Kweli Mungu ni muweza wa yote?

Kweli Mungu ni muweza wa yote?

Unatumia msingi gani?
Natumia msingi wa fasiri ya maneno hayo mawili ya Uthibitisho na Ushahidi
Kile ambacho kinadaiwa kiwepo ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo ni mungu wenu huyo.

Nimeshaonesha kwamba isea ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe, na hivyo hawezekaniki kuwapo.
Siku hizi nimekuwa ni mtu wa kusoma baadhi ya post tu na kuandika mara chache sana kwasababu hakuna haja ya kuandika kwasababu mijadala ya hapa inayohusu Mungu imekuwa ya kiubishi zaidi ya kujifunza

Sioni haja ya kuingia kwenye ubishi kwasababu haina faida kwa afya ya ubongo,kila leo tunalijadili hili na watu ukiwemo wewe mmekuwa mkiamua tu kukana kuwa hamjajibiwa kwasababu una uwezo wa kuandika chochote kwenye simu au tarakilishi yako

Yaani unaamua tu kukana bila sababu za msingi,hii inachesha sana

Hapa unarudia kitu kile kile tu kila siku,unadai kitu hakipo bila kusema ni kwa vipi hakipo na ushahidi hakuna

Mungu sio idea na hujaweza kuonesha kwamba anajipinga na maswali yako nimeshayajibu yote na kama kawaida yako umeamua tu kukana kuwa hayajajibiwa,kuna sababu gani ya kuendelea na huu mjadala?

Usijisumbue kunitaka nikuoneshe nilipojibu kwasababu nishafanya hivyo na hakuna kitu cha maana ulichojibu

Lakini cha ajabu ni kwamba kile ambacho wewe unakiona kinajipinga unadhani ndivyo kilivyo wakati inawezekana kabisa hujakielewa tu,lakini hata hili umeshindwa kulitafakari na unahitimisha tu kuwa kinajipinga

Kingine ni kwamba,ni wapi kitu kikijipinga kinakuwa hakipo?

Yaani nikitoa taarifa mbili za ajali na zikakinzana ajali inakuwa haipo kwasababu ya mimi kujikinza kwenye taarifa za ajali hiyo?

Interesting ...........!!
 
Natumia msingi wa fasiri ya maneno hayo mawili ya Uthibitisho na Ushahidi

Siku hizi nimekuwa ni mtu wa kusoma baadhi ya post tu na kuandika mara chache sana kwasababu hakuna haja ya kuandika kwasababu mijadala ya hapa inayohusu Mungu imekuwa ya kiubishi zaidi ya kujifunza

Sioni haja ya kuingia kwenye ubishi kwasababu haina faida kwa afya ya ubongo,kila leo tunalijadili hili na watu ukiwemo wewe mmekuwa mkiamua tu kukana kuwa hamjajibiwa kwasababu una uwezo wa kuandika chochote kwenye simu au tarakilishi yako

Yaani unaamua tu kukana bila sababu za msingi,hii inachesha sana

Hapa unarudia kitu kile kile tu kila siku,unadai kitu hakipo bila kusema ni kwa vipi hakipo na ushahidi hakuna

Mungu sio idea na hujaweza kuonesha kwamba anajipinga na maswali yako nimeshayajibu yote na kama kawaida yako umeamua tu kukana kuwa hayajajibiwa,kuna sababu gani ya kuendelea na huu mjadala?

Usijisumbue kunitaka nikuoneshe nilipojibu kwasababu nishafanya hivyo na hakuna kitu cha maana ulichojibu

Lakini cha ajabu ni kwamba kile ambacho wewe unakiona kinajipinga unadhani ndivyo kilivyo wakati inawezekana kabisa hujakielewa tu,lakini hata hili umeshindwa kulitafakari na unahitimisha tu kuwa kinajipinga

Kingine ni kwamba,ni wapi kitu kikijipinga kinakuwa hakipo?

Yaani nikitoa taarifa mbili za ajali na zikakinzana ajali inakuwa haipo kwasababu ya mimi kujikinza kwenye taarifa za ajali hiyo?

Interesting ...........!!

Unasema hutaki kushiriki mjadala kwa sababu ni ubishi zaidi ya kujifunza wakati kusema hivyo tayari ni kushiriki mjadala!

You just love contradictions.
 
Tafsiri ya mabaya ni ipi?

Niitoe mara ngapi?

Hakuna sababu yoyote kwa yeyote kupatwa na anachokiona hakifai kumpata na kutopata anachoona anastahili kupata kama ulimwengu umeumbwa na mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote.

Ikitokea sababu yoyote ya kufanya hayo, baya limetokea.
 
Sasa kwa world view yako unayoitumia na logical consistency unayoiita. Ukiulizwa uweke logical argument itayooanisha kutokuwepo au kuwepo kwa Mungu kwa kuangalia uwepo au kutokuwepo kwa maovu.
Weka andiko lenye mantiki ukionyesha uhusiano uliopo Kati ya uwepo wa maovu na majanga na kutokuwepo kwa Mungu.
Hujibu unarukaruka tu.
Toa jibu basi ili nasi tujifunze uhusiano huo...

Niweke mara ngapi?

Tatizo si mimi kuweka andiko, tatizo wewe unaelewa?

1. Mwenye upendo na uwezo haachi anaowapenda wapatwe na mabaya kama anaweza kuyazuia.
2. Mungu ananuwezo na upendo wote kwa mujibu wa mapokeo yenu
3. Dunia ina mabaya mengi yanayowakuta hao wanaosemwa wanapendwa na mungu. Mungu si tu anaruhusu mabaya, bali kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Conclusion

Mapokeo yenu ni potofu na huyo mungu mnayemsema yupo hawezekaniki kuwapo, kwa sababu anajipinga mwenyewe na hana logical consistency.
 
Neno moja linaweza likawa na tafsiri nyingi tofauti ila maana hasa ya hilo neno itabaki kuwa ni moja tu. Hivyo sihitaji kujua wewe unatafsiri yako gani ya neno Uthibitisho.

Sijakuuliza unipe tafsiri yangu, nimekuuliza wewe unipe tafsiri yako na uelewa wako.

Hujajibu. Unaogopa kujibu kwa sababu hujiamini kuhusu uelewa wako?
 
Unasema hutaki kushiriki mjadala kwa sababu ni ubishi zaidi ya kujifunza wakati kusema hivyo tayari ni kushiriki mjadala!

You just love contradictions.
Hata hiki kidogo tu umeshindwa kukielewa ....

Hujui hata tofauti ya taarifa na madai ...!!
 
Niitoe mara ngapi?

Hakuna sababu yoyote kwa yeyote kupatwa na anachokiona hakifai kumpata na kutopata anachoona anastahili kupata kama ulimwengu umeumbwa na mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote.

Ikitokea sababu yoyote ya kufanya hayo, baya limetokea.

Kwanza kabisa hayo uliyoyaeleza kwa kuona kuwa ndiyo yangepaswa yawe hivyo basi yangekuwa yanapingana na sifa ya Mungu,kwa maana ya kwamba Mungu hufanya analolitaka na kutofanya asilolitaka. Sasa ikiwa binadamu atakuwa kama ulivyoeleza wewe itakuwa ni kinyume na sifa ya mungu.

Pili,hivi sie binadamu tunaouwa wanyama na kuwala, mfano kuku au ng'ombe je,huo nao ni uovu au si uovu?
 
Sijakuuliza unipe tafsiri yangu, nimekuuliza wewe unipe tafsiri yako na uelewa wako.

Hujajibu. Unaogopa kujibu kwa sababu hujiamini kuhusu uelewa wako?

Hata hujui uliniuliza vp,hebu rudia swali lako kisha rudia tena kutazama nimekujibu vp.
 
Niweke mara ngapi?

Tatizo si mimi kuweka andiko, tatizo wewe unaelewa?

1. Mwenye upendo na uwezo haachi anaowapenda wapatwe na mabaya kama anaweza kuyazuia.
2. Mungu ananuwezo na upendo wote kwa mujibu wa mapokeo yenu
3. Dunia ina mabaya mengi yanayowakuta hao wanaosemwa wanapendwa na mungu. Mungu si tu anaruhusu mabaya, bali kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Conclusion

Mapokeo yenu ni potofu na huyo mungu mnayemsema yupo hawezekaniki kuwapo, kwa sababu anajipinga mwenyewe na hana logical consistency.

Kwa kariri zako hizo hoja zako zinaleta mantiki kwa hitimisho la kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu aliyeumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana ?
Pole Sana.
Your brain have totally been assassinated by your belief in no god.
 
Naamini bila shaka yoyote uwepo wa MUNGU. Lakini maswali ya Kiranga et al yana mantiki kwa mtu yeyote mwenye akili timamu. Kuna padre m1 alikuwa mwalimu wangu nilipokuwa secondary aliwahi kutuuliza darasani maswali hayo tukakosa majibu (we were confused) then akatuambia jibu ni kwamba "Kwa akili yetu binadamu hatuwezi ku-figure out kila kitu kuhusu uwezo na ukuu wa Mungu" kuna vitu hatuvijui na hatutavijua hata tukeshe tunafikiria maana viko beyond our thinking capacity. Akatupa na maana ya IMANI ni kuwa na hakika na jambo bila ushahidi wa dhahiri, mfano huwezi sema naamini mtoto akayezaliwa ni wakiume wakati wakti umeshachek kwa ultra sound na kubaini hilo LAKINI Unaweza sema maneno hayo ikiwa hujathibitisha kwa kifaa chochote ila akilini mwako unahisi bila shaka atazaliwa mtoto wakiume.

Mf.2: Huwezi sema naamini Kikwete ni rais wa tz. (Hiyo sio IMANI maana kuna ushahidi na kila m2 anatambua hilo na ushahidi upo)

HITIMISHO
Kiranga na nduguzo mkielewa maana ya IMANI hakuna haja ya kuhojiana na kudaiana ushahidi ktk jambo la ki-IMANI.
 
Hata hiki kidogo tu umeshindwa kukielewa ....

Hujui hata tofauti ya taarifa na madai ...!!

The fact remains, you are a wishy washy, fence sitting chameleon with no underlying principle or direction.

You claim to not want a part of this discussion while in the middle of the discussion.

You just loooove this discussion, and could not stop yourself from participating even if you wanted to.
 
Kwanza kabisa hayo uliyoyaeleza kwa kuona kuwa ndiyo yangepaswa yawe hivyo basi yangekuwa yanapingana na sifa ya Mungu,kwa maana ya kwamba Mungu hufanya analolitaka na kutofanya asilolitaka. Sasa ikiwa binadamu atakuwa kama ulivyoeleza wewe itakuwa ni kinyume na sifa ya mungu.

Pili,hivi sie binadamu tunaouwa wanyama na kuwala, mfano kuku au ng'ombe je,huo nao ni uovu au si uovu?

Kama mungu anafanya analolitaka, na hapo hapo anataka kupenda watu, na hapo hapo anataka kuwaangamiza kwa gharika, analotaka ni lipi?

Ni kuwapenda au kuwaangamiza na gharika?

Halafu kwa nini unaona habari ninazosema mimi zingepingana na mungu kufanya anachotaka? Mungu mwenye upendo wote na uwezo wote angetaka kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya kwa sababu ametaka kufanya hivyo, kutikana na nature yake ya upendo, angepinganaje na sifa ya mungu kufanya anachotaka?

Zaidi, mwanadamu akifanya uovu, hilo linamaanisha nini kwako? Ndiyo excuse ya mungu kuumba dunia ambayo uovu unawezekana?
 
Naamini bila shaka yoyote uwepo wa MUNGU. Lakini maswali ya Kiranga et al yana mantiki kwa mtu yeyote mwenye akili timamu. Kuna padre m1 alikuwa mwalimu wangu nilipokuwa secondary aliwahi kutuuliza darasani maswali hayo tukakosa majibu (we were confused) then akatuambia jibu ni kwamba "Kwa akili yetu binadamu hatuwezi ku-figure out kila kitu kuhusu uwezo na ukuu wa Mungu" kuna vitu hatuvijui na hatutavijua hata tukeshe tunafikiria maana viko beyond our thinking capacity. Akatupa na maana ya IMANI ni kuwa na hakika na jambo bila ushahidi wa dhahiri, mfano huwezi sema naamini mtoto akayezaliwa ni wakiume wakati wakti umeshachek kwa ultra sound na kubaini hilo LAKINI Unaweza sema maneno hayo ikiwa hujathibitisha kwa kifaa chochote ila akilini mwako unahisi bila shaka atazaliwa mtoto wakiume.

Mf.2: Huwezi sema naamini Kikwete ni rais wa tz. (Hiyo sio IMANI maana kuna ushahidi na kila m2 anatambua hilo na ushahidi upo)

HITIMISHO
Kiranga na nduguzo mkielewa maana ya IMANI hakuna haja ya kuhojiana na kudaiana ushahidi ktk jambo la ki-IMANI.

Huyo Padre amejua maswali hayo kwa sababu kasoma theolojia. Hayo ni maswali ya msingi katika philosophy of religion. Ukisoma dini katika kiwango kama cha mapadri unaweza kukutana na maswali hayo.

Waliosoma theolojia na falsafa ya dini wanajua ugumu wa maswali haya, na wanakubali hawana majibu. Pope Francis aliulizwa na mtoto msichana wa Kifilipino, na yeye akajibu kwamba hana jibu.

Huyo ni papa, msoni wa biblia.

Sasa hapa utakutana na wenzangunamie hata ukiwaambia wataje vitabu vitano vya agano la kale na vitano vya agano jipya kazi, wanajikuza kwamba wana majibu ya haya maswali.

Na hilo jibu alilowapa, si jibu, ni kukubali kwamba hana jibu na habari nzima ya mungu anaikubali kubali tu bila kuweza kuielezea.

Hilo jibu ni "deus ex machina".
 
Hiyo Padre amejua maswali hayo kwa sababu kasoma theolojia. Hayo ni maswali ya msingi katika philosophy of religion. Ukisoma dini katika kiwango kama cha mapadri unaweza kukutana na maswali hayo.

Waliosoma theolojia na falsafa ya dini wanajua ugumu wa maswali haya, na wanakubali hawana majibu. Pope Francis aliulizwa na mtoto msichana wa Kifilipino, na yeye akajibu kwamba hana jibu.

Huyo ni papa, msoni wa biblia.

Sasa hapa utakutana na wenzangunamie hata ukiwaambia wataje vitabu vitano vya agano la kale na vitano vya agano jipya kazi, wanajikuza kwamba wana majibu ya haya maswali.

Na hilo jibu alilowapa, si jibu, ni kukubali kwamba hana jibu na habari nzima ya mungu anaikubali kubali tu bila kuweza kuielezea.

Hilo jibu ni "deus ex machina".

Umeelewa lakn! ulivyooambiwa, kuhusu UELEWA KUHUSU IMANI?
 
Samahani kama nitakua niko nje ya mada ktk uzi huu

Siamini kama "biblia" ilishuka tu toka mbinguni, pwhaaaaah!, na kama ilishuka tu naomba kujuzwa(coz mara yangu ya mwisho kusoma biblia ni siku ya mtihani ili nipate kipaimara 1998),
Navyoamini biblia ni mkusanyiko wa vitabu walivyoandika waandishi tofauti tofauti kama inavyojionyesha ukisoma biblia mf. Kuna yohana, luka, ester, daudi nk

Biblia iko katika sehemu mbili ambazo ni agano la kale na agano jipya(naruhusu kukosolewa kwa kuwa nishatoa tahadhari).

Tukijikita katika agano la kale ambalo linazungumzia uumbaji wa vitu duniani(ktk kitabu cha mwanzo) naamini pia kitabu cha mwanzo kina muandishi ambaye kwa mujibu wa imani ktk dini, mtu huyo aliandika kwa muongozo wa roho mtakatifu.

Katika sayansi tunasoma kuhusu waanzilishi wa fomula za kimahesabu km newton na wengine nguli wa mwanzoni(hapa wataalam wa sayansi wanaweza kunisaidia) ambazo hizo fomula ndo zimekua muongozo na mchango ktk ugunduzi wa mambo ya kisayansi.

Swali,

1. Kuna tofauti ya muda gani kati ya kuanza kwa kutumika biblia na kutumika sayansi(naamini moja lilianza kabla ya mwenzake).

2. Kama biblia ilikua mwanzo, je sayansi imekuja kuipinga biblia, ama kuthibitisha yaliyoandikwa na biblia?

3. Naamini hata mwanadamu anaweza kubashiri matokeo ya mwanawe anaefanya mtihani octoba kulingana na mwenendo wa kimasomo wa mwanae(hapa najaribu kulinganisha na utabiri wa mambo yanayotokea duniani yaliyotabiriwa na biblia), je, biblia ni kitabu cha story?

Nadhani kila kitu kina chanzo, lakini tatizo "chanzo ni nini?"

Nimeona kuna watu wanajibu maswali na kujenga hoja kistadi, na kwakua nimeona hapa jf naweza kujifunza, inawezekana nikapata hitimisho na kujua chanzo ni kipi na ni nini, kuhusu uwepo wa Mungu, hivyo nitakuwa na hakika yeye ndiye muweza wa yote.

Karibuni
 
The fact remains, you are a wishy washy, fence sitting chameleon with no underlying principle or direction.

You claim to not want a part of this discussion while in the middle of the discussion.

You just loooove this discussion, and could not stop yourself from participating even if you wanted to.
You are right,i like this discusion,BUT what i do not like is the " kind" of this discution.......

You better " ktorulos" your head and understand that ..........!!
 
Kama mungu anafanya analolitaka, na hapo hapo anataka kupenda watu, na hapo hapo anataka kuwaangamiza kwa gharika, analotaka ni lipi?

Ni kuwapenda au kuwaangamiza na gharika?

Halafu kwa nini unaona habari ninazosema mimi zingepingana na mungu kufanya anachotaka? Mungu mwenye upendo wote na uwezo wote angetaka kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya kwa sababu ametaka kufanya hivyo, kutikana na nature yake ya upendo, angepinganaje na sifa ya mungu kufanya anachotaka?

Zaidi, mwanadamu akifanya uovu, hilo linamaanisha nini kwako? Ndiyo excuse ya mungu kuumba dunia ambayo uovu unawezekana?

Bado unaonekana hutaki kabisa kuzisikia sifa za mungu zaidi ya upendo,uwezo wote na ujuzi wote,hiyo ndiyo tabu iliyopo kwako.


Halafu swali langu nimeuliza kuhusu sie binadamu kuuwa wanyama ni uovu au si uovu? Sijazungumzia mambo ya maovu ya binadamu kwa sababu ndiyo nataka nijue uovu hasa ni nini kwako.
 
Umeelewa lakn! ulivyooambiwa, kuhusu UELEWA KUHUSU IMANI?

Huwezi kuniuliza kama nimeelewa kitu ambacho nilishakisema hapa awali, labda tatizo wewe hunifuatilii kwa makini.

Kimsingi, watu wana haki ya kuamini chochote, nishataja mpaka maazimio ya Umoja wa Mataifa yanayotetea haki za watu kuamini wanavotaka, ilimradi wasivunje sheria.

Kwa hiyo sina tatizo na imani. Na huwezi kuniuliza kama nimeeleea hili leo. Kwa sababu nishalifundisha awali.

Tatizo linakuja mtu anapoanza kudai imani yake ndiyo ukweli.

In fact, myu anayedai imani yake ni ukweli anasema an oxymoron.
 
Back
Top Bottom