Bongo movie or movies ingeneral save XXX movie ndio hupangwa matukio yote katika movie husika. It has no reliable effects kwa wahusika/actors there to in a sense that huwezi kusemea vile walivyoact ndivyo walivyo. Hata kama aliua apart from that movie huwezi kumshtaki kwa murder.
Hii itakwenda sawa ikiwa na Mungu amepanga kila kitu. kwa lugha nyepesi mtu akipangiwa na Mungu anakuwa anaact under God's will by then Mungu hawezi kuja kuhukumu au kuuliza kwa kitu ambacho amekipanga mwenyewe.
Mungu hupanga lakini ubatili/ukaidi wa mwanadamu na mbinu ovu za shetani huingilia kati...
How come mpango wa Mungu unakuwa interfered na mind ya mwanadamu and/or shetani???
How could you limits god's power?
Mkuu sina uhakika wewe ni mfuasi wa imani ipi lakini nina imani kuwa unafahamu vyema taratibu za hukumu ya haki...
Im Muslim, though rationalist, never believe in blind! I know kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake. TONAPOPISHANA NI PADOGO TU, Kwamba Mimi naamini Mungu hajapanga
KILA kitu, na hivyo alivyovipanga neither mwanadamu nor shetani anaweza pangua. Ila najua anajua kila kitu, ie jana, leo na kesho. Hope unawaeza kutofautisha kati ya KUPANGA na KUJUA.
Hiyo theory kwamba Mungu kapanga kila kitu iko hata katika bongo za waislamu tena wengi tu!!!!
Kwa matendo mtu uhukumiwa, aliye muasi hupewa adhabu sawasawa na uasi wake na mtu mwema hupewa thawabu...
Mwanadamu kapewa fursa ya kuchagua njia moja kati ya mbili, uovu au wema...
Si umeona hapo?
Kivipi mtu achague wakati alishapangiwa? eg: Mungu ameshanipangia ubishi na kutomkubali, then ntawezaje kutokua mbishi na kumkubali? Mimi nnauwezo gani wa kiasi cha kupangua mpango wake? Kama anapanga kila kitu kwanini asipange watu wote tumkubali na kutmukuza?
Huwezi na wala haiwezekani...
Katika kitabu cha Biblia kuna hii aya;
Mithali 16:4 Bwana amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Naam, hata wabaya kwa siku ya ubaya.
Kufanya kitu kwa kusudi lake hiyo iko sahihi. hapo "hata wabaya kwa siku ya ubaya" sijaelewa. Can you tell me amepangia baadhi ya watu ubaya ili akawaadhibu? Or anamakusudi gani kupangia wengine ubaya then akaleta vitabu ili watu waokoke? Dont you God atakuwa anajikontradict hapo?
Au ndio ...UPU.MBAVU WA MUNGU UNAHEKIMA ZAIDI YA WANADAMU...? Wakorinto 1. 1:25.
Cc:
Mkuu wa chuo kwa ufafanuzi zaidi.
Hivyo utaadhibiwa kwa kuwa pamoja na ubaya ulioumbwa nao bado umepewa nafasi ya kukacha ubaya huo na kufanya wema...
Ivi unadhani ni sawa kupangiwa ubaya na kuumbwa na ubaya? Then, kwanini Mungu ametuumba na ubaya?
Mkuu kumkubali Mungu hakutokani na vitabu vyake bali kunaanza na utayari wa moyo...
Moyo usio tayari hauwezi kumkubali na kufuata mafundisho ya Mungu...
Huo utayari unatokana na mipango ya Mungu au free will ya mwanadamu inayoambatana na reason/s?
Sasa mkuu, ataitwaje Mungu kama vitu vingine ataviacha tuvipange sisi?
Huoni kutakuwa na chaos hapo?
Lazima nifanyekitu kwa matakwa yangu ndio unihukumu, huwezi kunipangia kunyume mwenyewe then uniadhibu.
Ataitwa Mungu kama mfalme wa mbingu, alieumba dunia kwa mfano wake na kuratibu mifumo mizima ya upumuaji, huku akitupa akili huru za kupambanua mambo then akaleta vitabu tujue ukweli na kuchagua wapi tufate ili mtu asijeakasema mimi sikupata ujumbe.
Kwa mantiki hiyo Mungu hapangi kila kitu na bado ataendelea kuwa Mungu.
Sio walemavu wote huzaliwa hivyo kwa matakwa ya Mungu hata kama ni mpango wake...
Wengine huzaliwa hivyo kwa sababu ya adhabu tu za wazazi au vizazi...
Mungu huwa anapatiliza uovu wa wazazi kwa vizazi...
Ivi kumbe na Mungu ni .... wa VISASI?
Ivi na Mungu anaadhibu mtu kwa kosa la mtu mwengine???
Kwanini awaumbe walemavu watoto kwa makosa ya wazazi wao?
Inapotokea hivyo basi shetani hupewa mamlaka ya kuharibu...
Mungu hajaumba madaraja ya watu kulingana na kiasi cha mali, wingi au uchache wa fedha...
Utajiri au umaskini ni matokeo ya mtu kuishi duniani na husababishwa na namna utumiavyo nguvu uliyopewa na Mungu...
Kumb 8:18 Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye NGUVU ZA KUPATA UTAJIRI; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
Si mapenzi ya Mungu tuwe maskini kwa kuwa yeye mwenyewe ndiye atupaye nguvu ili tupate utajiri! Kama basi Mungu anatupa nguvu za kupata utajiri, ina maana ni wazi kwamba Mungu hapendi tuwe maskini.
Hahah...mkuu nadhani unaafiki kuwa huwezi kuvuka darasa pasipo kufaulu mtihani, shetani yupo kutoa mitihani(majaribu) ili imani zetu zipimwe ni kwa kiasi gani tunampenda huyu Mungu aliyetuumba...
Zaidi tambua kuwa mwanadamu ni mkuu zaidi ya shetani, hivyo usiogope sana na ukamuona shetani ana mamlaka kukuzidi hata umuogope...
Mmh! ok
Watu8 Im on my reseach kuhusiana na hizi hadithi za Dini na Mungu. Zinachanganya sana hizi, then kila kundi linajiona liko sahihi na makundi ya dini ni zaidi ya mia tano Duniani.
Nashindwa kukubali hao wote ni wakweli licha ya kwamba hoja zao zinaconvise sana.
PAMOJA.