Hili taifa ni secular mkuu,
Tanganyika Hatuwezi jiunga na oic,
Zile ni nchi zinazotawaliwa kiislamu kama sijakosea, mf islamic republic of iran etc, sababu kuna waislamu majority, hapa bongo halitakubaliwa hilo sababu kuna wakristo pia wapo wengi tu,
Labda huko zenji
Mohamed said udini upi kama mfumo kristo ungekunyanyasa ww zaidi ya miaka arobaini umetumikia mamlaka ya bandari mpaka umestahafu na umelipwa mafao yako bila usumbufu. Mke wako alichaguliwa katika tume ya Warioba ya katiba amezoa mamilioni ya shilingi acha kelele za kijinga kuchochea chuki za kidini.
Hili taifa ni secular mkuu,
Tanganyika Hatuwezi jiunga na oic,
Zile ni nchi zinazotawaliwa kiislamu kama sijakosea, mf islamic republic of iran etc, sababu kuna waislamu majority, hapa bongo halitakubaliwa hilo sababu kuna wakristo pia wapo wengi tu,
Labda huko zenji
Pamoja na UISLAMU Wangu lakini naamini kwa dhati kabisa....... Nyerere is the best and true citizen than anyone among us.
Waandishi wote(wengi) wa kizanzibar wanajaribu bila mafanikio kuyafuta mema yote ya nyerere na kutukuza uzushi dhidi yake. Huu ni upuuzi was kiarabu ambao hatutaupa nafasi kamwe.
Huyo muandishi mwenyewe inasemekana ni miongoni mwa WAFADHILI WA UAMSHO
Shukran nguli wa historia ya taifa hili
Sheikh wangu moh said mimi natandika langu jamvi rasmi kufyonza maarigfa hapa
Kubishana na Waswahili wenye upeo wa elimu za madrasah na darasa la saba ni sawa ni kupoteza muda. Wamanga wananuka! Halafu huyo Mwamedi Said is far from being a dude, but is rather a crappy, tired, one-toothed geezer having zero personality and charisma.
Tatizo ni ujinga wetu wa kuwaza kuwa ni OIC pekee ndio suluisho la misaada, Lakini kwa muelewa huitaji kufahamishwa kuwa OIC lengo kuu ni kusilimisha dunia nzima pamoja na misaada wanayotoa. kwa sisi nchi isiyofuata itikadi yoyote ya dini kujiunga OIC ni udhaifu mkubwa sana, angalia nchi zilizojiunga OIC utapata majibu. Kwa nini waislamu pamoja na kufahamu kuwa nchi yetu haina dini lakini bado wanataka mahakama ya kadhi inayoundwa katika mfumo wetu wa sheria? je huo pia si udhaifu? mbona waislamu wapo waliosoma ni kweli wanashindwa kujiorganize na kuanzisha mahakama ya kadhi itakayoheshimiwa na waislamu wote? kwenye ukristo kuna madhehebu mengi kama vile waislamu lakini utakuta baadhi ya madhehebu ya wakristo yana umoja wanashirikiana what is wrong with you muslims?
Inasemekana?Pamoja na UISLAMU Wangu lakini naamini kwa dhati kabisa....... Nyerere is the best and true citizen than anyone among us.
Waandishi wote(wengi) wa kizanzibar wanajaribu bila mafanikio kuyafuta mema yote ya nyerere na kutukuza uzushi dhidi yake. Huu ni upuuzi was kiarabu ambao hatutaupa nafasi kamwe.
Huyo muandishi mwenyewe inasemekana ni miongoni mwa WAFADHILI WA UAMSHO
Nawashangaa sana watz.Nyerere ameshajiondokea zake,aliwakabidhi nchi takribani miaka zaidi ya 25 iliyopita,mmetumiaje muda huu kuijenga Tanzania muitakayo?kwa nini bado mnampiga vita marehemu asiye na impact yoyote kwa maamuzi yoyote mnayochukua hivi sasa?hebu zungumzeni ya kwenu tuwaelewe mnatakaje nchi iwe.Huyu mzee kama hawafai,muacheni,achaneni na sera zake,jengeni taifa jipya mlitakalo."Huyu mzee Nyerere muacheni,kajipumzikia,hawezi hata kunyanyua mdomo tena,what about you?umeifanyia nini Tanzania ambacho ni subject to negative or positive criticism?"ukimuona mtu kucha kuchwa anahukumu matendo ya wengine,ujue yeye hana cha maana anachofanya kinachowafanya watu wamhukumu,naam,hata yeye mwenyewe haoni cha maana kwake,ndio maana hukesha akizungumza na kuhukumu wengine.Watz wa leo tunakesha tukihukumu na kuzungumzia wale waliotutangulia,lakini tukimaliza kuongea hayo na kuulizwa tunataka iweje na tunaifikia vipi hiyo "iweje" yetu,ni bla bla bla blaa kama ilivyo pale Dodoma leo hii!
Hili taifa ni secular mkuu,
Tanganyika Hatuwezi jiunga na oic,
Zile ni nchi zinazotawaliwa kiislamu kama sijakosea, mf islamic republic of iran etc, sababu kuna waislamu majority, hapa bongo halitakubaliwa hilo sababu kuna wakristo pia wapo wengi tu,
Labda huko zenji
Notradamme,
Hakika hilo la kuwa mfadhili wa UAMSHO nalipenda sana na laiti Allah Subhana Wataala
angelinijalia uwezo mali yangu ingekuwa wazi kwao kuwapa ili waitangaze dini ya Allah.
Shekhe kwa hayo nimekuogopa kabisa,yawezekana huna mali kama unavyodai lakini kuifadhili Al-kaida,Boko haram ama makundi yeyote ya kigaidi haihitaji pesa tu,Waweza kuwa unawapa habari muhimu kuhusu maeneo ya kufanyiwa vitendo vya kigaidi.Naiomba serikali ikutazame kwa jicho la Tatu.
Uganda na Msumbiji zinatawaliwa kiislamu?
Bofya Member states of the Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia
umeona sasa ulivyo wa ajabu? umeandika nini sasa?
Mkuu rudi kijijini. lolhahaa...hadi mzee mzima NONDA aingilie, ujue its critical.Lakini ukweli, its all bullshit wandugu, hata denti wa "Kiislamu" wa miaka 15 anajua hilo. Mzee Mwamedi Saidi et al watapiga maneno yao wee ya dini yao, lakini end of the day, nobody gives a fu.ck! Least of all Muslim teens. Nimeenda shule na Hindus, Muslims, all kinds of Christian denominations, and I know what I'm talking about
Mkuu rudi kijijini. lol
Mmeacha kujadili hoja zake. Mmeanza viroja vya name-calling na familia yake ni off-limit. Hamumtendei haki.
Takataka yoyoTe ya azam kuanzia maji hadi unga situmii! Nilianza na azam anauza pizza na ice cream feki pale mtaa fulani kariakoo KATI miaka ya 80 na namfahamu fika!