuandika chochote.

Tatu, kasome ni nani aliwatafuata hao walioandika na kufanya compilation na kuja na biblia.

Nne, jiulize madhumuni ya huyo aliyefanya hiyo compilation at that time ni nani?

Tano, nenda katafute vitabu vilivyoandikwa na wanahistoria wa kipindi hicho juu ya yesu. (Josephus is a forgery).

Sita, nenda kasome juu ya historia ya hata sura tu ya yesu, son of god, ambayo nayo ni utata mtupu.

Mwisho, come to a rational conclusion juu ya uwepo wa "yesu" na si kukariri hovyo kama vile hauna ubongo.

Uno unavyojianika utupu kichwani mwako.
Biblia ni mkusanyiko wa maandiko. Sio kitabu kimoja Bali ni vitambu vingi vilivyoandikwa na watu tofauti tofauti...
Vipo vilivyoandikwa kabla ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo na vilivyoandikwa baada ya kuzaliwa na kuhusu maisha na matendo yake.
Polee Sana Mkuu. Wewe hayo yanakusaidia kufisha na kukufsnya uwe zoba hujijui tu.

Jiangalie ulivyojianika.
...viliandikwa baada ya huyo Yesu kufa.
....soma historia Kuhusu uwepo wa Yesu.
Unabwabwaja tu Kama umekuwa switched on...
 
Uno unavyojianika utupu kichwani mwako.
Biblia ni mkusanyiko wa maandiko. Sio kitabu kimoja Bali ni vitambu vingi vilivyoandikwa na watu tofauti tofauti...
Vipo vilivyoandikwa kabla ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo na vilivyoandikwa baada ya kuzaliwa na kuhusu maisha na matendo yake.
Polee Sana Mkuu. Wewe hayo yanakusaidia kufisha na kukufsnya uwe zoba hujijui tu.

Jiangalie ulivyojianika.
...viliandikwa baada ya huyo Yesu kufa.
....soma historia Kuhusu uwepo wa Yesu.
Unabwabwaja tu Kama umekuwa switched on...

Nimekupa a simple homework ya kukusaidia tu.

Nenda kahoji juu niliyokuandikia hapo juu.

Ukipata majibu si tu utaacha ukristo, bali utajiona mjinga kufungwa kamba miaka yote hiyo.

Na kama ni mstaarabu utakuja hapa kunishukuru kukutoa utumwani.
 
Nimekupa a simple homework ya kukusaidia tu.

Nenda kahoji juu niliyokuandikia hapo juu.

Ukipata majibu si tu utaacha ukristo, bali utajiona mjinga kufungwa kamba miaka yote hiyo.

Na kama ni mstaarabu utakuja hapa kunishukuru kukutoa utumwani.

Hujui hata biblia ni kitu gani then wajitia ualimu wa biblia.
Kwani unafikiri uliyosoma wewe Mimi sijayasoma ? Unajidhalilisha. Umerukaruka wewe ulipotua ukahamia kwenye uhalali wa kumwamini Yesu Kristo. Too sad.
Kuacha Ukristo usubiri nami ubongo ugande Kama wako.
Ukristo ndiyo world view pekee yanye mashiko kwa watu tunaojua kureason.nikiacha Ina maana nisimwamini Mungu na madhara ya kutomwamini Mungu ni kuamini chochote.unakuwa Kama zombies tu. Hamjielewi
 
Hujui hata biblia ni kitu gani then wajitia ualimu wa biblia.
Kwani unafikiri uliyosoma wewe Mimi sijayasoma ? Unajidhalilisha. Umerukaruka wewe ulipotua ukahamia kwenye uhalali wa kumwamini Yesu Kristo. Too sad.
Kuacha Ukristo usubiri nami ubongo ugande Kama wako.
Ukristo ndiyo world view pekee yanye mashiko kwa watu tunaojua kureason.nikiacha Ina maana nisimwamini Mungu na madhara ya kutomwamini Mungu ni kuamini chochote.unakuwa Kama zombies tu. Hamjielewi

Kuna binadamu billion 7. Wakristo hawazidi billion 2. Huwezi kusema wakristo ndiyo wanajua kureason. Ni ujinga kusema hivyo.

Nimekuambia ukasome na kujifunza kwa faida yako na labda hata watoto wako.

Ni juhudi zako binafsi kukubali au kukataa maarifa.

Siwezi kukusaidia kama unabisha.
 
Kuna binadamu billion 7. Wakristo hawazidi billion 2. Huwezi kusema wakristo ndiyo wanajua kureason. Ni ujinga kusema hivyo.

Nimekuambia ukasome na kujifunza kwa faida yako na labda hata watoto wako.

Ni juhudi zako binafsi kukubali au kukataa maarifa.

Siwezi kukusaidia kama unabisha.

Wewe unayeamini ulimwengu kuzuuka tu unajinasibu kuwa hata na chembe ya maarifa ? Labda Kama upu.mbavu umepata maana mpya.
Mimi sitegemei maarifa yangu pekee katika kuitafuta kweli.
Ninasoma nimejifunza ndiyo sababu nakupa vitu ambavyo hujawahi kuvikariri kabisa.
Wengi ni Kama wewe wameamua kuto kureason ethier kwa kuandaliwa na mazingira kwa muda mrefu au kwa imani walitonayo ambayo inawapa nafuu ya kukwepa sheria ya Mungu Kama wewe.
Hongera kwa imani yako
 
Nimekupa a simple homework ya kukusaidia tu.

Nenda kahoji juu niliyokuandikia hapo juu.

Ukipata majibu si tu utaacha ukristo, bali utajiona mjinga kufungwa kamba miaka yote hiyo.

Na kama ni mstaarabu utakuja hapa kunishukuru kukutoa utumwani.

Labda Kama ubongo umeganda kiasi cha kuahindwa kung'amua unapoambuwa kuwa Ukristo ndiyo world view yenye mashiko.
Hao billion 7 wapo wahindu na world view yao. Wapo atheist na world view yao. Wapo waislam na world view yao etc etc.
Kama akili yako haitaki kuelewa hilo sio tatizo langu.
 
Labda Kama ubongo umeganda kiasi cha kuahindwa kung'amua unapoambuwa kuwa Ukristo ndiyo world view yenye mashiko.
Hao billion 7 wapo wahindu na world view yao. Wapo atheist na world view yao. Wapo waislam na world view yao etc etc.
Kama akili yako haitaki kuelewa hilo sio tatizo langu.

How do you know ni world view yenye mashiko?

Have you studied the rest of the other world views to come to a conclusion that Christianity is the righteous one?

Are there chances that your faith is flawed and may be the rest of 5bn people are not wrong?

You are not any different to an atheist from a non-Christian faith.

I wish I could dumb it down maana huna akili ya kuelewa nachoandika.
 
Kuna kitu ambacho kinatokea nafsi mwangu kinachohusiana na kuamini Mungu. Hivyo nawe ukitaka uthibitusho ni kuamini naamni Mungu atajidhirisha kwako pia Kama ambavyo amewahi kujidhihirisha kwa waumini wenzako wengi.

Nashukuru kwamba umekubali kwamba uwezo wangu wa kuthibitisha au kutothibitisha hauwezi kuondoa uwepo wa kitu au kufanya kiwepo kitu kisichokuwepo.
Nimekueleza wazi kwamba Mungu hujidhirisha kwangu Mara nyingi katika nyendo za maisha yangu lakini pia kupitia maandiko ya Biblia nimepata kufahamu kuwa yeye ndiye muumba wa ulimwengu na vyote viluvyomo.
Na uthibitisho zaidi ni pale ambapo maandiko ndani ya biblia yamezungumzia kuhusu mwanzo wa ulimwengu na nyakati na vyote vilivyomo ulimwenguni ikiwa ni pamoja na dunia na vilivyomo.
Lakini Sayansi imethibitisha ukweli kwamba ukimwengu Una Mwanzo na Wakati pia Una Mwanzo.
Hivyo kwangu sayansi imetujuza kitu ambacho waamini Mungu tulikuwa tumejuzwa na Mungu mwenyewe.
Wakati sayansi bado inahangaika kujua chanzo cha uhai na haijui kabisi nini maana na madhumuni ya maisha/uhai lakini Mungu amekwisha toa majibu ya maswali hayo.
Sasa ni zamu yako uniambie ni kwa vipi kushindwa kwangu kukuthibitishia kuwepo kwa Mungu na kukiri kwako ya kwamba sina uwezo wa kuthibitisha chochote kumekufanya wewe uhitimishe kuwa hicho nilichoshindwa kuthibitisha hakipo !
Mimi siwezi kuhangaika kabisa na ambavyo havipo na sijajua kwa yakini Kama akili yangu itaanzia wapi kuhangaika na visivyokuwepo. Sipati mantiki ya namna MTU anavyoweza au asivyyoweza kuthibitisha acha kuhangaika na kisichokuwepo ! Labda Kama yeye maamuzi yake hayana mwongozo wa kanuni za hekima na maamuiz yake ni matokeo ya vinasaba kusakata rhumba mwili mwake...

Nakuuliza kuhusu uthibitisho, unajibu kuhusu imani.

Huelewi uthibitisho wala imani.
 
Nakuuliza kuhusu uthibitisho, unajibu kuhusu imani.

Huelewi uthibitisho wala imani.

Usichokielewa unaita imani.umegeuza neno imani ndilo chaka la kuficha udhaifu wako wa kureason. Unaambiwa personal encounter wewe unasema ni imani ! Wataka nikupe Yale ambayo ndiyo mambo ambayo nimetendewa na Mungu wangu ? Utaelewa wewe kichwani mwako dunia ni material only ?
Usinidingizie kunako matatizo yako ya kufikiri
 
How do you know ni world view yenye mashiko?

Have you studied the rest of the other world views to come to a conclusion that Christianity is the righteous one?

Are there chances that your faith is flawed and may be the rest of 5bn people are not wrong?

You are not any different to an atheist from a non-Christian faith.

I wish I could dumb it down maana huna akili ya kuelewa nachoandika.

Kujua ni world view yenye mashiko huhitaji kuwa professor, ukijua sababu za wewe kuwapo na nini mustakabari wa maisha yako haya na yajayo Kama binadam. Majibu yanapatikana kwa mafundisho ya Kikristo.

Ndiyo

Hakuna chances kwa kuwa ninayoyaamini na kuyasimamia sioni aibu kuyasema.

Huwezi kwamba unaweza tambua mabaya yoyote kwa kuota tu. Yaweke hapa upate unachokikosa kwenye dini yako ya hakuna mungu
Ni mtazamo wako japo ni mbovu sina cha kufanya kwa kuwa ndicho kitu ambacho Mungu alikiweka kiweze kututofautisha wanadamu.
Ni kweli sina akili ya kuelewa kile unachoandika kwa kuwa wewe hutumii akili. Ukiombwa ufafanuzi ili utumie japo akili kidogo hutaki.
 
Nawapa saluti kwa kubishania jambo lile lile bila ufumbuzi wowote!
 
Usichokielewa unaita imani.umegeuza neno imani ndilo chaka la kuficha udhaifu wako wa kureason. Unaambiwa personal encounter wewe unasema ni imani ! Wataka nikupe Yale ambayo ndiyo mambo ambayo nimetendewa na Mungu wangu ? Utaelewa wewe kichwani mwako dunia ni material only ?
Usinidingizie kunako matatizo yako ya kufikiri

Unakataa kitu ulichoandika mwenyewe, ambacho kina ushahidi wa maandishi hapa JF!

You are simply irredeemable.
 
Unajuaje kama I am a vegeterian and an animal rights activist? Hivyo nishawahi kufikiri kuokoa lakini sina uwezo wa kuzuia watu kuwaua.

Mpaka sasa hujajibu swali nililouliza.

Bado haujajibu swali,ulichokifanya ni kuuliza swali "unajuaje kama" hilo si jibu na ni utoto.
 
Back
Top Bottom