Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Kweli Mwalimu Nyerere katuachia Tanzania yenye amani?

Hili taifa ni secular mkuu,
Tanganyika Hatuwezi jiunga na oic,
Zile ni nchi zinazotawaliwa kiislamu kama sijakosea, mf islamic republic of iran etc, sababu kuna waislamu majority, hapa bongo halitakubaliwa hilo sababu kuna wakristo pia wapo wengi tu,
Labda huko zenji

Mie nawashangaa sana Maccm wa Zenj huku mwataka kule mnataka pia, acheni tugawane Mbao kieleweke ili mpate wasaa wa kujiunga Mtakako!
 
Mohamed said udini upi kama mfumo kristo ungekunyanyasa ww zaidi ya miaka arobaini umetumikia mamlaka ya bandari mpaka umestahafu na umelipwa mafao yako bila usumbufu. Mke wako alichaguliwa katika tume ya Warioba ya katiba amezoa mamilioni ya shilingi acha kelele za kijinga kuchochea chuki za kidini.

Mke yupi kati ya wale alionao?Nilibahatika kumfahamu S.....lma wa utumishi pale TPA
 
Hili taifa ni secular mkuu,
Tanganyika Hatuwezi jiunga na oic,
Zile ni nchi zinazotawaliwa kiislamu kama sijakosea, mf islamic republic of iran etc, sababu kuna waislamu majority, hapa bongo halitakubaliwa hilo sababu kuna wakristo pia wapo wengi tu,
Labda huko zenji

Tatizo ni ujinga wetu wa kuwaza kuwa ni OIC pekee ndio suluisho la misaada, Lakini kwa muelewa huitaji kufahamishwa kuwa OIC lengo kuu ni kusilimisha dunia nzima pamoja na misaada wanayotoa. kwa sisi nchi isiyofuata itikadi yoyote ya dini kujiunga OIC ni udhaifu mkubwa sana, angalia nchi zilizojiunga OIC utapata majibu. Kwa nini waislamu pamoja na kufahamu kuwa nchi yetu haina dini lakini bado wanataka mahakama ya kadhi inayoundwa katika mfumo wetu wa sheria? je huo pia si udhaifu? mbona waislamu wapo waliosoma ni kweli wanashindwa kujiorganize na kuanzisha mahakama ya kadhi itakayoheshimiwa na waislamu wote? kwenye ukristo kuna madhehebu mengi kama vile waislamu lakini utakuta baadhi ya madhehebu ya wakristo yana umoja wanashirikiana what is wrong with you muslims?
 
Pamoja na UISLAMU Wangu lakini naamini kwa dhati kabisa....... Nyerere is the best and true citizen than anyone among us.
Waandishi wote(wengi) wa kizanzibar wanajaribu bila mafanikio kuyafuta mema yote ya nyerere na kutukuza uzushi dhidi yake. Huu ni upuuzi was kiarabu ambao hatutaupa nafasi kamwe.
Huyo muandishi mwenyewe inasemekana ni miongoni mwa WAFADHILI WA UAMSHO

Unajua maaana ya Notredame wewe.....Muislam halafu unajiita Notredame...??
 
Kubishana na Waswahili wenye upeo wa elimu za madrasah na darasa la saba ni sawa ni kupoteza muda. Wamanga wananuka! Halafu huyo Mwamedi Said is far from being a dude, but is rather a crappy, tired, one-toothed geezer having zero personality and charisma.

Ni gaidi la aina yake.....Wakati wenzake wanajilipua kwa mabomu yeye anajilipua kwa njia ya maandishi.
 
Tatizo ni ujinga wetu wa kuwaza kuwa ni OIC pekee ndio suluisho la misaada, Lakini kwa muelewa huitaji kufahamishwa kuwa OIC lengo kuu ni kusilimisha dunia nzima pamoja na misaada wanayotoa. kwa sisi nchi isiyofuata itikadi yoyote ya dini kujiunga OIC ni udhaifu mkubwa sana, angalia nchi zilizojiunga OIC utapata majibu. Kwa nini waislamu pamoja na kufahamu kuwa nchi yetu haina dini lakini bado wanataka mahakama ya kadhi inayoundwa katika mfumo wetu wa sheria? je huo pia si udhaifu? mbona waislamu wapo waliosoma ni kweli wanashindwa kujiorganize na kuanzisha mahakama ya kadhi itakayoheshimiwa na waislamu wote? kwenye ukristo kuna madhehebu mengi kama vile waislamu lakini utakuta baadhi ya madhehebu ya wakristo yana umoja wanashirikiana what is wrong with you muslims?

Akili ndogo, mgando, jinga hata uwaambie vp hawaelewi. Ukitaka kujua hawa ni mataahira muangalie Shivji alichokuwa anaongea b4 mpaka kwenye vitabu vyake vs juzi alichoongea akiwa na wasomi wa CCM pale Blue Pearl,Ubungo.
Ni ujinga mtupu, watu hawajielewi hawana msimamo wa wanachokitetea
 
Nawashangaa sana watz.Nyerere ameshajiondokea zake,aliwakabidhi nchi takribani miaka zaidi ya 25 iliyopita,mmetumiaje muda huu kuijenga Tanzania muitakayo?kwa nini bado mnampiga vita marehemu asiye na impact yoyote kwa maamuzi yoyote mnayochukua hivi sasa?hebu zungumzeni ya kwenu tuwaelewe mnatakaje nchi iwe.Huyu mzee kama hawafai,muacheni,achaneni na sera zake,jengeni taifa jipya mlitakalo."Huyu mzee Nyerere muacheni,kajipumzikia,hawezi hata kunyanyua mdomo tena,what about you?umeifanyia nini Tanzania ambacho ni subject to negative or positive criticism?"ukimuona mtu kucha kuchwa anahukumu matendo ya wengine,ujue yeye hana cha maana anachofanya kinachowafanya watu wamhukumu,naam,hata yeye mwenyewe haoni cha maana kwake,ndio maana hukesha akizungumza na kuhukumu wengine.Watz wa leo tunakesha tukihukumu na kuzungumzia wale waliotutangulia,lakini tukimaliza kuongea hayo na kuulizwa tunataka iweje na tunaifikia vipi hiyo "iweje" yetu,ni bla bla bla blaa kama ilivyo pale Dodoma leo hii!
 
Pamoja na UISLAMU Wangu lakini naamini kwa dhati kabisa....... Nyerere is the best and true citizen than anyone among us.
Waandishi wote(wengi) wa kizanzibar wanajaribu bila mafanikio kuyafuta mema yote ya nyerere na kutukuza uzushi dhidi yake. Huu ni upuuzi was kiarabu ambao hatutaupa nafasi kamwe.
Huyo muandishi mwenyewe inasemekana ni miongoni mwa WAFADHILI WA UAMSHO
Inasemekana?

Umeshasoma kitabu cha Dr John Sivalon, ‘Kanisa Katoliki na Siasa Tanzania: 1953 -1985?

 
Last edited by a moderator:
Nawashangaa sana watz.Nyerere ameshajiondokea zake,aliwakabidhi nchi takribani miaka zaidi ya 25 iliyopita,mmetumiaje muda huu kuijenga Tanzania muitakayo?kwa nini bado mnampiga vita marehemu asiye na impact yoyote kwa maamuzi yoyote mnayochukua hivi sasa?hebu zungumzeni ya kwenu tuwaelewe mnatakaje nchi iwe.Huyu mzee kama hawafai,muacheni,achaneni na sera zake,jengeni taifa jipya mlitakalo."Huyu mzee Nyerere muacheni,kajipumzikia,hawezi hata kunyanyua mdomo tena,what about you?umeifanyia nini Tanzania ambacho ni subject to negative or positive criticism?"ukimuona mtu kucha kuchwa anahukumu matendo ya wengine,ujue yeye hana cha maana anachofanya kinachowafanya watu wamhukumu,naam,hata yeye mwenyewe haoni cha maana kwake,ndio maana hukesha akizungumza na kuhukumu wengine.Watz wa leo tunakesha tukihukumu na kuzungumzia wale waliotutangulia,lakini tukimaliza kuongea hayo na kuulizwa tunataka iweje na tunaifikia vipi hiyo "iweje" yetu,ni bla bla bla blaa kama ilivyo pale Dodoma leo hii!

Nasema, huyu Mwamedi Saidi, ajitokeze kwenye vyombo vya habari kama yeye kweli na rhetorics zake za Uislamu dhidi ya Ukristo, badala ya kujificha kwenye mtandao.

Siku zote amekuwa akijificha kwa wengi wanaomfahamu kupitia mfumo wa misikiti na harakati za Uislamu, lakini nasema ajionyeshe wazi kwenye mijadala ya wazi na huru kama hii yeye ni nani ili nchi nzima imfahamu kwa kujitoteza wazi kwenye vyombo vya habari vya kitaifa kila mtu amfahamu ikiwamo wazee wetu wenye umri kama yeye.

Mwamedi Saidi kama ungekuwa na hoja za msingi na kitaifa zaidi, tungekusikia long time kwenye vyombo vya habari vya kawaida. La ajabu, hakuna mtu anayekufahamu wewe na extreme views zako za Uislamu dhidi ya Ukristo zaidi ya jukwaa mbadala la JF. La msingi, na ninachojaribu kusema hapa ni kwamba wewe not only are truly irrelevant, but are a big coward!
 
Notradamme,
Hakika hilo la kuwa mfadhili wa UAMSHO nalipenda sana na laiti Allah Subhana Wataala
angelinijalia uwezo mali yangu ingekuwa wazi kwao kuwapa ili waitangaze dini ya Allah.

umeona sasa ulivyo wa ajabu? umeandika nini sasa?
 
Shekhe kwa hayo nimekuogopa kabisa,yawezekana huna mali kama unavyodai lakini kuifadhili Al-kaida,Boko haram ama makundi yeyote ya kigaidi haihitaji pesa tu,Waweza kuwa unawapa habari muhimu kuhusu maeneo ya kufanyiwa vitendo vya kigaidi.Naiomba serikali ikutazame kwa jicho la Tatu.

Kihega,

Je UAMSHO ni katika makundi hayo?

Unafahamu UAMSHO ni nani? Unafahamu kuwa UAMSHO ni taasisi iliyosajiliwa kihalali kisheria? UAMSHO inajihusisha na nini?

Je unahamu Al qaida? Bokoharam?

Kwa nini unalinganisha UAMSHO na Al qaida au Bokoharam?

UAMSHO wamefanya ugaidi? Upi? Weka wazi vitendo vya kiagaidi /ugaidi wa UAMSHO kama umejiridhisha wamefanya ugaidi.
 

hahaa...hadi mzee mzima NONDA aingilie, ujue its critical.Lakini ukweli, its all bullshit wandugu, hata denti wa "Kiislamu" wa miaka 15 anajua hilo. Mzee Mwamedi Saidi et al watapiga maneno yao wee ya dini yao, lakini end of the day, nobody gives a fu.ck! Least of all Muslim teens. Nimeenda shule na Hindus, Muslims, all kinds of Christian denominations, and I know what I'm talking about
 
hahaa...hadi mzee mzima NONDA aingilie, ujue its critical.Lakini ukweli, its all bullshit wandugu, hata denti wa "Kiislamu" wa miaka 15 anajua hilo. Mzee Mwamedi Saidi et al watapiga maneno yao wee ya dini yao, lakini end of the day, nobody gives a fu.ck! Least of all Muslim teens. Nimeenda shule na Hindus, Muslims, all kinds of Christian denominations, and I know what I'm talking about
Mkuu rudi kijijini. lol

Mmeacha kujadili hoja zake. Mmeanza viroja vya name-calling na familia yake ni off-limit. Hamumtendei haki.
 
Mkuu rudi kijijini. lol

Mmeacha kujadili hoja zake. Mmeanza viroja vya name-calling na familia yake ni off-limit. Hamumtendei haki.

Mzee NONDA unajua, Wazee wenye upeo kama wewe are hard to come by these days. Mzee mzima NONDA, upo shwari lakini? Peace be upon you man!
 
Takataka yoyoTe ya azam kuanzia maji hadi unga situmii! Nilianza na azam anauza pizza na ice cream feki pale mtaa fulani kariakoo KATI miaka ya 80 na namfahamu fika!

We si fa.la tuh choko unapakuliwa

Sasa tokea iyo 1980 ulipoacha kutumia bidhaa zake mwenzio kafilisika au ndiyo kazid kusonga mbele??

Then acha kitia tia vidole na kupaza sauti kuwa unawafaham wanaume wewe

Wewe mkimbiz tuh bakhresa umjulie wapi choko ww

Yan ulivyozoea michezo yako ya kupakuliwa ya sodoma na gomora unadhan kila mtu atafurahia hiyo huduma unayoitoa behind your back??

Kama huna la kuongoe potea choko ww

Km bidhaaa za azam hutumii so what unamueleza nani,?

Machoko ndivyo mlivyo hamna mkore laana nyinyi...

Unachojua ni kuvaa shanga tuh hapo kifuan siyo...
 
Back
Top Bottom