Kweli Mungu ni muweza wa yote?

Kweli Mungu ni muweza wa yote?

Kwa nini uovu uwe paired na wema?

Kwa nini huyo unayemsema kuwa mungu hakuumba ulimwengu ambao wema tu unawezekana, uovu hauwezekani kama mnavyosema alivyoumba ulimwengu ambao wanadamu tunaweza kwenda mbele tu katika muda, hatuwezi kurudi nyuma?

Tunarudi kule kule.

If complexity must be created, then god must have created man.

But because god created man, god must be even more complex than man.

Therefore god himself needs a creator. Because complexity must be created.

And his creator needs a creator, ad infinitum, ad absurdum.

Kwa hiyo kusema kanuni inahitaji muweka kanuni kutafanya hata mungu naye ahitaji muumbaji. Kwa nini uishie kwa mungu? That is a fiat, an assumption. A wrong a priori argument that takes an immense leap of faith into the unknown, without an inkling of reasonable or logical justification.

Kama kanuni inahitaji muweka kanuni, muweka kanuni katoka wapi?

Poa, hata nikilubali kwamba mungu ndiye kipomo cha uovu na uzuri, swali langu la msingi haliondolewi na kukubali huku.

Swali linauliza, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na ipendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Swali hili halitegemei kama mungu ndiye standard ya uzuri na uovu ama la. In fact, swali limeanza kwa kukupa benefit of the doubt na kukubali kwamba mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote. By definition, from those qualities, mungu huyu ndiye standard ya uzuri na ubaya. Kwa hiyo hilo, kwa msingi wa swali, halina mjadala. Sijui mjadala unataka kuuanzishia wapi.

So katika ulimwengu wako ambao mungu ndiye standard ya uzuri na ubaya, mungu huyu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote ea kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani bila ya kupoteza chochote kile?

Hujajibu swali hili, unajalibu kuliepa kwa habari ambazo hata hazina dispute katika msingi wa swali langu.

Hakuna kurudi kule kule, ni mbinu za kitoto kukwepa kujibu hoja.
Umetengeneza hoja za Complexity must be creates and so forth wewe mwenyewe unahitimisha kwamba God must be created!
Tatizo la hoja yako uliyotunga ni assumption kwamba God is a creation, labda uandike kwanini umehitimisha kwamba God ni ceartion ili upate hiyo ad infinitum kwa ajili ya kinga kwa hoja mfu !

Ama kuhusu swali la kwanini Mungu awake ulimwengu wa aina inayokuudhi lina maana umejua kuwa yupo kwa kuamini uwepo wa kitu kiitwacho wema na ubaya. Sasa kwa sababu hiyo swali linakosa nguvu kwa kuwa tayari yupo, labda sasa uniambie unahoji kuhusu upendo, nguvu na uwezo wote ; na hiyo ni hoja mpya na sitegemei itoke kwa atheist...
Huwezi kuona dispute kwa kuwa unapouliza maswali unamajibu unatotegemea ukipewa majibu usiyotegemea unazima kitengo cha mantiki na kuweka habari ambazo unafikiri zitatuhamisha kwenye hoja ili kuanzisha mjadala mwingine.
 
Hakuna kurudi kule kule, ni mbinu za kitoto kukwepa kujibu hoja.
Umetengeneza hoja za Complexity must be creates and so forth wewe mwenyewe unahitimisha kwamba God must be created!
Tatizo la hoja yako uliyotunga ni assumption kwamba God is a creation, labda uandike kwanini umehitimisha kwamba God ni ceartion ili upate hiyo ad infinitum kwa ajili ya kinga kwa hoja mfu !

Ama kuhusu swali la kwanini Mungu awake ulimwengu wa aina inayokuudhi lina maana umejua kuwa yupo kwa kuamini uwepo wa kitu kiitwacho wema na ubaya. Sasa kwa sababu hiyo swali linakosa nguvu kwa kuwa tayari yupo, labda sasa uniambie unahoji kuhusu upendo, nguvu na uwezo wote ; na hiyo ni hoja mpya na sitegemei itoke kwa atheist...
Huwezi kuona dispute kwa kuwa unapouliza maswali unamajibu unatotegemea ukipewa majibu usiyotegemea unazima kitengo cha mantiki na kuweka habari ambazo unafikiri zitatuhamisha kwenye hoja ili kuanzisha mjadala mwingine.

Can complexity arise withouf being created or does it need a creator?

Wapi nimeongelea mungu kuumba ulimwengu wa aina inayoniudhi?

Hujajibu swali la kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Mimi kukubali kuwepi kwa mungu for the sake of argument ilituweze kuchunguza vizuri zaidi kuwepo kwa mungu si kukubali kuwepo kwa mungu period.

Hata kwenye hesabu, ili kupata jibu, unaweza kutakiwa kuanza kwa kusema "let x=y" ili kweza kuendelea kusolve equation.

Kusema "let x =y" wakati unaanza kusolve equation haina maana umekubali au umefanya x =y, unatumia method ku solve equation, baada ya kusolve equatiin unaweza kuverify kama x =y.

Sasa utaendelea ku solve equatiin, baadaye utapata jibu, uta test na kuona kama kweli assumption yako ya x =y ilikuwa kweli au hapana.

Katika situatiin yetu, nimeanza kwa kukukubalia kwamba "let x =y" ili tuwe na point ya kuanza ku solve equation kwa njia yako.

Tumesolve kwa njia yako, lakini majibu hayana balance. Jibublako lina contradiction. Kwa hiyo sonewhere along the way kuna a wrong assumption.

Imekuwaje mpaka mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote akaumba ukimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali. Umelikimbia tu.
 
..wewe ni muongo..

mungu hufanya mambo ya kiungu , ukiwa mwanamume ukijigeuza kuwa mwanamke utaitwa shoga hutoitwa dume , na ukiwa mwanamke ukifanya mambo ya kiume utaitwa NMC , kila kitu kinaitwa vile kinavyofanya kazi . Kisu huwezi kuita Shoka, gari huiti baiskeli wala uuke huwezi kuita uume nk
 
Can complexity arise withouf being created or does it need a creator?

Wapi nimeongelea mungu kuumba ulimwengu wa aina inayoniudhi?

Hujajibu swali la kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Mimi kukubali kuwepi kwa mungu for the sake of argument ilituweze kuchunguza vizuri zaidi kuwepo kwa mungu si kukubali kuwepo kwa mungu period.

Hata kwenye hesabu, ili kupata jibu, unaweza kutakiwa kuanza kwa kusema "let x=y" ili kweza kuendelea kusolve equation.

Kusema "let x =y" wakati unaanza kusolve equation haina maana umekubali au umefanya x =y, unatumia method ku solve equation, baada ya kusolve equatiin unaweza kuverify kama x =y.

Sasa utaendelea ku solve equatiin, baadaye utapata jibu, uta test na kuona kama kweli assumption yako ya x =y ilikuwa kweli au hapana.

Katika situatiin yetu, nimeanza kwa kukukubalia kwamba "let x =y" ili tuwe na point ya kuanza ku solve equation kwa njia yako.

Tumesolve kwa njia yako, lakini majibu hayana balance. Jibublako lina contradiction. Kwa hiyo sonewhere along the way kuna a wrong assumption.

Imekuwaje mpaka mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote akaumba ukimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swali. Umelikimbia tu.

Not necessary complexity, but; anything that come into being must be caused by an agent, whether it is complex or simple .
Katika kuhoji uumbaji pasipo kujijua unasema mungu kaumba ulimwengu usio utaka wewe.
Unarudia rudia hoja kwa kuwa umekariri pasipo kuangalia mantiki, nimekuonyesha ubovu wa hoja yako na ninarejea tena kukuonesha unatakiwa kureact kwenye hoja yangu ili hoja yako ifikie kiwango cha kuwa hoja ya kujibiwa.

Hoja yenyewe ni hii, unaposema kwanini Mungu .... Aliumba ulimwengu ... Wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ...
Umeweka assumption kwamba kuna ulimwengu ... Ambao unaumbwa na Mungu akiwa na Sifa ....
Sasa niambie kanuni ya kimantiki uliyotumia kuhitimisha kwamba , Mungu kuwa na upendo, uwezo na nguvu ndivyo vinavyohitajika kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani...

Hapa hakuna hoja inayohusiana na hiyo assumption yako ya x na y.
Nataka kanuni ya kimantiki unayotumia kuhitimisha kadri ya unavyohitimisha.

Jibu linategemea namna utavojibu hoja yangu ambayo italifanya swali lako liwe na Sifa ya kuwa swali.

Kanuni unayotumia kuhitimisha kwamba ili mungu awepo ni lazima aumbe ulimwengu ambao maovu hayawezekani.
Jibu hizo hoja mbili kwa kuweka kanuni za kimantiki.
No more blah blah
 
Nimekwambia kwamba for the context of my question, naanza kwa kukubali kuwa uovu na uzuri unategemea kuwapo kwa mungu.

Kwa hiyo hili tuliondoe kwenye mjadala, kwani sijalibishia. Na ukitaka tujadili kitu ambacho sijakibishia nitakushangaa.

Sasa basi, nikishakubali kwamba uovu na uzuri vinategemea kuwapo kwa mungu, nakuja na swali.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaamua kuumba ulimwengu ambao uovu unawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekani kama vile alivyoumba (kwa mujibu wenu) ulimwengu ambao binadamu hawezi kurudi nyuma kwenye muda?

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekani kama vile kusivyowezekana kuwapo na pembetatu duara katika Euclidean geometry?

Kuwepo kwa Mungu kunategemea kuwepo kwa ulimwengu usio na maovu ?
Na kwa kuwa ulimwengu usio na maovu hapo basi kuwepo kwa Mungu hakuwezekani sawa na ambapo kuwepo kwa pembe tatu duara hakuwezekani.
Naona umeamua kuandika yaliyopo kichwani mwako pasipo kuhariri ! Pole sana
 
Not necessary complexity, but; anything that come into being must be caused by an agent, whether it is complex or simple .
Katika kuhoji uumbaji pasipo kujijua unasema mungu kaumba ulimwengu usio utaka wewe.
Unarudia rudia hoja kwa kuwa umekariri pasipo kuangalia mantiki, nimekuonyesha ubovu wa hoja yako na ninarejea tena kukuonesha unatakiwa kureact kwenye hoja yangu ili hoja yako ifikie kiwango cha kuwa hoja ya kujibiwa.

Hoja yenyewe ni hii, unaposema kwanini Mungu .... Aliumba ulimwengu ... Wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ...
Umeweka assumption kwamba kuna ulimwengu ... Ambao unaumbwa na Mungu akiwa na Sifa ....
Sasa niambie kanuni ya kimantiki uliyotumia kuhitimisha kwamba , Mungu kuwa na upendo, uwezo na nguvu ndivyo vinavyohitajika kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani...

Hapa hakuna hoja inayohusiana na hiyo assumption yako ya x na y.
Nataka kanuni ya kimantiki unayotumia kuhitimisha kadri ya unavyohitimisha.

Jibu linategemea namna utavojibu hoja yangu ambayo italifanya swali lako liwe na Sifa ya kuwa swali.

Kanuni unayotumia kuhitimisha kwamba ili mungu awepo ni lazima aumbe ulimwengu ambao maovu hayawezekani.
Jibu hizo hoja mbili kwa kuweka kanuni za kimantiki.
No more blah blah

So if anything that comes into being must come by an agent, what agent is responsible for god's being?

Do youu realize that that declaration you made removes god's characteristic of being the first mover?

If all that comes into being comes into being by an agent, god is not the first mover then.
 
Kuwepo kwa Mungu kunategemea kuwepo kwa ulimwengu usio na maovu ?
Na kwa kuwa ulimwengu usio na maovu hapo basi kuwepo kwa Mungu hakuwezekani sawa na ambapo kuwepo kwa pembe tatu duara hakuwezekani.
Naona umeamua kuandika yaliyopo kichwani mwako pasipo kuhariri ! Pole sana

Hujaonesha kwa nini.
 
So if anything that comes into being must come by an agent, what agent is responsible for god's being?

Do youu realize that that declaration you made removes god's characteristic of being the first mover?

If all that comes into being comes into being by an agent, god is not the first mover then.

1. Must come from an agent yes , agent need not necessary come into being also.
2. God is eternal...
3.I am not talking about god of gaps

You have pre assumed that god also come into being to construct such a claim .
God is eternal.
 
Nionyeshe kwanini ya kitu gani ?

1.Mwenye upendo na uwezo hawezi kiacha awapendao wapatwe na maovu kama anaweza kuzuia hilo.

2. Ulimwengu una maovu mengi ti yanaowapata wakazi wake, ambao wanasemwa wameumbwa na mungu anayewapenda, mwenye upendo wote na uwezo wote.

Hapa kuna contradiction


Kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani? In fact, kwa sababu ana upendo wote na uwezo wote, nothing less than a universe in which evil is not possible should be expected if him.

That is only logical.

Hujaonesha kwamba swali langu nimeliuliza bila kufuata logic.

Kama kuna mtu anayekariri na kujiandikia bila kufuata logic hapa ni wewe.

Hujajibu kwa nino mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote kaumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana wakati alikuwa na uwezo na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.
 
1.Mwenye upendo na uwezo hawezi kiacha awapendao wapatwe na maovu kama anaweza kuzuia hilo.

2. Ulimwengu una maovu mengi ti yanaowapata wakazi wake, ambao wanasemwa wameumbwa na mungu anayewapenda, mwenye upendo wote na uwezo wote.

Hapa kuna contradiction


Kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani? In fact, kwa sababu ana upendo wote na uwezo wote, nothing less than a universe in which evil is not possible should be expected if him.

That is only logical.

Hujaonesha kwamba swali langu nimeliuliza bila kufuata logic.

Kama kuna mtu anayekariri na kujiandikia bila kufuata logic hapa ni wewe.

Hujajibu kwa nino mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote kaumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana wakati alikuwa na uwezo na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Naona umekariri kila unapooneshwa sababu maswali yako kutokidhi viwango akili yako haitaki kabisa.
Unajaza server za jf kwa hoja ambazo kimsingi zinajengwa kwenye assumption ambazo haxina ushahidi wa kimantiki.
 
Naona umekariri kila unapooneshwa sababu maswali yako kutokidhi viwango akili yako haitaki kabisa.
Unajaza server za jf kwa hoja ambazo kimsingi zinajengwa kwenye assumption ambazo haxina ushahidi wa kimantiki.

Nilipokariri wapi?

Wewe unayesema kila kilichopo kina agent aliyekifanya kiwepo na hapo hapo kukubali kwamba mungu hana mwanzo sio tu umekariri, bali umekariri vitu vinavyojipinga.

Kama vyote vilivyopo vinahitaji agent ili kuwapo, agent aliyesababisha mungu awepo ni nini? Mungu ana mwanzo au hana mwanzo?

Hujajibu hili swali.
 
Nilipokariri wapi?

Wewe unayesema kila kilichopo kina agent aliyekifanya kiwepo na hapo hapo kukubali kwamba mungu hana mwanzo sio tu umekariri, bali umekariri vitu vinavyojipinga.

Kama vyote vilivyopo vinahitaji agent ili kuwapo, agent aliyesababisha mungu awepo ni nini? Mungu ana mwanzo au hana mwanzo?

Hujajibu hili swali.

Tatizo lako ni kujumlisha hata visivyojumlishika. Nikikwambia vitu vyote vilivyopo lazima vina agent aliyefanikisha au sababisha kuwapo kwake haimaanishi agent wake laxima awe ni kitu !
Lakini, wewe MTU akizungumzia kitu kusababishwa kuwapo unataka kisababishi cha kisababishi. Huo ni utoto na sio weredi...
Mungu ni eternal...Kama eternal Ina mwanzo au haina chagua jibu upendalo.
 
Tatizo lako ni kujumlisha hata visivyojumlishika. Nikikwambia vitu vyote vilivyopo lazima vina agent aliyefanikisha au sababisha kuwapo kwake haimaanishi agent wake laxima awe ni kitu !
Lakini, wewe MTU akizungumzia kitu kusababishwa kuwapo unataka kisababishi cha kisababishi. Huo ni utoto na sio weredi...
Mungu ni eternal...Kama eternal Ina mwanzo au haina chagua jibu upendalo.

Agent wa mungu ni nini?

Unajuaje kwamba mungu ni eternal kama hata huwezi kuthibitisha kwamba yupo hata kwa sekunde moja?
 
Kule wapi? Unaweza kuweka link hapa?

Ulielewa nilivyokujibu au nilikuwa nimekuacha kwenye mataa?

Ukeeli unajali kuwa na mvuto? Kama kitu ni kweli ila hakina mvuto kwa sababu ukweli hauvutii, kitabadilika na kuwa si kweli kwa sababu hakina mvuto?

Mimi nilifikiri tunajadili kilicho kweli, na si kilicho na mvuto.

Wewe unajadili kipi kina mvuto zaidi?

Ukweli unaousema wewe ni upi? Hilo swali lako la kwanini mungu mwenye upendo,uwezo na ujuzi kaumba ulimwengu wenye maovu ndiyo ukweli huo?
 
Ukweli unaousema wewe ni upi? Hilo swali lako la kwanini mungu mwenye upendo,uwezo na ujuzi kaumba ulimwengu wenye maovu ndiyo ukweli huo?

Hujanipatia link.

Mungu unayemuamini wewe hana upendo, uwezo na ujuzi?
 
Hujanipatia link.

Mungu unayemuamini wewe hana upendo, uwezo na ujuzi?

Anao upendo,ujuzi na uwezo pia. Lakini mungu wangu ana sifa nyingi zengine kama:

*Mwenye kuwepo nyakati zote (hana mwanzo wala mwisho).
*Msamehevu. Mwenye kusamehe.
*Mtengenezaji (The maker out of nothing)
*Mlishaji (the Feeder), Mtoaji Riziki kwa kila kiumbe, Mwenye nguvu.
*Mwenye kufisha (The Causer of death, The Destroyer).
*Mwenye kuchukua kisasi, Mlipakisasi kwa waovu.
*Mwenye kujitosheleza (The self Sufficient), Hahitaji chochote kwa yeyote (The Independent, The absolute)
*The Preventer, The Witholder.
*The Distresser.

Hizo pia ni baadhi ya sifa zake.
 
Dewj si Freemason....utajiri kautoa kwa shetani

kwa hiyo unamaanisha kuwa shetani ana uwezo mkubwa sana hata ukimuomba utajiri anakupa au ukiomba kitu chochote anakutekelezea????
 
Anao upendo,ujuzi na uwezo pia. Lakini mungu wangu ana sifa nyingi zengine kama:

*Mwenye kuwepo nyakati zote (hana mwanzo wala mwisho).
*Msamehevu. Mwenye kusamehe.
*Mtengenezaji (The maker out of nothing)
*Mlishaji (the Feeder), Mtoaji Riziki kwa kila kiumbe, Mwenye nguvu.
*Mwenye kufisha (The Causer of death, The Destroyer).
*Mwenye kuchukua kisasi, Mlipakisasi kwa waovu.
*Mwenye kujitosheleza (The self Sufficient), Hahitaji chochote kwa yeyote (The Independent, The absolute)
*The Preventer, The Witholder.
*The Distresser.

Hizo pia ni baadhi ya sifa zake.

Then you haven't explained the contradiction I posed.

Huwezi kusema 1 + 1 = 7, lakini number theory haina tatizo kwa sababu 8 + 2 bado ni 10. Kwa sababu 8 + 2 = 8 + (1 + 1) and if 1 + 1 = 7, then 8 + 2 becomes 15.

Ili mungu wako asimame na kuwa valid, inabidi asiwe na tatizo ambalo halijatatuliwa popote. Mungu wako ni kama meli kibwa sana ya Titanic inayoelea, ikitoboka sehemu moja tu na maji yakaingia ndani, meli yote unazama.

Mimi nakuonyesha meli yako ina tobo, hii meli yote inazama kwa kuwa kuna sehemu ina tobo. Wewe unaniambia usijali hapo kwenye tobo, angalia huku kote hakuna tobo. Namna hiyo utazamisha meli.

Ukishaona 1 + 1 = 7 unaona kuna tatizo na number theor yote. Huwezi kusema hilo tusijali kwa sababu 8 + 2 bado ni 10.

Any contradiction on gods characteristics question the validity of the entire god idea.

What you need to do before declaring that god as valid is to remove that contradiction.
 
Back
Top Bottom